Kwa nini Sitta asihamie CHADEMA tujue moja?

Kwa nini Sitta asihamie CHADEMA tujue moja?

Mwacheni aendelee 'kujigamba' hukohuko maana ana nyodo sana. Labda arudi ccjee
 
6 hafai kabisa 100% kuhamia chadema. ila kwa unafiki wake anafaa kuhamia UPDP kule kwa Dovutwa.
 
sasa mbona haishi kuwawakia wenzie?

Kwangu mie RACHEL ni mapacha Watatu "A" na Mapacha Watatu "B" means: Sitta, Mwakyembe na Nape (Waanzilishi wa Wapinga Mafisadi na Founder members wa CCJ). hahahaaa......!
 
Its obvious kuwa hayuko comfortable kabisa pale alipo
 
Ntafurahia sana kumwona 6 CHADEMA
ana qualities za ucdm
 
Sita, amekuwa mbunge 1975, kawa waziri ndan ya nch hii tangu 1977, apumzke bana....
 
Mlimdanganya Mpendazoe hivyo hivyo akajimaliza mwenyewe !

Nani kakwambia Mpendazoe tumemdanganya. Mwulize makongoro mahanga au mpigie simu. Nasikia ameanza kampeni baada ya kuona kesi ni maji ya shingo kwake. Kabla ya 2012 Mpendazoe atakuwa mbunge wa segerea - Labda wamhonge sana jaji kwa kitu ambacho kiko very obvious. Na mimi niliona siku wanatangaza matokeo feki. Subiri.
 
Kwangu mie RACHEL ni mapacha Watatu "A" na Mapacha Watatu "B" means: Sitta, Mwakyembe na Nape (Waanzilishi wa Wapinga Mafisadi na Founder members wa CCJ). hahahaaa......!

NASAHA === Nape, Samwel sita, Harison mwakiyembe. Mapacha watatu.
SIMWANA == Sitta, mwakiyembe na Nape. mapacha watatu.
Chagua jina mojawapo unaloona linawafaa zaidi kutokana na matendo na historia zao.
 
Haendi chadema kwasababu sio mwendawazimu na pia hawezi kuigiza ukichaa
 
Chadema nacho ni chama, si genge la wahuni tu, agenda yao ipi, unrealistic focus
 
bwana Sitta ni Ndumila kuwili, kigeugeu sana, amemponza Fred Mpendazoe kwa ulimi wake na siasa zake za kipuuzi na unafiki! Kifupi HANA NAFASI CHADEMA!
 
hivi huyu hana tuhuma zozote zile za ufisadi?

Is he as clean as he's portraying himself au bas tuu?

Je akihamia chadema watampokea (assuming kama atakuwa na track record ya ufisadi)?

hakuna msafi ndini ya ccm, 6 anatuhumiwa kujenga ofisi ya uspika kule kwake urambo kwa milioni 400 na zaidi, aliamini kwamba yeye ni spika wa maisha, hizo hela bora hata zingenunua madawti shule za misingi.

Ni moja kati ya wanafiki wakubwa sana nchi hii, yeye pamoja na mwakyembe. Hwako sereasi
 
Ilikuwaje Ofisi ya spiker isijengwe Dodoma ambapo bunge lipo,ikajengwe Urambo, huo ndio tunaita ubinafsi,na kukosa vision(maono).
Sasa leo hii hiyo ofisi nani yupo huko? Huyu jamaa hafai kuaminiwa kabisa. Tujikumbushe jinsi alivyozima hoja za kamati ya bunge kuibana serikali itekeleze maamuzi ya kuwawajibisha waliohusika na mkataba wa richmond. Yeye kama mwanaccm wa siku nyingi anajua ccm haiwezi safishika.

Huyu Sita nadhani ni mnafiki wa hatari,Yaani alijua Uspika ni Uchifu mpaka akajiandaa kujengewa Ofisi Urambo,Kwa hiyo sasa Ofisi ya Spika itabidi ijengwe Njombe kwa Makinda!!!!!!!!!!!!!!!Duh! AKILI ZA WAAFRIKA,KAAAZI KWELIKWELI
 
Back
Top Bottom