Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 12,308
- 27,084
Wa mwanakondooMungu alianzisha kwaya kanisani waliimba wimbo gani?
Wa mwanakondooMungu alianzisha kwaya kanisani waliimba wimbo gani?
Waulize wanabatizwa kama ilivyo amriwa katika Injiri ?Na waislam wameambiwa waamini Vitabu vya nwenyezi Mungu
Taurat, Zabur, INJILI na Quran.
Mbona maneno hata hawayazingatii?
Nimeamini wewe ni Roman wala siyo ndugu yangu katika imani.Ikiwa Ibada ya jumapili magoti hupigwa wakati wa ondoleo la dhambi, ile mnatubu, ukitoka hapo ni mpaka wakati wa mageuzo ya mkate na divai, then mkijiandaa kushrk ekaristi na wakati wa kuirudsha Tabernacle
Je, kama nimesoma Bendel Moshi utajuaje? Na ukisoma shule za katoliki lazima ufate misingi yaoNimeamini wewe ni Roman wala siyo ndugu yangu katika imani.
Inaonekana wewe ni sabato.Mungu alianzisha kwaya kanisani waliimba wimbo gani?
Basi ulisoma Bendel Moshi halafu wewe ni TAG, huambiwi kitu kuhusu boni mwamposa.Je, kama nimesoma Bendel Moshi utajuaje? Na ukisoma shule za katoliki lazima ufate misingi yao
Kuamini vitabu vinne basi tulitegemea tuone kuhudi kote sio kimoja tuWaulize wanabatizwa kama ilivyo amriwa katika Injiri ?
Kumwamini mtu ni kumtambua tu kuwa (alikuwepo) yupo, na sio kutii maagizo yake:
Mathayo 28:18
Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.
19 Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;
20 na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.
...............
Take care
Hapana Mimi ni Abdul Karim bin FahadBasi ulisoma Bendel Moshi halafu wewe ni TAG, huambiwi kitu kuhusu boni mwamposa.
Hongera kwa kusilimu.Hapana Mimi ni Abdul Karim bin Fahad
Nani kasilimu 🤔😂Hongera kwa kusilimu.
Wameambiwa waamini Torati, Zaburi na Injiri kuwa ni vitabu vya Mwenyezi Mungu:Kuamini vitabu vinne basi tulitegemea tuone kuhudi kote sio kimoja tu
WeweNani kasilimu 🤔😂
Hamna Mimi ni Frank wales Mushi, meku na Mangi mweni kishandi, honestly hata ukiuliza waliosoma lya byz wananijua ukisema Frank-waWewe
Si ulisalimu?Hamna Mimi ni Frank wales Mushi, meku na Mangi mweni kishandi, honestly hata ukiuliza waliosoma lya byz wananijua ukisema Frank-wa
Kwao muziki ni haramu ila Shetani na majini ni waislamu swafii tena wamesilimiswa na mudi boy mwenyewe ...shetani ibilisi ni mmojawapo wa maswahaba wa mtume muhammadMwenyeziMungu NDIYE aliyeanzisha KWAYA KWA mara ya kwanza wakati wa Mfalme na Nabii Dawood.
Mwenyezi Mungu mwenyewe anapenda sana kuimba na muimbaji...
Sefania 3:17
BWANA, Mungu wako, yuko katikati yako shujaa awezaye kuokoa; Atakushangilia... Atakufurahia kwa kuimba.
KWa nini NDUGU zetu hawana KWAYA Misikitini?
Hamna Mimi ni Frank wales Mushi, meku na Mangi mweni kishandi, honestly hata ukiuliza waliosoma lya byz wananijua ukisema Frank-Wewe
Hapana kaka, am a CatholicSi ulisalimu?
Acha matani yako.
Mimi nilisilimu mkuu sasa hivi ni mwendo wa kuvaa kanzu na boksa halafu juu natia baraghashia.Hamna Mimi ni Frank wales Mushi, meku na Mangi mweni kishandi, honestly hata ukiuliza waliosoma lya byz wananijua ukisema Frank-
Hapana kaka, am a Catholic
Zile Qaswida ni nini? Na zile kwaya za wazee za kukoroma sijui zinaitwaje Ile Huwa ninawakuta mitaani wakiwa na maandamano ya Imani Yao wazee wanakoroma hizo zote ni kwaya wataita majina tofauti ila kitu nikile kile. Wanapokisanyika watu zaidi ya Mmoja wakaimba melody inayoeleweka na kutumia Ngoma ( wao wanaitwa dufu) hiyo ni kwaya. Wanaobisha watabisha kama wale watakaosema Wana mabenki yasiyo na riba lakini Ukikopa lazima urejeshe na ziada wao wataita jina kingine lakini lugha ya kitaalamu ni ribaMwenyeziMungu NDIYE aliyeanzisha KWAYA KWA mara ya kwanza wakati wa Mfalme na Nabii Dawood.
Mwenyezi Mungu mwenyewe anapenda sana kuimba na muimbaji...
Sefania 3:17
BWANA, Mungu wako, yuko katikati yako shujaa awezaye kuokoa; Atakushangilia... Atakufurahia kwa kuimba.
KWa nini NDUGU zetu hawana KWAYA Misikitini?