Kashaijabutege
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 2,696
- 740
Huwa nachefuka sana nikiona mwanamke anapaka mkorogo ili awe mweupe. Inachefua unamkuta mama amekuwa mwekundu kama komamanga. Kwa nini weupe hawajibadili kuwa weusi? Ina maana weusi ni laana? Kwa ujumla tabia hii ya dada zetu na mama zetu inatudhalilisha Waafrika. Rangi yetu ni nzuri na ni adimu, kwa nini kina dada na mama hawaipendi?
Binafsi napenda mwanamke anayetunza uasilia wake. Kama mweusi, abaki mweusi. Kama mweupe abaki mweupe.
Kina baba wenzangu, mliojaribu, taste ya wanawake walio'jikoroga' ikoje?
Binafsi napenda mwanamke anayetunza uasilia wake. Kama mweusi, abaki mweusi. Kama mweupe abaki mweupe.
Kina baba wenzangu, mliojaribu, taste ya wanawake walio'jikoroga' ikoje?