mkwawa gabriel
Senior Member
- Apr 7, 2012
- 100
- 23
Great thnker michango yenu ni muhimu xana juu ya hili suala
Nikwanin hiki chombo kwa upande wakujitolea wanachukua wazalendo wenye miaka 18-23 tu wakati watanzania wengne wenye umri wa kuanzi miaka 23-28 ndo wanamaliza vyuo mbali na wanania ya kujiunga nao pia?je hawafai na kwann?hawachukuliw kwa kujitolea?
swala la mujibu wa sheria linawahusu 4m six na vyuo vya ualimu na ni mda mfupi
Jeshi hli halioni umuhmu wa kuongeza umri kutoka miaka 18-23 walau kufikia 28 ili vijana wenye elmu ya juu nao wapate kujitolea nakujifunza mengi huko na lawama za ukosefu wa ajira nchini zikapungua kwan wataweza kujiajiri kwa ujuzi walio upata huko
Nawasilisa kwenu wana jamvi maon chanya ni muhimu kuliko hasi!
Nikwanin hiki chombo kwa upande wakujitolea wanachukua wazalendo wenye miaka 18-23 tu wakati watanzania wengne wenye umri wa kuanzi miaka 23-28 ndo wanamaliza vyuo mbali na wanania ya kujiunga nao pia?je hawafai na kwann?hawachukuliw kwa kujitolea?
swala la mujibu wa sheria linawahusu 4m six na vyuo vya ualimu na ni mda mfupi
Jeshi hli halioni umuhmu wa kuongeza umri kutoka miaka 18-23 walau kufikia 28 ili vijana wenye elmu ya juu nao wapate kujitolea nakujifunza mengi huko na lawama za ukosefu wa ajira nchini zikapungua kwan wataweza kujiajiri kwa ujuzi walio upata huko
Nawasilisa kwenu wana jamvi maon chanya ni muhimu kuliko hasi!