Mwanakili90
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,568
- 245
Jamani ivi ilo tatizo linasababishwa na nini?
Nawasilisha.
Nawasilisha.
<br />Kwanini wanaume wanaachwa mapema???<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/shut-mouth.gif" border="0" alt="" title="Shut Mouth" smilieid="277" class="inlineimg" />
<br />Kwanini wanaume wanaachwa mapema???<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/shut-mouth.gif" border="0" alt="" title="Shut Mouth" smilieid="277" class="inlineimg" />
wapi?<br />
<br />
Mana haukawii kusema amfikishwi
<br /><br />Kwa nini wanaume siku hizi wanaachwa mapema?<br /><br />
<br /><br />
Changanyikeni imeongezeka
<br />wapi?<br />
kwa hiyo zamani walikuwa wanafikishwa huko?
ok samahani sikulenga kuleta ligi<br /><br />
<br /><br />
Katika ndoa nani anayeachika?fikiria dadaa wacha LIGI
<br />ok samahani sikulenga kuleta ligi
Jamani ivi ilo tatizo linasababishwa na nini?
Nawasilisha.
<br />Nafikiri thread hii ingesomeka vizurio zaidi kama ingesema hivi<br />
<br />
<br />
KWA NINI NDOA ZA SIKU HIZI ZINAVUNJIKA MAPEMA.<br />
<br />
The way you have posed the question is as if women are responsible for all the problems!
<br />
<br />
Wazo zuri bt wanaoachika ni wanawake ndo mana ikawa hivyo mkuu.
<br />
<br />
DA MBONA IVO?
<br />Kwanini useme wanawake peke yao na sio ndoa za siku hizi hazidumu???
<br />
<br />
Jaman shilingi inapande mbili huu ni upande mmoja,hope hata huo mwingine waweza julikana kwa kuutazama huu.
Wanawake wa karne hii sio wale wa zama za mama zetu ( Digital age Vs Analogue) ni wasomi, wana uelewa mkubwa ( Upeo wa kufikiri na kutafakari mambo mbali mbali) ni watafutaji wazuri wa maisha, wanajituma na mwishi wanajua mbinu nyingi kupambana na mfumo dume. Hivyo ni lazima Wanaume tuishi na kinamama kwa nidhamu na kuheshimiana na kushauriana, kutambua kama mke ni mwenzi wako katika maisha wala si mtumwa wako.Okay ni kweli ingawa thread yako iko subjective!!! the way ilivyo itakuba one sided responses kama
1) wavivu
2) hawajui kulea watoto
3) hawajafundwa
4) Hawajui kuangalia nyumba zao
5) hawajui kuteunza nakuwabembeleza wanaume
Lakini kwa mtazamo huo, haitasema lolote kuhusu matatizo ya wanaume kwenye ndoa
1) walevi
2) Wengi hawatimizi wajibu wao wa ndoa na kuwafanya wake zao kutoka nje
3) wanapiga wake zao
4) e.t.c
Asubuhi njema
<br />Acha udikteta bana aliyesema hivyo nani?? Kote kote tu kunafanyika hakuna cha wanawake wala wanaume