Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 12,781
- 24,102
Mm nimesilimu piaMimi nilisilimu mkuu sasa hivi ni mwendo wa kuvaa kanzu na boksa halafu juu natia baraghashia.
Mm nimesilimu piaMimi nilisilimu mkuu sasa hivi ni mwendo wa kuvaa kanzu na boksa halafu juu natia baraghashia.
Kwahiyo zile dufu na vidole juu kimoja kikiwa kimeshika kanzu kama waimba hip-hop ni maandiko?Vitabu vinatambua hicho kitu? Waislam wanafuata vitabu vyao vinasema nini.
Madrasa hata Mimi nimeshawahi kuingia tukaziimba utotoni. Sijui kama kwenye Ibada zile za swalantano kama huyo KUWA Kuna kaswidaKaswida hazihesabiwi kama sehemu ya kutumbuiza?
Hua naona kwenye maulidi na wakiwa na sherehe kuna mtu ataghani.
Kuna hadi Madrasa zimerekodi nyimbo mbalimbali
😁😁😁Zipo kaswida. Zile shingo zinavyozungushwa daah
Original catholic.Inaonekana wewe ni sabato.
Kanisa Moja kubwa la mitume 😎.Original catholic.