Kwa nini Serikali inashindwa kufunga CCTV camera kwenye mataa?

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Sep 4, 2013
36,063
40,724
Kwa waliowahi kununua CCTV camera tunaomba mtusaidia, hivi set moja inauzwa bilioni ngapi kwani? Maana hadi serikali imeshindwa kununua walau seti kumi tu za kufunga kwenye mataa kama ya Mwenge, Morroco Nk, inamaanisha zitakuwa ni bei mbaya sana. Seti moja inauzwa Trillioni ngapi kwani?

========================
Update: 04/04/2024

 
Polisi wenyewe ndio hawa?? Dereva wa lory kaniudhi mno, kashindwa kutumia nafasi adimu kama hii, kweli?

IMG-20211116-WA0099.jpg


IMG-20211116-WA0098.jpg


IMG-20211116-WA0104.jpg


IMG-20211116-WA0103.jpg


IMG-20211116-WA0102.jpg


IMG-20211116-WA0097.jpg


IMG-20211116-WA0096.jpg


IMG-20211116-WA0105.jpg
 
Kwa waliowahi kununua CCTV camera tunaomba mtusaidia, hivi set moja inauzwa bilioni ngapi kwani? Maana hadi serikali imeshindwa kununua walau seti kumi tu za kufunga kwenye mataa kama ya Mwenge, Morroco Nk, inamaanisha zitakuwa ni bei mbaya sana. Seti moja inauzwa Trillioni ngapi kwani?
Kuweka cctv kwenye mataa itaharibu michongo mingine pamoja na miañya ya upigaji
 
Camera za kuweka mji mzima sio kama za kuweka nyumba moja

Unahitaji camera za outdoor zenye quality kubwa unahitaji cabling ya kutosha ya umeme na backup pia kwa mji mzima pia unahitaji cabling ya mji mzima na data center kubwa ya ku monitor the whole city

Wataalamu wa kufanya monitoring na repair pia backup server ya kutunza matukio atleast ya mwaka mmoja hapa unahitaji storage kubwa sana za data tena nadhani hichi kinawezekana ni vile hakina kipaumbele wakileta hii agenda utaskia shule hazina madawati sijui wapi hakuna maji na bla bla zingine
 
Kwny matukio wakishamaliza kufanya yao hua wanakuja kuzichukua,si unakumbuka tukio la kwa lissu zile CCTV.
Kipindi Mo ametekwa, CCTV camera binafsi ndio zilitumika, zingekuwepo na kwenye mataa uchunguzi ungekuwa rahisi sana, mambo ya ajabu sana haya!
 
Camera za kuweka mji mzima sio kama za kuweka nyumba moja

Unahitaji camera za outdoor zenye quality kubwa unahitaji cabling ya kutosha ya umeme na backup pia kwa mji mzima pia unahitaji cabling ya mji mzima na data center kubwa ya ku monitor the whole city

Wataalamu wa kufanya monitoring na repair pia backup server ya kutunza matukio atleast ya mwaka mmoja hapa unahitaji storage kubwa sana za data tena nadhani hichi kinawezekana ni vile hakina kipaumbele wakileta hii agenda utaskia shule hazina madawati sijui wapi hakuna maji na bla bla zingine
Waanze na camera walau 10 kwanza kwenye strategic traffic lights, hawana pesa? Ni bilioni ngapi kwani kufunga Camera 10?
 
Back
Top Bottom