Kasheshe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 4,694
- 787
usianze kujikombakomba kwangu sasa!
Si unajua kwa nini? te he te he!!!, burudani
usianze kujikombakomba kwangu sasa!
usianze kujikombakomba kwangu sasa!
waooo... umeanza vitisho sasa.... utatumia jeshi au polisi kuzuia hili kutokea!
Yanakuchosha wewe kama nani?
Si unajua kwa nini? te he te he!!!, burudani
kumbe ushajua yeye mpiga bendi, eeh !
Nadhani zaidi ya hapo, Najaribu kutafuta mfano sijapata!!!!
muulize mdhihiri akupatie mifano... teh teh teh teh
sera zimekwisha !
tatizo lenu ndio maana hamtoshika madaraka kamwe !
.....
ndevu ?-NINAZO suti-SINA ?
people are making zitto, dr. slaa, .. seem bigger than they are,
Kada, kubali umekosea usiwe kama CCM kuja na maneno mengi na kulaumu kila mtu isipokuwa kujiangalia wao wenyewe.
a. Ulibandika mada hapa kuhusu mahojiano ya Zitto
b. Mada hiyo ikachangiwa kidogo halafu ikahamishwa.
c. Uliporudi hukiona badala ya kutafuta ukaanzisha mada nyingi ya kulalamika.
d. Nikakuambia tafuta utaiona
e. Ukasema umetafuta ndio maana ukaanzisha mada
f. Mwawado akakufanyia kazi (ambayo wewe hukutaka kuifanya) akakuonesha kuwa mada yako ilikuwa mahali fulani.
g. Badala ya kukubali kuwa uliboronga unataka tuamini kuwa unatetea haki ya 'mada' za Zitto humu. Ukataka Admin aje atoe jibu.
h. Admin amekuja na kukupa jibu
i. Hutaki jibu la Admin unataka kile unachotaka.
Hii sasa ni kama kawaida. Ungefanya wanachofanya wenzako, ukianzisha mada na ukirudi huioni usikurupuke kulia "JF ya chadema!" mandikie Admin message muulize "mzee mbona mada yangu siioni kulikoni". Admin atakujibu na kukuelezea na kama mkiweza kushawishiana basi mada itarudishwa au itawekwa unakotaka and wala! Hakuna mgongano wala nini. Lakini wewe hapana. You want it and you want it now, otherwise no one gets it!
Sasa badala ya kukubali uliboronga unataka mada zote za Zitto zipelekwe kule. Next time fuata taratibu nyepesi badala ya kulalamika tu. Na kuhusu mimi na JF... sina maslahi yoyote isipokuwa kulinda hadhi ya forum kuwa isitumiwe kama kijiwe cha malalamishi yasiyo na msingi. Watu tumewekewa "muziki" hata hujui imewezekana vipi, na hujui jitihada gani zimefanyika kupata muziki huo.. kuna watu wamehangaika kufanya hivyo. Matokeo yake thread ya malalamiko inaangaliwa zaidi badala ya ile ya muziki!!
Kada, kubali umekosea usiwe kama CCM kuja na maneno mengi na kulaumu kila mtu isipokuwa kujiangalia wao wenyewe.
a. Ulibandika mada hapa kuhusu mahojiano ya Zitto
b. Mada hiyo ikachangiwa kidogo halafu ikahamishwa.
c. Uliporudi hukiona badala ya kutafuta ukaanzisha mada nyingi ya kulalamika.
d. Nikakuambia tafuta utaiona
e. Ukasema umetafuta ndio maana ukaanzisha mada
f. Mwawado akakufanyia kazi (ambayo wewe hukutaka kuifanya) akakuonesha kuwa mada yako ilikuwa mahali fulani.
g. Badala ya kukubali kuwa uliboronga unataka tuamini kuwa unatetea haki ya 'mada' za Zitto humu. Ukataka Admin aje atoe jibu.
h. Admin amekuja na kukupa jibu
i. Hutaki jibu la Admin unataka kile unachotaka.
Hii sasa ni kama kawaida. Ungefanya wanachofanya wenzako, ukianzisha mada na ukirudi huioni usikurupuke kulia "JF ya chadema!" mandikie Admin message muulize "mzee mbona mada yangu siioni kulikoni". Admin atakujibu na kukuelezea na kama mkiweza kushawishiana basi mada itarudishwa au itawekwa unakotaka and wala! Hakuna mgongano wala nini. Lakini wewe hapana. You want it and you want it now, otherwise no one gets it!
Sasa badala ya kukubali uliboronga unataka mada zote za Zitto zipelekwe kule. Next time fuata taratibu nyepesi badala ya kulalamika tu. Na kuhusu mimi na JF... sina maslahi yoyote isipokuwa kulinda hadhi ya forum kuwa isitumiwe kama kijiwe cha malalamishi yasiyo na msingi. Watu tumewekewa "muziki" hata hujui imewezekana vipi, na hujui jitihada gani zimefanyika kupata muziki huo.. kuna watu wamehangaika kufanya hivyo. Matokeo yake thread ya malalamiko inaangaliwa zaidi badala ya ile ya muziki!!
Moderators.......
leo nimeingia JF na kuona baadhi ya topic ya member mmoja,lakini after few minutes naona ile MADA imefutwa.......hebu tueleze kwa nini?kumbuke leo umekuwa wewe moderators,lakini kesho na keshokutwa mola akipenda nikichaguliw mie kuwa moderators nikawa nafuta MADA zako utajisikia vizuri.
mie nahisi MADA ziachwe then wajumbe waamue ifutwe ama ipelekwe kunakohusika.naamini umenilewa mheshimiwa moderators.
invisible......
hebu twambie moderators wanakuwa ktk MADARAKA kwa muda gani?