Kwanini Prof. Baregu amenyimwa kazi UDSM?

Me simsikilizi katibu wa chama bwa mdogo, nakupa data za muhusika mwenyewe...navyojua huyo katibu wenu wa CHADEMA hamshikilii maisha baregu na si msemaji wa baregu.
Take it from me na sijaamua kutunga, jamaa kaamua kuwa likizo mwaka mmoja...CHADEMA ni nani mpaka waongelee ajira ya BAREGU?
Its BAREGU mwenyewe ambae anaeweza kuongelea swala lake.

kama hujui kama CHADEMA ni nani hadi waongelee suala la Baregu basi naanza kuwaamini wana JF wanaodai kweli wewe ni "Semenya ambaye hueleweki-heleweki"

Sina uhakika kama Baregu akuambie wewe Semenya kama yupo kwenye likizo ya mwaka mzima bila malipo then awaambie CHADEMA vingine,na sina uhakika na sitamuelewa milele Slaa kama atajitungia tu kuwa Baregu kanyimwa mkataba mpya ili hali kumbe kamuambia Semenya kuwa yupo likizo!

Kama ni hivyo basi Slaa na CHADEMA yote ni wendawazimu hasa kwa kujitungia tu mambo yanayowahusu maafisa wao wa juu ndani ya chama!
 
[QUOTE=Semenya;688016]Kakwambia wamemnyima kumuongezea? Acha uzushi wewe?, unataka aje SAUt kufundisha vilaza sio? huko hata dicvision 4 ya mwisho mtu anaku8a dmited...SUA is pathetic pamoja na Open...naomba kuwasilisha hoja.[/QUOTE]

Huja hiyo imetulia, maana natarajia prof apumnzike na huenda sio kweli kuwa kanyimwa kazi ni uzushi tuu! ila umelata pumba juu ya kuponda vyuo vingine hii inaonyesha jinsi gani fikira zako zina upeo finyu, How did you joing great thinkers with such reasoning? you are boring!
 
Me simsikilizi katibu wa chama bwa mdogo, nakupa data za muhusika mwenyewe...navyojua huyo katibu wenu wa CHADEMA hamshikilii maisha baregu na si msemaji wa baregu.
Take it from me na sijaamua kutunga, jamaa kaamua kuwa likizo mwaka mmoja...CHADEMA ni nani mpaka waongelee ajira ya BAREGU?
Its BAREGU mwenyewe ambae anaeweza kuongelea swala lake.

Sawa bwana mkubwa! Maana naona hata unadiriki kusema "KATIBU WETU"...sijui nani kakuambia mie ni mwanachama wa CHADEMA. Anyway, kama ni "BAREGU mwenyewe ambae anaeweza kuongelea swala lake" kama unavyodai...Sasa sijui wewe una haki gani kusema amechukua likizo ya mwaka mmoja? Unaonaje tukimsubiri Prof. Baregu mwenyewe kama unavyodai?
 
kama hujui kama CHADEMA ni nani hadi waongelee suala la Baregu basi naanza kuwaamini wana JF wanaodai kweli wewe ni "Semenya ambaye hueleweki-heleweki"

Sina uhakika kama Baregu akuambie wewe Semenya kama yupo kwenye likizo ya mwaka mzima bila malipo then awaambie CHADEMA vingine,na sina uhakika na sitamuelewa milele Slaa kama atajitungia tu kuwa Baregu kanyimwa mkataba mpya ili hali kumbe kamuambia Semenya kuwa yupo likizo!

Kama ni hivyo basi Slaa na CHADEMA yote ni wendawazimu hasa kwa kujitungia tu mambo yanayowahusu maafisa wao wa juu ndani ya chama![/QUOTE]

kwani ulikua ulijui hilo?
Tatizo lenu mnataka tu ionekane kanyimwa ili muhusishe na SIASA kama Huyo Slaa anavyotaka. Wewe hujui hoja za kifisadi zimeisha?watu wanataka kuongea wasikike.....

kwani CHADEMA ndo wanahusika na Mkataba wa BAREGU na UDSM, CHADEMA hawapo kabisa, ni kama privy to contract vile......Ndugu yangu wanasiasa wetu wamekosa cha kusema wanabaki wanatafta publicity.....kuna mengi sana yakuiongelea nchi yetu.

Na kama ingetokea kweli kanyimwa, Basi Baregu halazimwishwi kwenda kuomba kazi UDSM, angeomba hata UDOM...Lakini kwa taarifa yenu yupo likizo, najua mnataka aonekane kanyimwa ili mfuraishe genge, na mwakani mtaumbuka sana.
 
Sawa bwana mkubwa! Maana naona hata unadiriki kusema "KATIBU WETU"...sijui nani kakuambia mie ni mwanachama wa CHADEMA. Anyway, kama ni "BAREGU mwenyewe ambae anaeweza kuongelea swala lake" kama unavyodai...Sasa sijui wewe una haki gani kusema amechukua likizo ya mwaka mmoja? Unaonaje tukimsubiri Prof. Baregu mwenyewe kama unavyodai?
yeah its a good idea, but i'm giving u the hint....nachopinga mimi ni kwa hawa wanasiasa wetu kukosa mambo na kujitaftia kitu cha kusema hata kwa uzushi.Maana hapo huyo SLAA, yeye hausiki kabisa na mkataba wa UDSM na Baregu, nashangaa anajitia kimbelembele.
 
[QUOTE=Semenya;688016]Kakwambia wamemnyima kumuongezea? Acha uzushi wewe?, unataka aje SAUt kufundisha vilaza sio? huko hata dicvision 4 ya mwisho mtu anaku8a dmited...SUA is pathetic pamoja na Open...naomba kuwasilisha hoja.

Huja hiyo imetulia, maana natarajia prof apumnzike na huenda sio kweli kuwa kanyimwa kazi ni uzushi tuu! ila umelata pumba juu ya kuponda vyuo vingine hii inaonyesha jinsi gani fikira zako zina upeo finyu, How did you joing great thinkers with such reasoning? you are boring![/QUOTE]
kwa upeo mdogo nilionao najua kuwa OPEN, SAUT, TUMAINI na MUSLIM UNIVERSITY ni pathetic katika elim ya Tanzania.
angalia hata wanafunzi ambao hawana sifa ya kuwa admited katika higher learning wanakua admited huko.
mtu ana EES au DEE na failures nyingi tu anakua admited.
 
Mie nauliza kuna mtu ana CV ya Professor Baregu? Maana mara mtu anasema kasoma Stanford PhD. Je amepublish??, First degree amesoma wapi?? Second Degree?? Ameshawahi kupata research fundings?? Kupewa nafasi katika mashirika ya Kimataifa kwani si lazima maisha UDSM tu!!!
Kuna sehemu mbali mbali mfano ukipublish katika Journal (Academic Journal) marekani mara moja unaingia but umri utazuia but unaweza kupewa post nyenginezo kama ushauri etc. UDSM si mwisho wa maisha na sio lazima
Unaweza kutembelea sehemu ya makala zake hapa, ili ujiridhishe

http://pipl.com/directory/name/Baregu/Mwesiga
 
Kama ni wakali kwa taaluma zao si waende nje....
Kuhusu rwanda,hao watanzania wanaothaminiwa huku.wakifika huko
hawajihusishi na siasa za huko,wakijihusisha watatimuliwa pia,

.........ili Tanzania ibaki na wale ambao siyo wakali kwa taaluma zao??
 
Taarifa ya chama cha siasa ni siasa, Chadema inataka kuleta siasa kwenye kila kitu, Beregu alishastaafu, muda anaoendelea nao ni kama pensheni, japo siungi mkono hoja ya Semenya kwamba yuko Sabatical kama Shivji, si kweli, Shivji amestaafu na ameaga/agwa, hayuko sabatical, nadhani yeye hajaomba kuendelea zaidi ya kuobwa kuwa Mwenyekiti wa Kigoda cha Kambarage.

Wahadhiri wengi tuu wako kwenye active politics na wako UDSM wengine humo mumo Chadema, kama ni kweli Chadema ndio issue, UD wangewaflush wote, why Beregu pekee unless ni kafanywa mbuzi wa kafara?.
 
Tuweke siasa kando kwanza. Suala la Baregu lilianza muda kidogo na wakulizungumzia ni yeye mwenyewe na/au UDSM. Yeye mwenyewe Prof. Baregu anaweza kuwa amechangia matokeo ya kutopewa mkataba mpya. Kwa mfano kuna wakati mkataba uliisha miezi karibu mitatu halafu akawa hata hakumbuki na wala hakuwa amejaza fomu za kuomba mkataba mwingine aaaaagggggggggghhhrrr!!!!
 
Tuweke siasa kando kwanza. Suala la Baregu lilianza muda kidogo na wakulizungumzia ni yeye mwenyewe na/au UDSM. Yeye mwenyewe Prof. Baregu anaweza kuwa amechangia matokeo ya kutopewa mkataba mpya. Kwa mfano kuna wakati mkataba uliisha miezi karibu mitatu halafu akawa hata hakumbuki na wala hakuwa amejaza fomu za kuomba mkataba mwingine aaaaagggggggggghhhrrr!!!!
Kila mkataba huwa unatamka wazi ukomo wake, kama ni kweli mkataba umeisha, hujaomba tena miezi 3 inapita!, ni wazi ndio uthibitisho wa ukamilifu wa mkataba wenyewe na muhusika ameridhika kutoendelea, kwa hili UDSM were dam right unless there is something personal, saa nyingine unakuta ni issues za chemistry haziivi mtu na mtu. Mwacheni Prof apumzike ajenge chama, 2010 is almost here!.
 
Me simsikilizi katibu wa chama bwa mdogo, nakupa data za muhusika mwenyewe...navyojua huyo katibu wenu wa CHADEMA hamshikilii maisha baregu na si msemaji wa baregu.
Take it from me na sijaamua kutunga, jamaa kaamua kuwa likizo mwaka mmoja...CHADEMA ni nani mpaka waongelee ajira ya BAREGU?
Its BAREGU mwenyewe ambae anaeweza kuongelea swala lake.

Sasa wewe mbona unamsemea Prof Baregu alafu wakati huo huo unasema ni yeye mwenyewe anaweza kujisemea??? You must be a crazy guy/lady
 
kakwambia wamemnyima kumuongezea? Acha uzushi wewe?, unataka aje saut kufundisha vilaza sio? Huko hata dicvision 4 ya mwisho mtu anaku8a dmited...sua is pathetic pamoja na open...naomba kuwasilisha hoja.

we mwehu nini? Waliosoma na wanaosoma udsm wote mwishowe huwa na akili kama za kaputeeeeeeeeeeiiiiiiiiin makamba. Hamna kitu pale zaidi ya ngono na ukimwi. Usitupostie upupu wako humu
 
kama hujui kama CHADEMA ni nani hadi waongelee suala la Baregu basi naanza kuwaamini wana JF wanaodai kweli wewe ni "Semenya ambaye hueleweki-heleweki"

Sina uhakika kama Baregu akuambie wewe Semenya kama yupo kwenye likizo ya mwaka mzima bila malipo then awaambie CHADEMA vingine,na sina uhakika na sitamuelewa milele Slaa kama atajitungia tu kuwa Baregu kanyimwa mkataba mpya ili hali kumbe kamuambia Semenya kuwa yupo likizo!

Kama ni hivyo basi Slaa na CHADEMA yote ni wendawazimu hasa kwa kujitungia tu mambo yanayowahusu maafisa wao wa juu ndani ya chama![/QUOTE]

kwani ulikua ulijui hilo?
Tatizo lenu mnataka tu ionekane kanyimwa ili muhusishe na SIASA kama Huyo Slaa anavyotaka. Wewe hujui hoja za kifisadi zimeisha?watu wanataka kuongea wasikike.....

kwani CHADEMA ndo wanahusika na Mkataba wa BAREGU na UDSM, CHADEMA hawapo kabisa, ni kama privy to contract vile......Ndugu yangu wanasiasa wetu wamekosa cha kusema wanabaki wanatafta publicity.....kuna mengi sana yakuiongelea nchi yetu.

Na kama ingetokea kweli kanyimwa, Basi Baregu halazimwishwi kwenda kuomba kazi UDSM, angeomba hata UDOM...Lakini kwa taarifa yenu yupo likizo, najua mnataka aonekane kanyimwa ili mfuraishe genge, na mwakani mtaumbuka sana.



Ngoja nijiendee zangu kulisha kiti-moto wangu! Mnachoongelea hapa hakina impakti na pesono laifu yangu. Kudadadeki!
 
Mie nauliza kuna mtu ana CV ya Professor Baregu? Maana mara mtu anasema kasoma Stanford PhD. Je amepublish??, First degree amesoma wapi?? Second Degree?? Ameshawahi kupata research fundings?? Kupewa nafasi katika mashirika ya Kimataifa kwani si lazima maisha UDSM tu!!!

Kuna sehemu mbali mbali mfano ukipublish katika Journal (Academic Journal) marekani mara moja unaingia but umri utazuia but unaweza kupewa post nyenginezo kama ushauri etc. UDSM si mwisho wa maisha na sio lazima

Mitandao ya vyuo vyetu inatia kichefu chefu. Yaani hakuna Profile za wanataaluma wao, achana na vitu vidogo kama picha. Haya ndiyo nimeyapata kwenye website ya UDSM: M.L. Baregu, A.L.A. (UK), B.A. (Brock), M.A. (Dar), Ph.D. (Stanford)(http://www.pspa.udsm.ac.tz/Webpages/Academic%20Staff.html).


Hapo kwenye red; siku nyingine jaribu kutafuta taarifa mwenywe kwenye Google.com ili na wengine tufaidi!!
 
we mwehu nini? Waliosoma na wanaosoma udsm wote mwishowe huwa na akili kama za kaputeeeeeeeeeeiiiiiiiiin makamba. Hamna kitu pale zaidi ya ngono na ukimwi. Usitupostie upupu wako humu
Dah Mzee me sipo huko kwenye kuweka kila kitu siasa.....embu fikiria watu wangapi waliosoma UDSM na wanafanya kazi nzuri mtaaani ndo utajua kuwa wewe ni mzushi wa kutupwa. Nasikia hata kichefchef kukujibu hii post.....nadhani wewe ni mwanafunzi wa OPEN, au kile chuo chenye ma prof feki[ Mzumbe}, au SAUT wanaochukua failures, au Muslim University, au Tumaini......
 
Dah Mzee me sipo huko kwenye kuweka kila kitu siasa.....embu fikiria watu wangapi waliosoma UDSM na wanafanya kazi nzuri mtaaani ndo utajua kuwa wewe ni mzushi wa kutupwa. Nasikia hata kichefchef kukujibu hii post.....nadhani wewe ni mwanafunzi wa OPEN, au kile chuo chenye ma prof feki[ Mzumbe}, au SAUT wanaochukua failures, au Muslim University, au Tumaini......

Ukiona mtu anakiponda chuo Kingine anamawazo ya Kisekondari...ie ya Kitoto!!! Mtindo wa kushinda kwa shule mnauleta Vyuoni. Kuweni na concrete reasoning...na sio kuharibu image ya chuo/vyuo Vingine.

Vyuo takriban vyote, basi Wakuu wao wametoka UDSM..sioni umuhim wa mmoja kukiponda chuo kingine on baseless reasons.

Back to Mada:

Kama kafukuzwa au kanyimwa mkataba yeye si mtu wa Kwanza...wemenyima wengi tu kwa kwenda kuwatetea wapinzani....!!! angalieni mafaili vizuri...!!!

Pia as long as wapo waalim wengine ambao ni Chadema na bado wanafundisha UDSM...basi suala la Baregu tusilifanye btn CCM na Chadema....

naungana na wengine Baregu awekeze ktk SIASA na sio kuwaachia VILAZA kuongoza vyama. Tunahitaji wataalam waongoze vyama kitaalamu. Huku kufanya kazi za SIASA kama "temporary" hakuna dedication, ndiko kuna wafelisha watanzania.
 
Ukiona mtu anakiponda chuo Kingine anamawazo ya Kisekondari...ie ya Kitoto!!! Mtindo wa kushinda kwa shule mnauleta Vyuoni. Kuweni na concrete reasoning...na sio kuharibu image ya chuo/vyuo Vingine.

Vyuo takriban vyote, basi Wakuu wao wametoka UDSM..sioni umuhim wa mmoja kukiponda chuo kingine on baseless reasons.

Back to Mada:

Kama kafukuzwa au kanyimwa mkataba yeye si mtu wa Kwanza...wemenyima wengi tu kwa kwenda kuwatetea wapinzani....!!! angalieni mafaili vizuri...!!!

Pia as long as wapo waalim wengine ambao ni Chadema na bado wanafundisha UDSM...basi suala la Baregu tusilifanye btn CCM na Chadema....

naungana na wengine Baregu awekeze ktk SIASA na sio kuwaachia VILAZA kuongoza vyama. Tunahitaji wataalam waongoze vyama kitaalamu. Huku kufanya kazi za SIASA kama "temporary" hakuna dedication, ndiko kuna wafelisha watanzania.
Vyuo lazima visemwe ili vijirekebishe...ntakushangaa sana ukipenda viachwe hivihivi..Chuo kama Muslim University hakiwezi kuachwa hivihivi lazma kisemwe..la sivyo tutakua tuna watu wanasemekana wana degree tunawapa kazi serikalini wanaharibu mambo....viko vingi sana vyuo hivi OPEN UNIVERSITY IKIWEMO, watu wanafanyiwa assignment mtaaani na wanaikabidhi.....

lETE HIYO LIST YA WATU WA UPINZANI WALIONYIMWA MIKATABA...ACHA UONGO WEWE.....Tatizo lenu mnataka kuleta siasa katika kila kitu.....kama mmeishiwa mambo kuna hoja za Tanzania ku smuggle weapons waikazanie, au washauri wana CHADEMA waikazanie hio hoja, kuliko kuingilia maisha ya Baregu na familia yake.
 
Tuweke siasa kando kwanza. Suala la Baregu lilianza muda kidogo na wakulizungumzia ni yeye mwenyewe na/au UDSM. Yeye mwenyewe Prof. Baregu anaweza kuwa amechangia matokeo ya kutopewa mkataba mpya. Kwa mfano kuna wakati mkataba uliisha miezi karibu mitatu halafu akawa hata hakumbuki na wala hakuwa amejaza fomu za kuomba mkataba mwingine aaaaagggggggggghhhrrr!!!!

Hivi accademic staff wa UDSM wakistaafu wanaomba mkataba wa kuendelea; au chuo kinamuomba mtu aendelee kufundisha kama kuna upungufu wa service hiyo at that particular time? Nadhani ku avoid maneno mengi ni muhimu kujua ukweli.

La pili kunakitu kinajitokeza sasa katika siasa za Tanzania......wanataaluma wengi wanapokaribia kustaafu wanaanza kuinvest kwenye politics (ubunge); nadhani ni vizuri pia serikali ikaliangalia hili kwa umakini zaidi je ni kweli hao wote wana interest na siasa au ni njia ya ku sustain life after retirement kwani inalipa zaidi kufanya siasa (ubunge) kwa miaka mitano kuliko kuwa academician for 30 years in terms of gratuity na pension. This is just an hypothesis a research is needed to accept/reject this.

Pamoja na kua tuna soko huria lakini wakati mwingine kuna market failures hasa kunapokua na public good na government intervention is the only solution when this happen. Nimuhimu kuangalia upya suala za siasa za tanzania; kama siasa tu ndo itakuwa more rewarding (hasa ukiwa kwenye chama kinachoshika hatamu) kuliko other activities then mbele ya safari kutakuwa na competition ya ajabu kwenye kupata nafasi za siasa na pengine watu kuumizana. Niheri watu kushindana kuvumbua njia zitakazo saidia kuongeza kipato kuliko kushindana kugawana kidogo kilichopo.
 
Hakuna sababu ya kuhurumiana au kuleta utetezi usio na maana
Juu ya Prof . Kuwa Chadema hilo ni sawa, ni haki yake na hakuna alomhoji juu ya hilo, Juu ya unmri wake hilo pia ni dhahiri na kilamtu analijua na aliidha staafu. Hakuna kazi isiyo na kikomo, na kikomo chake kimeshafika, kama muda wote wa kisheria aliofanya kazi hakuridhika, na muda wa mkataba aliopewa akafanya kazi hakuridhika basi hakuna jisi tena. Ni lazma astaafu na wengine waweze kufanya kazi hizo. Naamini alipewa mkataba kuendelea na kazi kwakua bado alihitajika na labda hakukua na mtu wa kufanya kazi alizokua akizifanya kwa wakati ule na kaharaka. Sasa mikakati ya kumpata mtu wa kushika kazi zake imefanywa na mtu yupo. Kweli mnataka chuo kiendelee kuingia tu gharama za kuwa na mtu wasie muhitaji ata kwakua ni Chadema? au kwa kua wakimtoa atatafsiriwa kama ni jitihada za ccm dhidi ya wanaounga mkono upinzani? Je kuna mkataba usio na kikomo? Si haki ya kurenew contract ni ya kila pande? Je si kulikua na uwezekano hata yeye kutokua tayari kurenew contract hata kama chuo wangemuomba kufanya hivyo?

Maamuzi ya chuo ni sahihi kama contracting part na kamwe hizi zisihusishwe na jitihada za kisiasa.

Angalizo: Tusipokua makini kuendelea kulihisisha hili na misimamo ya kisiasa kunaweza kuwasababisha wasomi wetu wenye nia na malengo ya dhati kusimamia siasa za nchi hii hasa kwa kushiriki moja kwa moja ktk siasa za vyama vya upinzani kishindwa kufanya hivyo kwa kuhofia vibarua vyao.
 
Back
Top Bottom