KadaMpinzani
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 3,715
- 86
- Thread starter
- #81
Moderators.......
leo nimeingia JF na kuona baadhi ya topic ya member mmoja,lakini after few minutes naona ile MADA imefutwa.......hebu tueleze kwa nini?kumbuke leo umekuwa wewe moderators,lakini kesho na keshokutwa mola akipenda nikichaguliw mie kuwa moderators nikawa nafuta MADA zako utajisikia vizuri.
mie nahisi MADA ziachwe then wajumbe waamue ifutwe ama ipelekwe kunakohusika.naamini umenilewa mheshimiwa moderators.
invisible......
hebu twambie moderators wanakuwa ktk MADARAKA kwa muda gani?
mie sisemi !