DemandDemand ndio huwa inaongezeka au supply ndio huwa inashuka wakati wa Ramadhani?
Ndivyo ilivyo mkuuInashangaza!
Wazamiaji futari nao lazima wahesabiwe kwenye mgao.Inashangaza!
NIliwahi kusikia tetesi kwamba Mrisho Mpoto kipindi kile yupo peak ya kutembea bila viatu full utamaduni, aliandaa kama party fulani hivi akaalika wasanii nadhani na watu maarufu kiasi , --- muda wa menu full ugali full misosi ya kitamaduni, inaripotiwa watu wengi waliskip msosiUgali hauliki sana kipindi hiki?
kuna jamaa ni kuli sokoni, yeye hufuturu kwa ugali, vyakula vilaini hawezi kula, havimshibishi vemaUgali hauliki sana kipindi hiki?
Yani wanaongezaje ulaji wakati wanakula milo miwili tu futari na daku ambapo ni tofauti na nje ramadhani wanakula milo mitatu asubuhi,mchana na jioni?Kipindi cha mfungo hasa kwa apa afrika mashariki wafungaji ndio huongeza zaidi ulaji kuzid kile kipindi kishcho cha mfungo ivyo huitaj wa maligafi chakula hua mkubwa na walazima nakupelekea kuadimiki sokon kumbuka bidhaa ikiadimika ndio thaman upanda.asante
Kwamba wafungaji ni watu wenye uwezo wa kifedha kiasi cha kuweza kupika chakula cha milo mitatu wakakitumia mara moja tu na bado wakapika tena chakula kingine?Milo mitatu inaliwa kwa pamoja kwenye mlo mmoja hapo bado kabla ya alfajir msosi heavy mwingine!
You are right!Kwamba wafungaji ni watu wenye uwezo wa kifedha kiasi cha kuweza kupika chakula cha milo mitatu wakakitumia mara moja tu na bado wakapika tena chakula kingine?
KIuhalisia hiyo mie nakataa.You are right!