Kupigiwa simu kila mara kukumbushwa kulipia TTCL Fiber hata baada ya kuwaambia huhitaji kwa sasa ni kero

Ricky Blair

JF-Expert Member
Mar 13, 2023
391
873
Jamani sisi office huwa tunalipia TTCL Fiber internet kwa mwezi ile unlimited 55k and speed ipo vzuri ingawa kuna muda network inazinguaga.

Basi sasa, mwezi huu hatujalipia tumeamua kukausha, izo simu sasa kila siku kutukumbusha? Why? Jamani, hii ni kodi?Mnatudai?

Sisi hatujui kwamba Internet imeisha? Lazima tulipie kila mwezi? Tuna mkataba wa kutulazimisha tulipie kila mwezi? Mnaboa.

Hata kama mnatafuta wateja sio kwa staili hii, nimeshachoka na nilishawajibu msinipigie simu kwa huo upumbavu unless kuna kitu cha muhimu.

Nikitaka internet nitalipia ila kwa muda ninaojisikia.
 
Hahaa! Yani king'amuzi kiishe halafu upigiwe simu uulizwe kwamba "oya mbona hulipii, hebu lipia" utadhani mkopo vile.
 
Jamani sisi office huwa tunalipia TTCL Fiber internet kwa mwezi ile unlimited 55k and speed ipo vzuri ingawa kuna muda network inazinguaga.

Basi sasa, mwezi huu hatujalipia tumeamua kukausha, izo simu sasa kila siku kutukumbusha? Why? Jamani, hii ni kodi?Mnatudai?

Sisi hatujui kwamba Internet imeisha? Lazima tulipie kila mwezi? Tuna mkataba wa kutulazimisha tulipie kila mwezi? Mnaboa.

Hata kama mnatafuta wateja sio kwa staili hii, nimeshachoka na nilishawajibu msinipigie simu kwa huo upumbavu unless kuna kitu cha muhimu.

Nikitaka internet nitalipia ila kwa muda ninaojisikia.
Habari mdau,,kupitia maelezo toka Kwa staff wa TTCL walisema kuwa serikali kupitia TTCL wamewekeza Hela nyingi kwenye hii fiber project ndo maana hakuna installation fee unatakiwa kulipia tu monthly fee, tofauti na isp wengine.. na wanatazamia huu uwekezaji utalipa in long term Kwa kutegemea malipo ya watumiaji wake..usidhani wanapenda kukusumbua Kuna gharama kubwa imetumika kukufanyia installation..
 
Hawa nao wanafiki tu, sísi tumeomba mwaka wa nne huu eti hawajafika huku, si wangefanyafanya ili wamaximize profit kwa kuwafungia wengi.

Tumeamua kujilipua kwa voda 4G 100k monthly
 
Mbona bei simple tu mzee, ukiwa 100K watumia mwezi mzima.

Sijui ni bei ya kifurushi gani hicho umezungumzia ila navyojua bei zao zimeanzia 115K na hiyo ni 4G tena ya 20Mbps

Lakini sababu ya kuwaita kausha damu haitokani na bei zao.

Bali mfumo wao wa malipo, ukilipia leo ukatumia mwezi mzima mpaka siku ya mwisho kifurushi kinapo expire, wanataka uendelee kulipia tu.

Usipolipia ukasema ulipie mwezi ujao utalazimika kulipia ule mwezi ambao hukutumia huduma.

Kwa hiyo kama ulikaa miezi mitano bila kulipia hiyo miezi yote wao wanahesabu deni japokuwa kwa wakati huo huduma hiyo ya internet hupati.
.Siku ukitaka kulipia tu utahitajika kufidia hiyo miezi sita
 
Sijui ni bei ya kifurushi gani hicho umezungumzia ila navyojua bei zao zimeanzia 115K na hiyo ni 4G tena ya 20Mbps

Lakini sababu ya kuwaita kausha damu haitokani na bei zao.

Bali mfumo wao wa malipo, ukilipia leo ukatumia mwezi mzima mpaka siku ya mwisho kifurushi kinapo expire, wanataka uendelee kulipia tu.

Usipolipia ukasema ulipie mwezi ujao utalazimika kulipia ule mwezi ambao hukutumia huduma.

Kwa hiyo kama ulikaa miezi mitano bila kulipia hiyo miezi yote wao wanahesabu deni japokuwa kwa wakati huo huduma hiyo ya internet hupati.
.Siku ukitaka kulipia tu utahitajika kufidia hiyo miezi sita
We sitofanya huo ujinga
 
Jamani sisi office huwa tunalipia TTCL Fiber internet kwa mwezi ile unlimited 55k and speed ipo vzuri ingawa kuna muda network inazinguaga.

Basi sasa, mwezi huu hatujalipia tumeamua kukausha, izo simu sasa kila siku kutukumbusha? Why? Jamani, hii ni kodi?Mnatudai?

Sisi hatujui kwamba Internet imeisha? Lazima tulipie kila mwezi? Tuna mkataba wa kutulazimisha tulipie kila mwezi? Mnaboa.

Hata kama mnatafuta wateja sio kwa staili hii, nimeshachoka na nilishawajibu msinipigie simu kwa huo upumbavu unless kuna kitu cha muhimu.

Nikitaka internet nitalipia ila kwa muda ninaojisikia.
Sisi wengine tunazungushwa nyie mnafungiwa alafu hamtaki kutumia🤣🤣 hii nchi matatizo sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom