Kwa nini Marekani Itaanguka Vibaya Sana Kwenye Vita ya Iran

Kwa nini Marekani Itaanguka Vibaya Sana Kwenye Vita ya Iran

Kichuguu

Platinum Member
Joined
Oct 11, 2006
Posts
17,789
Reaction score
24,375
Vita yoyote iliyofanikiwa duniani hutokana kwa kiasi kikubwa na upangaji wa mashambulizi unaofanywa na makamanda kimedani. Marekani iliingia vita ya Vitenama ikiwa haina plani za kivita ikitegemea kupiga mabomu tu, njia ambayo pia imetumiwa na Urusi kuivamia Ukraine; mbinu hiyo huwa haifanikiwi kabisa labda kwa bahati mbaya tu. Kwenye vitaya Iraq, angalau makamanda wa jeshi la Marekani walipewa muda wa kupanga mashambulizi na kwa kiasi kikubwa sana kushinda vita hiyo hadi pale walipoamua kujiingiza klwenye siasa za kujenga demokrasi ndipo wakaelemewa na insurgents.

Kwenye vita hii ya Iran, makamnda wa jeshi la Marekani walisema kuwa hakuna plani yoyote ya maana kusababisha ushindi labda wapewe muda zaidi wa kuangalia alternatives. Hata hivyo wakati huo mkwe wa Ttrump (Kushner) alikuwa anashiriki mazungumzo ya kuizuia Iran isitengezea silaha za nyuklia na mazungumzo yalikuwa yanaendelea vizuri.

Baada ya Netanyahau kugundua kuwa kulikuwa na uwezekano Marekani kufikia makubaliano na Irani kama alivyo fanya Obana miaka yake, akatia pressure kwa Trump kuwa ni lazima Irani ishambuliwe sasa hivi kumuua kiongozi wake mkuu., Trump aliburuzwa na Netanyahu kwa vile anapenda kusifiwa lakini akijiinigiza katika vita hiyo wakati makamanda wake hawajafanyia tashtmini za kimendani. Makosa hayo yataifanya vita hii kuwa sawa kabisa na ile ya Vitenam. Uchumi wa Marekani unaweza kuathiriwa sana
 
Vita yoyote iliyofanikiwa duniani hutokana kwa kiasi kikubwa na upangaji wa mashambulizi unaofanywa na makamanda kimedani. Marekani iliingia vita ya Vitenama ikiwa haina plani za kivita ikitegemea kupiga mabomu tu, njia ambayo pia imetumiwa na Urusi kuivamia Ukraine; mbinu hiyo huwa haifanikiwi kabisa labda kwa bahati mbaya tu. Kwenye vitaya Iraq, angalau makamanda wa jeshi la Marekani walipewa muda wa kupanga mashambulizi na kwa kiasi kikubwa sana kushinda vita hiyo hadi pale walipoamua kujiingiza klwenye siasa za kujenga demokrasi ndipo wakaelemewa na insurgents.

Kwenye vita hii ya Iran, makamnda wa jeshi la Marekani walisema kuwa hakuna plani yoyote ya maana kusababisha ushindi labda wapewe muda zaidi wa kuangalia alternatives. Hata hivyo wakati huo mkwe wa Ttrump (Kushner) alikuwa anashiriki mazungumzo ya kuizuia Iran isitengezea silaha za nyuklia na mazungumzo yalikuwa yanaendelea vizuri.

Baada ya Netanyahau kugundua kuwa kulikuwa na uwezekano Marekani kufikia makubaliano na Irani kama alivyo fanya Obana miaka yake, akatia pressure kwa Trump kuwa ni lazima Irani ishambuliwe sasa hivi kumuua kiongozi wake mkuu., Trump aliburuzwa na Netanyahu kwa vile anapenda kusifiwa lakini akijiinigiza katika vita hiyo wakati makamanda wake hawajafanyia tashtmini za kimendani. Makosa hayo yataifanya vita hii kuwa sawa kabisa na ile ya Vitenam. Uchumi wa Marekani unaweza kuathiriwa sana
Wewe nawe umeshiba mihogo yako huko Cholesamvula uje kujifanya mchambuzi wa vita vya Marekani? Hebu tuache uzamwamwa!
 
Vita yoyote iliyofanikiwa duniani hutokana kwa kiasi kikubwa na upangaji wa mashambulizi unaofanywa na makamanda kimedani. Marekani iliingia vita ya Vitenama ikiwa haina plani za kivita ikitegemea kupiga mabomu tu, njia ambayo pia imetumiwa na Urusi kuivamia Ukraine; mbinu hiyo huwa haifanikiwi kabisa labda kwa bahati mbaya tu. Kwenye vitaya Iraq, angalau makamanda wa jeshi la Marekani walipewa muda wa kupanga mashambulizi na kwa kiasi kikubwa sana kushinda vita hiyo hadi pale walipoamua kujiingiza klwenye siasa za kujenga demokrasi ndipo wakaelemewa na insurgents.

Kwenye vita hii ya Iran, makamnda wa jeshi la Marekani walisema kuwa hakuna plani yoyote ya maana kusababisha ushindi labda wapewe muda zaidi wa kuangalia alternatives. Hata hivyo wakati huo mkwe wa Ttrump (Kushner) alikuwa anashiriki mazungumzo ya kuizuia Iran isitengezea silaha za nyuklia na mazungumzo yalikuwa yanaendelea vizuri.

Baada ya Netanyahau kugundua kuwa kulikuwa na uwezekano Marekani kufikia makubaliano na Irani kama alivyo fanya Obana miaka yake, akatia pressure kwa Trump kuwa ni lazima Irani ishambuliwe sasa hivi kumuua kiongozi wake mkuu., Trump aliburuzwa na Netanyahu kwa vile anapenda kusifiwa lakini akijiinigiza katika vita hiyo wakati makamanda wake hawajafanyia tashtmini za kimendani. Makosa hayo yataifanya vita hii kuwa sawa kabisa na ile ya Vitenam. Uchumi wa Marekani unaweza kuathiriwa sana
Ni kama ulikuwepo kwenye vikao vya ndani vya USA!
 
Vita yoyote iliyofanikiwa duniani hutokana kwa kiasi kikubwa na upangaji wa mashambulizi unaofanywa na makamanda kimedani. Marekani iliingia vita ya Vitenama ikiwa haina plani za kivita ikitegemea kupiga mabomu tu, njia ambayo pia imetumiwa na Urusi kuivamia Ukraine; mbinu hiyo huwa haifanikiwi kabisa labda kwa bahati mbaya tu. Kwenye vitaya Iraq, angalau makamanda wa jeshi la Marekani walipewa muda wa kupanga mashambulizi na kwa kiasi kikubwa sana kushinda vita hiyo hadi pale walipoamua kujiingiza klwenye siasa za kujenga demokrasi ndipo wakaelemewa na insurgents.

Kwenye vita hii ya Iran, makamnda wa jeshi la Marekani walisema kuwa hakuna plani yoyote ya maana kusababisha ushindi labda wapewe muda zaidi wa kuangalia alternatives. Hata hivyo wakati huo mkwe wa Ttrump (Kushner) alikuwa anashiriki mazungumzo ya kuizuia Iran isitengezea silaha za nyuklia na mazungumzo yalikuwa yanaendelea vizuri.

Baada ya Netanyahau kugundua kuwa kulikuwa na uwezekano Marekani kufikia makubaliano na Irani kama alivyo fanya Obana miaka yake, akatia pressure kwa Trump kuwa ni lazima Irani ishambuliwe sasa hivi kumuua kiongozi wake mkuu., Trump aliburuzwa na Netanyahu kwa vile anapenda kusifiwa lakini akijiinigiza katika vita hiyo wakati makamanda wake hawajafanyia tashtmini za kimendani. Makosa hayo yataifanya vita hii kuwa sawa kabisa na ile ya Vitenam. Uchumi wa Marekani unaweza kuathiriwa sana
Bado wanaamini Regime change wataifanikisha kutokea angani kama kule Libya
 
Ni kama ulikuwepo kwenye vikao vya ndani vya USA!
Wewe usiefuatilia habari za dunia ndiyo unavyodhani kuwa kulikuwa na Vikao vya ndani vilivyofanya tathmini huku bado kushner alikuwa bado anaendelea na majadiliano huko Geneva, ndipo Israel ikaamua kufanya mashambulizi ya kumuua ayatollah. Serikali ya marekani iliingia ghafla kwenye mashambulizi hayo ikajiweka Kati ya majadiliano na uvamizi,
 
Bado wanaamini Regime change wataifanikisha kutokea angani kama kule Libya
Hamna kitu; regime change haitokei kwa mabomu, ya angani tu; hutokea kama kna wanakubaliana na dhana hiyo ndani ya nchi. Kwa mfano Gaddafi huko Libya aliangushwa kwa vile kulikuwa na makundi ndani ya nchi ambayo yalikuwa yanampinga Gaddafi.
 
Hamna kitu; regime change haitokei kwa mabomu, ya angani tu; hutokea kama kna wanakubaliana na dhana hiyo ndani ya nchi. Kwa mfano Gaddafi huko Libya aliangushwa kwa vile kulikuwa na makundi ndani ya nchi ambayo yalikuwa yanampinga Gaddafi.
Wakurdi wapo bado wanaandaliwa..
 
Vita yoyote iliyofanikiwa duniani hutokana kwa kiasi kikubwa na upangaji wa mashambulizi unaofanywa na makamanda kimedani. Marekani iliingia vita ya Vitenama ikiwa haina plani za kivita ikitegemea kupiga mabomu tu, njia ambayo pia imetumiwa na Urusi kuivamia Ukraine; mbinu hiyo huwa haifanikiwi kabisa labda kwa bahati mbaya tu. Kwenye vitaya Iraq, angalau makamanda wa jeshi la Marekani walipewa muda wa kupanga mashambulizi na kwa kiasi kikubwa sana kushinda vita hiyo hadi pale walipoamua kujiingiza klwenye siasa za kujenga demokrasi ndipo wakaelemewa na insurgents.

Kwenye vita hii ya Iran, makamnda wa jeshi la Marekani walisema kuwa hakuna plani yoyote ya maana kusababisha ushindi labda wapewe muda zaidi wa kuangalia alternatives. Hata hivyo wakati huo mkwe wa Ttrump (Kushner) alikuwa anashiriki mazungumzo ya kuizuia Iran isitengezea silaha za nyuklia na mazungumzo yalikuwa yanaendelea vizuri.

Baada ya Netanyahau kugundua kuwa kulikuwa na uwezekano Marekani kufikia makubaliano na Irani kama alivyo fanya Obana miaka yake, akatia pressure kwa Trump kuwa ni lazima Irani ishambuliwe sasa hivi kumuua kiongozi wake mkuu., Trump aliburuzwa na Netanyahu kwa vile anapenda kusifiwa lakini akijiinigiza katika vita hiyo wakati makamanda wake hawajafanyia tashtmini za kimendani. Makosa hayo yataifanya vita hii kuwa sawa kabisa na ile ya Vitenam. Uchumi wa Marekani unaweza kuathiriwa sana
Wachambuzi wa mchongo mnajifaraji sana
 
Kupiga mabomu siyo ushindi. Hata Vietnam ilipigwa sana mabomu na marekani lakini baadaye hadi leo marekani inakiri kushindwa vita ile.

Jana umemsikia Trump anaomba msaada wa nchi nyingine zishiriki.

Marekani hatafuti ushindi kwa looser, anachofanya anaondoa hatari ya magaidi kupata access ya silaha za nyuklia toka kwa kichaa anayegawa silaha hovyo kwa kila anayemuunga mkono, na kafanikiwa tayari, kutafsiri ni ushindi au kushindwa anawaachia weusi wanaona vita ni kama mpira wa yanga na simba. By the way Iran hatarudisha uwezo wake in our lifetime, ajipange tu upya au aamue kuwa gaidi kama wengine, but will never reorganize at least in 50-70 years
 
Marekani hatafuti ushindi kwa looser, anachofanya anaondoa hatari ya magaidi kupata access ya silaha za nyuklia toka kwa kichaa anayegawa silaha hovyo kwa kila anayemuunga mkono,
Ni bora anaegawa silaha, kuliko anaegawa mku.n.du. Israel wanaotembea bila kuvaa pampers ni wadogo sana, sababu 95% ya wanaume na wanawake tobo zao zimepanuka.
na kafanikiwa tayari, kutafsiri ni ushindi au kushindwa anawaachia weusi wanaona vita ni kama mpira wa yanga na simba. By the way Iran hatarudisha uwezo wake in our lifetime, ajipange tu upya au aamue kuwa gaidi kama wengine, but will never reorganize at least in 50-70 years
Iran hata ikikaa miaka 100, ni sawa tu maana wameshazoea maisha hayo, na huwa hawaombi msaada kwa mtu.

Ni tofauti na Israel, ambayo toka kuanzishwa kwake hadi leo hii, haijawahi kupata hela za kuendesha uchumi wake. Yani inaomba omba kushinda hata sisi waafrika.

Leo hii hata kisu cha jeshi au kiwi za viatu vyao zinatoka Marekani.
 
Ni bora anaegawa silaha, kuliko anaegawa mku.n.du. Israel wanaotembea bila kuvaa pampers ni wadogo sana, sababu 95% ya wanaume na wanawake tobo zao zimepanuka.

Iran hata ikikaa miaka 100, ni sawa tu maana wameshazoea maisha hayo, na huwa hawaombi msaada kwa mtu.

Ni tofauti na Israel, ambayo toka kuanzishwa kwake hadi leo hii, haijawahi kupata hela za kuendesha uchumi wake. Yani inaomba omba kushinda hata sisi waafrika.

Leo hii hata kisu cha jeshi au kiwi za viatu vyao zinatoka Marekani.

Ukishamaliza emotions zako hapo manzese acha endelea kutazama clips za gaidi looser anavyopewa adabu kijana wakati unasubiri daku dada yako aliyotolea jasho kwa shemeji yako wakati unabet!
 
Ukishamaliza emotions zako hapo manzese acha endelea kutazama clips za gaidi looser anavyopewa adabu kijana wakati unasubiri daku babako aliyotolea jasho wakati unabet!
Kisheria ukiona mtu anaingia ulingoni kupambana na watu wawili ujue huyo anajiweza.

Hata enzi zetu shuleni, ilikuwa.. ukiona mtoto amekimbia kwenda kumwita kaka yake ili waje wakuchangie, basi ujue mtoto huyo hana nguvu ya kukukabili, na anaamini kuwa akipambana peke yake utam'bonda,

Hivyo anaenda kumuita kaka yake ili kuongeza nguvu ya kupambana na wewe. Na ikitokea wewe unaetakiwa kuchangiwa ukasema upo tayari kupambana nao wote wawili bila kuhofia wingi wao au ukubwa wao.

Basi wewe utaonekana shujaa hata kwa wanafunzi wenzako darasani au shuleni, kwa kuwa tayari kupambana na watu wawili tena kwa kujiamini bila kuhofia chochote.

Then katika mapambano wakakujeruhi, lkn na wewe pia ukafanikiwa kuwajeruhi hapo watu wengi watukuona wewe ndio shujaa kwa sababu ya kufanikiwa kupambana nao wote wawili, na pia utaogopeka na kutegemewa kwa ushujaa na ujasiri wako wa kutoogopa kupambana na kulinda uanaume wako.

Tukija kwenye hii vita kama tukitanguliza uhalisia wa kinachoendelea na kuweka mihemko yetu pembeni.

Hakika utakubaliana na mimi kuwa Iran ni jasiri mno, na inahitajika kupongezwa. Kwanza kitendo cha kukubali kuingia katika vita na nchi mbili bila hofu yoyote, halaf tena hizo nchi mbili zinaanza kuomba msaada wa nchi zingine ziongezeke kupambana nayo, sio jambo dogo.

Week ya 3 sasa bado hali ni tete kwa pande zote. Yani hali tete kwa US na Israel ambazo zimejiunga kuichangia Iran na pia hali tete kwa Iran, kwa kuwa inapambana peke yake, kibongo bongo tunasema jeshi la mtu mmoja.

Lakini pia Iran haijaishia hapo mbali na kutoa dozi kwa kina Netanyahu kila siku, lkn pia bado inatoa dozi na kwa nchi zingine 6 za kiarab zenye kumletea unafiki.

Leo hii tunakaribia week Iran imefunga mlango wa bahari. Si Marekani wala Israel wote wanaogopa kwenda kuufungua. Mpaka wanaomba nchi zingine za dunia zije kusaidia na zenyewe kupambana tena na nchi 1, na bado Iran kakaza.

Kama Iran ingekuwa teketeke sidhani kama ingeweza kuchukua hata week au kuthubutu kuzuia mafuta na dunia ikaangalia.

Israel kupambana na Hamas kundi lenye vijana wasiozidi elf 3 tu, ilichukua zaidi ya miaka mitatu huku kila siku ikilia lia kuongezewa silaha na Marekani. Je angevamiwa na nchi 2 zenye uwezo mkubwa wa kijeshi kama ilivyo Iran leo, unafikiri ingeweza kutoboa hata week 2? Jibu hapana na ndomaana hata vita hii ilibidi akaombe msaada wa kupigana kutoka kwa Marekani.
img_1_1773658999630.jpg
 
Kisheria ukiona mtu anaingia ulingoni kupambana na watu wawili ujue huyo anajiweza.

Hata enzi zetu shuleni, ilikuwa.. ukiona mtoto amekimbia kwenda kumwita kaka yake ili waje wakuchangie, basi ujue mtoto huyo hana nguvu ya kukukabili, na anaamini kuwa akipambana peke yake utam'bonda,

Hivyo anaenda kumuita kaka yake ili kuongeza nguvu ya kupambana na wewe. Na ikitokea wewe unaetakiwa kuchangiwa ukasema upo tayari kupambana nao wote wawili bila kuhofia wingi wao au ukubwa wao.

Basi wewe utaonekana shujaa hata kwa wanafunzi wenzako darasani au shuleni, kwa kuwa tayari kupambana na watu wawili tena kwa kujiamini bila kuhofia chochote.

Then katika mapambano wakakujeruhi, lkn na wewe pia ukafanikiwa kuwajeruhi hapo watu wengi watukuona wewe ndio shujaa kwa sababu ya kufanikiwa kupambana nao wote wawili, na pia utaogopeka na kutegemewa kwa ushujaa na ujasiri wako wa kutoogopa kupambana na kulinda uanaume wako.

Tukija kwenye hii vita kama tukitanguliza uhalisia wa kinachoendelea na kuweka mihemko yetu pembeni.

Hakika utakubaliana na mimi kuwa Iran ni jasiri mno, na inahitajika kupongezwa. Kwanza kitendo cha kukubali kuingia katika vita na nchi mbili bila hofu yoyote, halaf tena hizo nchi mbili zinaanza kuomba msaada wa nchi zingine ziongezeke kupambana nayo, sio jambo dogo.

Week ya 3 sasa bado hali ni tete kwa pande zote. Yani hali tete kwa US na Israel ambazo zimejiunga kuichangia Iran na pia hali tete kwa Iran, kwa kuwa inapambana peke yake, kibongo bongo tunasema jeshi la mtu mmoja.

Lakini pia Iran haijaishia hapo mbali na kutoa dozi kwa kina Netanyahu kila siku, lkn pia bado inatoa dozi na kwa nchi zingine 6 za kiarab zenye kumletea unafiki.

Leo hii tunakaribia week Iran imefunga mlango wa bahari. Si Marekani wala Israel wote wanaogopa kwenda kuufungua. Mpaka wanaomba nchi zingine za dunia zije kusaidia na zenyewe kupambana tena na nchi 1, na bado Iran kakaza.

Kama Iran ingekuwa teketeke sidhani kama ingeweza kuchukua hata week au kuthubutu kuzuia mafuta na dunia ikaangalia.

Israel kupambana na Hamas kundi lenye vijana wasiozidi elf 3 tu, ilichukua zaidi ya miaka mitatu huku kila siku ikilia lia kuongezewa silaha na Marekani. Je angevamiwa na nchi 2 zenye uwezo mkubwa wa kijeshi kama ilivyo Iran leo, unafikiri ingeweza kutoboa hata week 2? Jibu hapana na ndomaana hata vita hii ilibidi akaombe msaada wa kupigana kutoka kwa Marekani.View attachment 3558628
Upo sahihi mkuu
 
Back
Top Bottom