Kwa nini Waislam hawana KWAYA Misikitini?

Kwa nini Waislam hawana KWAYA Misikitini?

Quran imekata kwaya?
kwenye ibada hakuna ila kwenye sherehe zipo kaswida,ibada ya kiislamu imeelezwa vizuri mno hatua kwa hatua,kuanzia kuchukua udhu,sala za awali na baada ya kusali,na sala yenyewe ambayo itategemea ni sala ya alfajir,adhuhur,alaasir,magharib au isha
 
Mungu aliamrisha tumwimbie kwa Bidii zote:
..........
Zaburi ni Nyimbo zenye mahadhi ya Ushairi
............
Zaburi (Psa) 98:5
Mwimbieni BWANA zaburi kwa kinubi, Kwa kinubi na sauti ya zaburi.

Zaburi 98:4
Mshangilieni Bwana, nchi yote, Inueni sauti, imbeni kwa furaha, imbeni zaburi.

5 Mwimbieni Bwana zaburi kwa kinubi, Kwa kinubi na sauti ya zaburi.

6 Kwa panda na sauti ya baragumu. Shangilieni mbele za Mfalme, Bwana.
.........
Hakuna andiko kwenye Qurani, wala Hadithi linalo agiza kumwimbia Mungu Allah:
Allah hataki kusifiwa kwa Nyimbo:
Kumwimbia Allah ni Kufru kama Kufru nyingine:
 
kwenye ibada hakuna ila kwenye sherehe zipo kaswida,ibada ya kiislamu imeelezwa vizuri mno hatua kwa hatua,kuanzia kuchukua udhu,sala za awali na baada ya kusali,na sala yenyewe ambayo itategemea ni sala ya alfajir,adhuhur,alaasir,magharib au isha
Una aya yoyote waisalam wakiabudu ni marufuku kuimba KWAYA au nyimbo za SIFA KWA Allah
 
Mungu aliamrisha tumwimbie kwa Bidii zote:
..........
Zaburi ni Nyimbo zenye mahadhi ya Ushairi
............
Zaburi (Psa) 98:5
Mwimbieni BWANA zaburi kwa kinubi, Kwa kinubi na sauti ya zaburi.

Zaburi 98:4
Mshangilieni Bwana, nchi yote, Inueni sauti, imbeni kwa furaha, imbeni zaburi.

5 Mwimbieni Bwana zaburi kwa kinubi, Kwa kinubi na sauti ya zaburi.

6 Kwa panda na sauti ya baragumu. Shangilieni mbele za Mfalme, Bwana.
.........
Hakuna andiko kwenye Qurani linalo agiza kumwimbia Mungu Allah:
Allah hataki kusifiwa kwa Nyimbo:
Na waislam wameambiwa waamini Vitabu vya nwenyezi Mungu

Taurat, Zabur, INJILI na Quran.
Mbona maneno hata hawayazingatii?
 
Kaswida si sehemu katika ibada za waislamu bali wale wajinga wasiojua dini yao, uislamu sio dini ya kucheza na kukata viuno .
Kucheza na kukata viuno ni uhuni na ujinga wa kiibada. Ila kuimba ni Ibada kamili.
Ni wakati gani wa Ibada waislam wanaziimba hizo kaswida
 
"Waache wale walioifanya dini yao ni mchezo na upuuzi na ukawadanganya wao uhai wa dunia, nawe kumbusha kwa hii Qur'an isije nafsi ikaangamizwa kwa sababu ya iliyoyachuma, nayo haina mlinzi wala mwombezi isipokuwa Allah, hata kama ikitoa kila fidia basi haitokubaliwa, hao ndio wale walioangamizwa kwa sababu ya yale waliyoyachuma, watapata wao kinywaji cha maji ya moto kabisa na adhabu yenye kutia uchungu kwasababu ya kule kukufuru kwao."

Qur'an 6:70

matunduizi
 
Zaburi 68:32
Enyi falme za dunia, mwimbieni Mungu, Msifuni Bwana kwa nyimbo.
.............
Kama una D mbili tu za form four utalielewa vizuri hilo andiko
 
Nimeimisi divai na mkate yaani damu na mwili wa Jesu.

Nilikuwa mkali wa kutikisa chetezo hadi inatoa mlio wa kukonga nyoyo za watu.
Sala yangu na ipae mbele yako,

Na ipae,

Kama Moshi wa ubaani,

Au

Sala yangu na ipae mbele yako bwana,

Kama Moshi wa ubaani, Moshi wa ubaani,

Na kuinuliwa mbele ya uso wa bwana,

Uso wako, uso wako Mtakatifu ikupendeze eeh Mungu, uuh

Ikupendeze eeh Mungu, uuh

Ikupendeze eeh Mungu, uuh

Ibada za katoliki i feel like nipo heaven zina utulivu sana 🙏
 
Sala yangu na ipae mbele yako,

Na ipae,

Kama Moshi wa ubaani,

Au

Sala yangu na ipae mbele yako bwana,

Kama Moshi wa ubaani, Moshi wa ubaani,

Na kuinuliwa mbele ya uso wa bwana,

Uso wako, uso wako Mtakatifu ikupendeze eeh Mungu, uuh

Ikupendeze eeh Mungu, uuh

Ikupendeze eeh Mungu, uuh

Ibada za katoliki i feel like nipo heaven zina utulivu sana 🙏
Kitu ambacho watu wengi hawapendi ni kule kupiga magoti Kila wakati.
 
"Waache wale walioifanya dini yao ni mchezo na upuuzi na ukawadanganya wao uhai wa dunia, nawe kumbusha kwa hii Qur'an isije nafsi ikaangamizwa kwa sababu ya iliyoyachuma, nayo haina mlinzi wala mwombezi isipokuwa Allah, hata kama ikitoa kila fidia basi haitokubaliwa, hao ndio wale walioangamizwa kwa sababu ya yale waliyoyachuma, watapata wao kinywaji cha maji ya moto kabisa na adhabu yenye kutia uchungu kwasababu ya kule kukufuru kwao."

Qur'an 6:70

matunduizi
Hii ndio aya inayokataza kuimba na KWAYA mkuu
 
Kitu ambacho watu wengi hawapendi ni kule kupiga magoti Kila wakati.
Ikiwa Ibada ya jumapili magoti hupigwa wakati wa ondoleo la dhambi, ile mnatubu, ukitoka hapo ni mpaka wakati wa mageuzo ya mkate na divai, then mkijiandaa kushrk ekaristi na wakati wa kuirudsha Tabernacle
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom