Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 2,590
- 4,277
Kama hujaolewa na unataka kuolewa na mume na sio mtu aliyejikatia tamaa, jua hii inakuhusu...
Wewe tolewa out badala ya kula msosi na kunywa juice/soda au basi ka glass kamoja kawine; unafakamia mapombe halafu utegemee kuolewa na mtu mtakayejenga maisha pamoja???
Mbaya zaidi ukute msichana hana kipato au anakipato cha kuunga unga halafu anatolewa out anafakamia mapombe.....ajue tu ataishia kutumiwa na kuachwa!!!
Kama Kijana alikuwa na nia ya kukuoa akakutoa out ukafakamia mapombe/mawine utaona anaanza kukukwepa kwepa kwenda out na mwishowe anakupiga chini..... mara nyingi mwanamme anaye toka na mwanamke mlevi ujue huyo sio muoaji na kama ni muoaji basi ni yule aliyejikatia tamaa hivyo anaokota chochote!
Wanaume walioserious kuoa wakati mwingine mkiwa out hunywa pombe ili kukupima kama na wewe utakunywa lakini pia utakunywa kiasi gani; utashangaa anakuambia ongeza, kumbe anakuchora.....
MARA NYINGI WANAUME HUPENDA WANAWAKE WALEVI KWA AJILI YA MICHEPUKO.......LAKINI SIO KUOA!
Nimewapa marking scheme mshindwe wenyewe kufaulu paper!!!
Wewe tolewa out badala ya kula msosi na kunywa juice/soda au basi ka glass kamoja kawine; unafakamia mapombe halafu utegemee kuolewa na mtu mtakayejenga maisha pamoja???
Mbaya zaidi ukute msichana hana kipato au anakipato cha kuunga unga halafu anatolewa out anafakamia mapombe.....ajue tu ataishia kutumiwa na kuachwa!!!
Kama Kijana alikuwa na nia ya kukuoa akakutoa out ukafakamia mapombe/mawine utaona anaanza kukukwepa kwepa kwenda out na mwishowe anakupiga chini..... mara nyingi mwanamme anaye toka na mwanamke mlevi ujue huyo sio muoaji na kama ni muoaji basi ni yule aliyejikatia tamaa hivyo anaokota chochote!
Wanaume walioserious kuoa wakati mwingine mkiwa out hunywa pombe ili kukupima kama na wewe utakunywa lakini pia utakunywa kiasi gani; utashangaa anakuambia ongeza, kumbe anakuchora.....
MARA NYINGI WANAUME HUPENDA WANAWAKE WALEVI KWA AJILI YA MICHEPUKO.......LAKINI SIO KUOA!
Nimewapa marking scheme mshindwe wenyewe kufaulu paper!!!