Kwa nini JKT wanafanya hivi?

Kwa nini JKT wanafanya hivi?

Kumbe weng tunaitaji, lakin nataka kuuliza iv ni kwa sababu tatizo la ajira au ni moyo wa dhat wa kuitumikia nchi, maana ulivokua Chuo, ingawa kuna ambao wanapenda toka utoton lakin nafas iyo duuuh ndo mana wimbi la uhitaj linakua kubwa na wenyewe wanaanza kubana wanavojua wao kama umri, kwa mfano siku zote ilikua mpaka 33 kwa proffesinal, wameminya kidizn mpaka 25, afu saiz naskia tena wameminya wanataka sayance tu!

sayansi 2po lakin fursa hyo hatuipati au kuna siasa?tayari inatawala?
 
vijana tafuteni mitaji mjiajiri ...jkt haitoi ajira.
 
Jamani huu uzi poa lkn mi nataka kuuliza lini wanaanza kuondoka kwa MWAKA huu jamani kwani ndugu yangu anahitaji sana&naam niambieni TAFADHALIno SANAAA!
 
Wambie!, maana wanadhani jkt ni kama jw,usalama,police au magereza hawajui kua uktoka jkt unaanza kusotea hizo chances nyingine na kuna kupata na kukosa!,bora nikae mtaani niuzoee tu!.
vijana tafuteni mitaji mjiajiri ...jkt haitoi ajira.
 
23 Na kuendelea kama umefika form6 au chuo wanakuchukua ila JKT wanataka chini ya hapo sababu vijana wengi wanaojitolea jkt mwisho wao ni form4^kurud nyuma
 
23 Na kuendelea kama umefika form6 au chuo wanakuchukua ila JKT wanataka chini ya hapo sababu vijana wengi wanaojitolea jkt mwisho wao ni form4^kurud nyuma

mbona unafanya generalization namna hyo xo above that hawajitolei?au unamanisha nn?
 
iyo fomu inauzwa sh ngapi?

Fomu ya maombi haiuzwi bali zinatokaga Makao makuu jeshini ila upatikanaji wake ni.finyu saana lazma uee na mtu ngazi za juu jeshini ndio utapata...ivi..ivi hupati ng'ooo maana wanatoaaga kwa kujuana zaidi asee.....!!!!
 
ujasilia mali na vngne vng xana nasikia vinapatika huko
Yangekuwa ndiyo yaliyoko huko basi ndugu zetu waliokimbizwa mchakamchaka wasingeandamana kwa kudai ajira wakati walijazwa ujasiriamali kwa miezi 6, hebu bahatika uende ukachungulie uje utuhadithie yaliyoko huko ingawa naamini hutosema ukweli yaliyokukuta na uliyoyakuta huko.
 
JKT haiajiri so piha JKT 6month then urudi kwenu bt kwa uzoefu huwa zinatok mwanzoni mwa mwez2 then wanaingia vikosin mwez march. jaribu kufyatilia WILAYAN kwa DC uskae tuu. zle huwa ni ju kwa ju. So struggle
 
JKT haiajiri so piha JKT 6month then urudi kwenu bt kwa uzoefu huwa zinatok mwanzoni mwa mwez2 then wanaingia vikosin mwez march. jaribu kufyatilia WILAYAN kwa DC uskae tuu. zle huwa ni ju kwa ju. So struggle

Mmmh!! Piha ndo nini?
 
Back
Top Bottom