Kasheshe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 4,694
- 787
Wanabodi,
Katika bandiko hili naomba niongelee vyama vya kitaifa especially the big 3. Nikimaanisha CHADEMA, CCM na CUF?
Zanzibar:
Kama kigezo kingekuwa chama cha kitaifa lazima kiwe kile chenye wabunge wa kuchaguliwa kutoka kwenye visiwa vyote Zanzibar, yaani Unguja na Pemba basi chama halali kuongoza Zanzibar ni CUF na wala sio CCM... in other words CUF ni chama cha kitaifa zaidi Zanzibar kuliko CCM, kwa kuwa CUF kina wawakilishi kutoka Pemba na Unguja!
Ni kutokana na mtizamo huu, CCM lazima ifanye kazi ya ziada ipate uwakilishi wa kuchaguliwa au iendelee na serikali ya Mseto kwa kuwa CCM haiwezi kuongoza kwa kuwakilishwa na kisiwa kimoja. So unless wafike kwenye hali ya kuweza kuwa na wawakilishi kutoka Pemba, itabidi waendelee na mseto huu milele.
Tanzania (Muungano):
Kama kigezo hapo juu cha chama cha kitaifa kingetumika then ni CUF na CCM tu ndio wanastahili kuitwa vyama vya kitafa kwa kuwa na wabunge wa kuchakuguliwa kutoka pande zote za muungano (Zanzibar na Tanzania bara)
Kwa mtizamo wangu, CHADEMA inastahili aidha kufanya juhudi za ziada kupata uwakilishi wa kuchaguliwa kutoka Zanzibar ama kukaa sahani moja na CUF na hata ikiwezekana kuungana ili kuunda vyama viwili vya kitafa ambavyo ni strong.
Wenzao CUF wameweza kuondoka kwenye hii changamoto maana kwenye uchaguzi huu wamepata viti bara wakati 2005 hawakuwa navyo.
Lazima CHADEMA itumie nguvu za ziada kupata uwakilishi wa kupigiwa kura kutoka Zanzibar ama kuungana na CUF kufanya upinzani thabiti.
===>Kwa maana hiyo ni CUF tu ndio yenye wawakilishi a.k.a wabunge wa kuchaguliwa kutoka Zanzibar (Unguja na Pemba) na Tanzania bara. CHADEMA na CCM you have home work to do! Kwa kuwa upande wa CCM na CUF wamefanya via maridhiano. Nadhani CHADEMA na CUF kama kambi ya Upinzani need to work together.
Katika bandiko hili naomba niongelee vyama vya kitaifa especially the big 3. Nikimaanisha CHADEMA, CCM na CUF?
Zanzibar:
Kama kigezo kingekuwa chama cha kitaifa lazima kiwe kile chenye wabunge wa kuchaguliwa kutoka kwenye visiwa vyote Zanzibar, yaani Unguja na Pemba basi chama halali kuongoza Zanzibar ni CUF na wala sio CCM... in other words CUF ni chama cha kitaifa zaidi Zanzibar kuliko CCM, kwa kuwa CUF kina wawakilishi kutoka Pemba na Unguja!
Ni kutokana na mtizamo huu, CCM lazima ifanye kazi ya ziada ipate uwakilishi wa kuchaguliwa au iendelee na serikali ya Mseto kwa kuwa CCM haiwezi kuongoza kwa kuwakilishwa na kisiwa kimoja. So unless wafike kwenye hali ya kuweza kuwa na wawakilishi kutoka Pemba, itabidi waendelee na mseto huu milele.
Tanzania (Muungano):
Kama kigezo hapo juu cha chama cha kitaifa kingetumika then ni CUF na CCM tu ndio wanastahili kuitwa vyama vya kitafa kwa kuwa na wabunge wa kuchakuguliwa kutoka pande zote za muungano (Zanzibar na Tanzania bara)
Kwa mtizamo wangu, CHADEMA inastahili aidha kufanya juhudi za ziada kupata uwakilishi wa kuchaguliwa kutoka Zanzibar ama kukaa sahani moja na CUF na hata ikiwezekana kuungana ili kuunda vyama viwili vya kitafa ambavyo ni strong.
Wenzao CUF wameweza kuondoka kwenye hii changamoto maana kwenye uchaguzi huu wamepata viti bara wakati 2005 hawakuwa navyo.
Lazima CHADEMA itumie nguvu za ziada kupata uwakilishi wa kupigiwa kura kutoka Zanzibar ama kuungana na CUF kufanya upinzani thabiti.
===>Kwa maana hiyo ni CUF tu ndio yenye wawakilishi a.k.a wabunge wa kuchaguliwa kutoka Zanzibar (Unguja na Pemba) na Tanzania bara. CHADEMA na CCM you have home work to do! Kwa kuwa upande wa CCM na CUF wamefanya via maridhiano. Nadhani CHADEMA na CUF kama kambi ya Upinzani need to work together.