Wewe una ufinyu mkubwa sana; nadhani ni Mrusi wa Kinondoni Moscow ambaye umezibwa na giza totor la propaganda. Urusi ilipovamia Ukraine kabla haijajipanga, ilichukua jumla ya asilimia 27 na leo wana asilkimia 20 ambapo asiilimia 7 ni zile walizochukua mwaka 2014 wakati Ukraine haina jeshi. Percentage hiyo unayosema ndio kwa pamoija na Crimea ilikuwa 7%. Sasa hivi zaidi ya miaka 4 wamepata asilimia 13 ambayo sasa hivi inamngonyolewa kidogo kigogo
Elewa kuwa jeshi la sasa la Ukraine limeanzishwa baada ya mwaka 2014, kwani kabla ya hapo lilikuwa ni kama jeshi la mgambo tu. Ukraine walikuwa na imani kuwa Budapest Memorandum ya 1994 ilikuwa inawalinda; Signatories wa Memorandum ile walikuwa ni Urusi yenyewe, Uingereza, Marekani na Ukraine. La ajabu ni kuwa Urusi hiyo hiyo ndiyo ikavunja makubaliano hayo na kuivamia Ukraine, hivyo ikawa ni lazima Ukraine ijianzishie jeshi lake la Ulinzi ambalo limefundishiwa Western Europe: Uingereza, Ufaransa, Germany na Marekani.
Wewe unapata taarifa zako wapi? Dunia ya leo watu wanapata habari kutoka souces mbalimbali na kuziunganisha, ila wewe kama unapata habari zako kutoka Russia Todaya tu, basi uko uninformed kabisa Mimi huwa pia natafuta habari zinazotangazwa na RT na kuzinganisha na zile zinazotoka kwenye sources mbalimbali. Kuna vyombo kadhaa vya India, Uzbekistani, Azerbaijan ambavyo viansaidia sana kuchambua uongo na ukweli. Mpaka nakwambia kuwa Marekani ana wakati mgumu katika vita ya Iran, ni kwa sababu ninapata sources za uhakika, siyo kuwa nashabikia nchi yoyote, pamoja na kwamba mwenyewe naishi Marekani.