Kwa nini Wakenya pekee ndio hudai Watanzania hawajui Lugha ya Kingereza?

game over

JF-Expert Member
Jan 1, 2016
10,402
23,326
Heri ya Mwaka mpya,
kwa kuwa leo Mjadala wa Lugha umechukua nafasi sana kwenye Jukwaa hili, na mimi naongezea hili,

Wageni toka kote duniani Huja na kuondoka Tanzania, watalii mamilioni kwa mamilioni na wafanyi biashara,
Walimu mashuleni na vyuoni Hufundisha kwa Lugha hii ya Kingereza, watanzania maelfu kwa maelfu wamesoma na wanasoma ulaya, Marekani na Asia,
Watanzania wamesambaa kote duniani, na wengi wetu nikiwepo mimi tumesafiri nchi za Ng’ambo pia,
Viongozi na wakuu wa nchi mbalimbali duniani hutembelea na kukaribishwa Kufanya mikutano Tanzania,

katika hao wote sijawahi sikia Wageni hawa wakilalamika kuwa Wamepata changamoto ya Lugha ama hawakufanikisha mambo yao kwa sababu ya Lugha,
Hii dhana ya kusema Watanzania hawajui Kingereza kwa nini ishikiliwe bango na Wakenya pekee,?
au wanataka tuzungumze kama vile wazungu wakati sisi ni Watanzania,

Hivi utumwa utatoka lini Vichwani mwa hawa majirani waingereza Weusi?
 
sijawahi sikia mtu toka Uganda au Rwanda au Msumbiji au Congo au Ethiopia akisema Watanzania hawajui Kingereza, Wazungu hukaribishwa na Watanzania na kuelewana vema kabisa,
Hicho kipimo cha kujua Kingereza wakenya mlikitoa wapi?
yaani Wakikuyu mnajua hii Lugha kuliko hata Wazungu wenyewe
 
Mbona basi mnamaindi sana na 'kucatch mafeelings' mkiambiwa kwamba hamjui kiingereza? Kama hamuoni umuhimu wowote wa kutumia lugha ya kiingereza longolongo zote hizi ni za nini?
 
Heri ya Mwaka mpya,
kwa kuwa leo Mjadala wa Lugha umechukua nafasi sana kwenye Jukwaa hili, na mimi naongezea hili,

Wageni toka kote duniani Huja na kuondoka Tanzania, watalii mamilioni kwa mamilioni na wafanyi biashara,
Walimu mashuleni na vyuoni Hufundisha kwa Lugha hii ya Kingereza, watanzania maelfu kwa maelfu wamesoma na wanasoma ulaya, Marekani na Asia,
Watanzania wamesambaa kote duniani, na wengi wetu nikiwepo mimi tumesafiri nchi za Ng’ambo pia,
Viongozi na wakuu wa nchi mbalimbali duniani hutembelea na kukaribishwa Kufanya mikutano Tanzania,

katika hao wote sijawahi sikia Wageni hawa wakilalamika kuwa Wamepata changamoto ya Lugha ama hawakufanikisha mambo yao kwa sababu ya Lugha,
Hii dhana ya kusema Watanzania hawajui Kingereza kwa nini ishikiliwe bango na Wakenya pekee,?
au wanataka tuzungumze kama vile wazungu wakati sisi ni Watanzania,

Hivi utumwa utatoka lini Vichwani mwa hawa majirani waingereza Weusi?
Kama hamkifahamu Kiingereza mnataka tuwadanganye eti mnakifahamu ilhali hamkifahamu? Sisi sio waongo namna hio
 
sijawahi sikia mtu toka Uganda au Rwanda au Msumbiji au Congo au Ethiopia akisema Watanzania hawajui Kingereza, Wazungu hukaribishwa na Watanzania na kuelewana vema kabisa,
Hicho kipimo cha kujua Kingereza wakenya mlikitoa wapi?
yaani Wakikuyu mnajua hii Lugha kuliko hata Wazungu wenyewe
Mnazungumza na Wazungu kwa lugha ya Kichagga au Kisukuma?
 
Yaaan mi huwa najuwa kiswahili sana na fasaha kuliko kingereza.Kingereza changu ni cha the this mbona naishi fresh tu au nkijuwa kingereza pesa zitakuja zenyewe bila kuhangaika. We unajuwa kingereza hata hichi kidaraja kinakushinda
IMG-20181003-WA0010.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
sijawahi sikia mtu toka Uganda au Rwanda au Msumbiji au Congo au Ethiopia akisema Watanzania hawajui Kingereza, Wazungu hukaribishwa na Watanzania na kuelewana vema kabisa,
Hicho kipimo cha kujua Kingereza wakenya mlikitoa wapi?
yaani Wakikuyu mnajua hii Lugha kuliko hata Wazungu wenyewe
Pitia pitia kwenye sites za kitalii na 'expartriates' ambao huwa wanazuru Afrika mashariki. Mfano mzuri ni Lonely Planet. Humo ndani kuna 'reviews' kuhusu Kenya, Ug na Tz na utaona kwamba kila mara watalii na expats huwa wanasema Tz kuna tashwishi kwenye communication tofauti na Kenya na Uganda. Usikomalie tu kwenye umbea kama mnavokomalia kwenye kiswahili. Inawakosti sana.
 
Pitia pitia kwenye sites za kitalii na 'expartriates' ambao huwa wanazuru Afrika mashariki. Mfano mzuri ni Lonely Planet. Humo ndani kuna 'reviews' kuhusu Kenya, Ug na Tz na utaona kwamba kila mara watalii na expats huwa wanasema Tz kuna tashwishi kwenye communication tofauti na Kenya na Uganda. Usikomalie tu kwenye umbea kama mnavokomalia kwenye kiswahili. Inawakosti sana.

Ahaaa haaa haaa
tupe hizo findings.
acha longolongo.
 
Heri ya Mwaka mpya,
kwa kuwa leo Mjadala wa Lugha umechukua nafasi sana kwenye Jukwaa hili, na mimi naongezea hili,

Wageni toka kote duniani Huja na kuondoka Tanzania, watalii mamilioni kwa mamilioni na wafanyi biashara,
Walimu mashuleni na vyuoni Hufundisha kwa Lugha hii ya Kingereza, watanzania maelfu kwa maelfu wamesoma na wanasoma ulaya, Marekani na Asia,
Watanzania wamesambaa kote duniani, na wengi wetu nikiwepo mimi tumesafiri nchi za Ng’ambo pia,
Viongozi na wakuu wa nchi mbalimbali duniani hutembelea na kukaribishwa Kufanya mikutano Tanzania,

katika hao wote sijawahi sikia Wageni hawa wakilalamika kuwa Wamepata changamoto ya Lugha ama hawakufanikisha mambo yao kwa sababu ya Lugha,
Hii dhana ya kusema Watanzania hawajui Kingereza kwa nini ishikiliwe bango na Wakenya pekee,?
au wanataka tuzungumze kama vile wazungu wakati sisi ni Watanzania,

Hivi utumwa utatoka lini Vichwani mwa hawa majirani waingereza Weusi?
ULIUONA HUU UZI KWELI?

"cordoba started a thread called Niko na mnigeria hapa anaiponda Tanzania anajisifu sana. There may be more posts after this.
Today at 7:35 AM"
 
Back
Top Bottom