Kwa nini wadada wanapenda sana hivi?

Kwa nini wadada wanapenda sana hivi?

John W. Mlacha

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2007
Posts
3,504
Reaction score
1,343
Panda daladala halafu kosaa kiti simama pembeni ya mdada tena wa heshima.... Wakati safari inaendelea mdada atajitahidi sana bega lake likuguse kwenye zip yako... Sjui wanatafuta kuguswa na nini ukisogea nyuma atajifanya Kakausha anasubiri gari iwatingishe ajisogeze tena kwako....
Mna maana gani nawauliza ?
 
Panda daladala halafu kosaa kiti simama pembeni ya mdada tena wa heshima.... Wakati safari inaendelea mdada atajitahidi sana bega lake likuguse kwenye zip yako... Sjui wanatafuta kuguswa na nini ukisogea nyuma atajifanya Kakausha anasubiri gari iwatingishe ajisogeze tena kwako....
Mna maana gani nawauliza ?

"No reseach no right to argue" ngoja nifanye utafiti
 
Is it often to you?? Hebu ni-PM mahali unapokumbana na hiyo kadhia nije nijionee mwenyewe.
 
Aaah wapi! Wakaka ndio wana hiyo tabia tena ukikaa vibaya utakuta wamesha kuchafua nyuma au wakat mwingine wanajifanya umembana sana mpaka anapeleka mkono kwa chuchu, hii tabia inabore sana kwakweli
 
..teh tehh, bongo kisiwa cha ngono,na ngono zembe kama india...
 
Aaah wapi! Wakaka ndio wana hiyo tabia tena ukikaa vibaya utakuta wamesha kuchafua nyuma au wakat mwingine wanajifanya umembana sana mpaka anapeleka mkono kwa chuchu, hii tabia inabore sana kwakweli

Uyasemayo best ni ya kweli sometimes, nakumbuka kuna mwaka nilikuwa nimepanda daladala iliyojaa sana alafu ilikuwa ni late sana, basi kwasababu nilikosa siti nilisimama, na ili nisije anguka nilishika bomba, si akatokea mdada mmoja ana kalio kubwa balaa, akawa amesimama mbele yangu naye kashika bombo basi kila gari inaposhika brake au kupita sehemu mbaya ilikuwa nagongwa viungo vyangu vya uzazi na lile kalio, binafsi ile safari ilinifanya nimalize haja zangu zote, ikumbukwe ni kipindi kile nimemaliza form six tu na nililelewa katika misingi sahihi by then hata sikuwahi kumiliki Girl friend.
 
Sema mkeo na sio wadada

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Umenikumbusha nilikaa siti moja na bint mmoja akaanza kusinzia mara mno wake akauweka kwenye goti, nikajua usingizi kadri safari ilivoendelea ule mkono ukazidi kusogea hakaribia na fraizi, mm pia ni lijali mara na mm mjongeo ukaanza sasa nikaona mm nazidi kuwa na hali mbaya nikajifanya kama najinyoosha akatoa akaniangalia usoni, nikajifanya nasinzia nayeye kasinzia papo hapo namkono kuuelekeza pale tena. Nilipo karibia kufika chalinze nikamwambia dada nakutakia safari njema huko dar, akanitazama usoni akaniomba namba ya sim nikampa, hadileo amekuwa ni rafiki yangu nimemtambulisha hata kwa mkewangu, hivh juzi aliongea na mkewangu kuja kutusalimia na hivi navoonge yupo. Je hawezi kuwa hatari kwa ndoa yetu maana sijui lengo lake,ila mrembo sana.ushauri
 
Panda daladala halafu kosaa kiti simama pembeni ya mdada tena wa heshima.... Wakati safari inaendelea mdada atajitahidi sana bega lake likuguse kwenye zip yako... Sjui wanatafuta kuguswa na nini ukisogea nyuma atajifanya Kakausha anasubiri gari iwatingishe ajisogeze tena kwako....
Mna maana gani nawauliza ?

hisia ni Mzigo!
 
Ngoja niache kamkebe kangu kwa leo tu nifanye utafiti, kumbe wenzetu wanaona mengi humo.
 
Panda daladala halafu kosaa kiti simama pembeni ya mdada tena wa heshima.... Wakati safari inaendelea mdada atajitahidi sana bega lake likuguse kwenye zip yako... Sjui wanatafuta kuguswa na nini ukisogea nyuma atajifanya Kakausha anasubiri gari iwatingishe ajisogeze tena kwako....
Mna maana gani nawauliza ?

inamaana sisi ni mbilikimo mpaka tukiwa tumesimama mabega yetu yaguse zipu zenu??? nimarangapi umesikia wanaume wanawachafua mabinti kwenye daladala, tena si ajabu na wewe ni mmoja wao, Nimekasirika.
 
Uyasemayo best ni ya kweli sometimes, nakumbuka kuna mwaka nilikuwa nimepanda daladala iliyojaa sana alafu ilikuwa ni late sana, basi kwasababu nilikosa siti nilisimama, na ili nisije anguka nilishika bomba, si akatokea mdada mmoja ana kalio kubwa balaa, akawa amesimama mbele yangu naye kashika bombo basi kila gari inaposhika brake au kupita sehemu mbaya ilikuwa nagongwa viungo vyangu vya uzazi na lile kalio, binafsi ile safari ilinifanya nimalize haja zangu zote, ikumbukwe ni kipindi kile nimemaliza form six tu na nililelewa katika misingi sahihi by then hata sikuwahi kumiliki Girl friend.

umeonaeeeh, tukisha wageukia huko nyuma mnashinwa vumilia nakuanza chafua skirt zetu. Kuna mmoja nilimchanaga live, alianza kugusisha naniliu yake kwa makalio yangu nikamsikilizia tu ilinione anataka kufanyaje then nikaona jamaa anaanza zungusha mkono kiunoni si ndio nikahisi hapa nitabakwa hadhani bcoz jamaa akili yake ilikuwa kama imehama vile, hapo hapo nilimgeukia na kumpa za uso abiria wenzangu na wenyewe hawakumbakisha jamaa aliona aibu na kumuomba dereva ashuke coz ilikuwa ni bonge la aibu sizani kama atarudia tena
 
Umenikumbusha nilikaa siti moja na bint mmoja akaanza kusinzia mara mno wake akauweka kwenye goti, nikajua usingizi kadri safari ilivoendelea ule mkono ukazidi kusogea hakaribia na fraizi, mm pia ni lijali mara na mm mjongeo ukaanza sasa nikaona mm nazidi kuwa na hali mbaya nikajifanya kama najinyoosha akatoa akaniangalia usoni, nikajifanya nasinzia nayeye kasinzia papo hapo namkono kuuelekeza pale tena. Nilipo karibia kufika chalinze nikamwambia dada nakutakia safari njema huko dar, akanitazama usoni akaniomba namba ya sim nikampa, hadileo amekuwa ni rafiki yangu nimemtambulisha hata kwa mkewangu, hivh juzi aliongea na mkewangu kuja kutusalimia na hivi navoonge yupo. Je hawezi kuwa hatari kwa ndoa yetu maana sijui lengo lake,ila mrembo sana.ushauri
Kwahiyo unataka tukushauri ili uje useme watu wa JF walikwambia ufanye hivi na hivi...ingekuwa mimi ningemfanya ila nsingesema humu JF maana ningeonekana nina tabia mbaya.
 
Back
Top Bottom