SnowBall
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 3,052
- 2,846
Wanabodi natumaini hamjambo.
Jana nilikutana na mtu mmoja hivi na katika mazungumzo yetu mwenzangu akawa kavutiwa na mazungumzo yangu...Tulizungumza sana na actually the talk was nice. Ila mwishoni wakati tunaagana kama mtu aliyekata tamaa akasema 'kwa nini sikukuona tangu mwanzo'???
sasa baadaye niko home ndo najiuliza ....hivi kuna wakati tunaregret kuwa na wale tulionao na kuwish tungekuwa na huyu au yule??...Hivi haijawahi kukutokea ukakutana na huyu na ukajilaumu kwa nini uliwahi kufanya maamuzi??...Na ikitokea ukawaza hivyo inakuwa ni tamaa tu au ndo ile a human is an insatiable creature???
Naomba kuwasilisha
Jana nilikutana na mtu mmoja hivi na katika mazungumzo yetu mwenzangu akawa kavutiwa na mazungumzo yangu...Tulizungumza sana na actually the talk was nice. Ila mwishoni wakati tunaagana kama mtu aliyekata tamaa akasema 'kwa nini sikukuona tangu mwanzo'???
sasa baadaye niko home ndo najiuliza ....hivi kuna wakati tunaregret kuwa na wale tulionao na kuwish tungekuwa na huyu au yule??...Hivi haijawahi kukutokea ukakutana na huyu na ukajilaumu kwa nini uliwahi kufanya maamuzi??...Na ikitokea ukawaza hivyo inakuwa ni tamaa tu au ndo ile a human is an insatiable creature???
Naomba kuwasilisha