Kwa nini wanawake siku hizi wanaachika mapema?

Kwanini wanaume wanaachwa mapema???<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/shut-mouth.gif" border="0" alt="" title="Shut Mouth" smilieid="277" class="inlineimg" />
<br />
<br />
DA MBONA IVO?
 
Kwanini wanaume wanaachwa mapema???<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/shut-mouth.gif" border="0" alt="" title="Shut Mouth" smilieid="277" class="inlineimg" />
<br />
<br />
Mana haukawii kusema amfikishwi
 
Kwa nini wanaume siku hizi wanaachwa mapema?&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Changanyikeni imeongezeka
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Katika ndoa nani anayeachika?fikiria dadaa wacha LIGI
 
siku hz watu wengi wanaona kwa kuangalia mwonekano wa nje kuliko tabia, ukifika kwenye ndoa( humo ndani) unagundua tabia alzonazo mwenzi wako hazilipi so unaamua kujiweka pemben mapema.
 
Nafikiri thread hii ingesomeka vizurio zaidi kama ingesema hivi<br />
<br />
<br />
KWA NINI NDOA ZA SIKU HIZI ZINAVUNJIKA MAPEMA.<br />
<br />
The way you have posed the question is as if women are responsible for all the problems!
<br />
<br />
Wazo zuri bt wanaoachika ni wanawake ndo mana ikawa hivyo mkuu.
 
<br />
<br />
Wazo zuri bt wanaoachika ni wanawake ndo mana ikawa hivyo mkuu.


Okay ni kweli ingawa thread yako iko subjective!!! the way ilivyo itakuba one sided responses kama

1) wavivu
2) hawajui kulea watoto
3) hawajafundwa
4) Hawajui kuangalia nyumba zao
5) hawajui kuteunza nakuwabembeleza wanaume


Lakini kwa mtazamo huo, haitasema lolote kuhusu matatizo ya wanaume kwenye ndoa

1) walevi
2) Wengi hawatimizi wajibu wao wa ndoa na kuwafanya wake zao kutoka nje
3) wanapiga wake zao
4) e.t.c

Asubuhi njema
 
<br />
<br />
Jaman shilingi inapande mbili huu ni upande mmoja,hope hata huo mwingine waweza julikana kwa kuutazama huu.

Acha udikteta bana aliyesema hivyo nani?? Kote kote tu kunafanyika hakuna cha wanawake wala wanaume
 
Okay ni kweli ingawa thread yako iko subjective!!! the way ilivyo itakuba one sided responses kama

1) wavivu
2) hawajui kulea watoto
3) hawajafundwa
4) Hawajui kuangalia nyumba zao
5) hawajui kuteunza nakuwabembeleza wanaume


Lakini kwa mtazamo huo, haitasema lolote kuhusu matatizo ya wanaume kwenye ndoa

1) walevi
2) Wengi hawatimizi wajibu wao wa ndoa na kuwafanya wake zao kutoka nje
3) wanapiga wake zao
4) e.t.c

Asubuhi njema
Wanawake wa karne hii sio wale wa zama za mama zetu ( Digital age Vs Analogue) ni wasomi, wana uelewa mkubwa ( Upeo wa kufikiri na kutafakari mambo mbali mbali) ni watafutaji wazuri wa maisha, wanajituma na mwishi wanajua mbinu nyingi kupambana na mfumo dume. Hivyo ni lazima Wanaume tuishi na kinamama kwa nidhamu na kuheshimiana na kushauriana, kutambua kama mke ni mwenzi wako katika maisha wala si mtumwa wako.
 
Back
Top Bottom