Tatizo ni Tanganyika kuwa Tanzania ,inatakiwa Tanganyika nayo iwe kama ZanzibarWazanzibari bana 😁, chenu chenu peke yenu. Cha Tanganyika chetu sote. Kubalini ZRFA kuwa chama cha mpira cha mkoa wa Zanzibar kwanza ndipo TFF itakuwa yetu sote.
Tatizo ni Tanganyika kuwa Tanzania ,inatakiwa Tanganyika nayo iwe kama ZanzibarWazanzibari bana 😁, chenu chenu peke yenu. Cha Tanganyika chetu sote. Kubalini ZRFA kuwa chama cha mpira cha mkoa wa Zanzibar kwanza ndipo TFF itakuwa yetu sote.
Hakika wanadeka.Mpira wenyewe mnaujua nyie?Mbona kwenye cecafa hamjawahi hata kubeba ubingwa?Vitimu vyenu vikienda kwenye mashindano ya CAF vinaishia kula vichapo katika preliminary round. Nyie mnapenda kudeka kama watoto.kwanza nyie wabaguzi sana pambaf zenu na nawachukia sana kwa udini udini wenu utafikiri nyie ndo mmeanzisha hiyo dini.
Ndugu yangu muungano wetu ndio shida.michezo sio mambo ya muunano.zanzibar haitambuliki fifa,wana ligi yao,shirikisho lao na wizara yao ya michezo like wise bara,lakini timu ya taifa wanaita wachezajji toka zenji,mi naona tuunganishe ligi ya zanzibar na bara,na udhamini wetu wa serengeti lager na sport pesa watakubali ?ally saleh awe mpole tu kitendo cha yeye kugombea bara maana yake zanzibar ni mkoa wa tanzania baraHujui unaongea nini wewe. RAIA Wa nchi mshirika Wa muungano ananyimwa kugombea kwenye taasisi inayowakilisha muungano.TFF iitwe Tanganyika Football Federation na sio Tanzania Football Federation.
Ally Saleh anawakilisha kilio cha wazanzibar na Ana hoja nzito.
Wanufaika wanatoka povu
Tunakwenda Karia.Ule ni mpira sio siasa yy km siasa imemshinda asubir 2025 sio mbali pale TFF Karia anatosha
Halina uzito siasa za kila siku za kulalama.Jibu swali
Hilo swala tuwe makini makini nalo, je kuna mtanzania kutoka Tanzania bara anaweza kugombea hata ujumbe wa mtaa huko visiwani? Vipi ZFA, inawezekana?
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Mambo ya muungano ni yapi kwani? Muungano huo ni wa nchi zipi? Nasikia tu kuna SMZ na JMT, nchi ya pili ni ipi?Hujui unaongea nini wewe. RAIA Wa nchi mshirika Wa muungano ananyimwa kugombea kwenye taasisi inayowakilisha muungano.TFF iitwe Tanganyika Football Federation na sio Tanzania Football Federation.
Ally Saleh anawakilisha kilio cha wazanzibar na Ana hoja nzito.
Wanufaika wanatoka povu
Mpira wenyewe mnaujua nyie? Mbona kwenye cecafa hamjawahi hata kubeba ubingwa? Vitimu vyenu vikienda kwenye mashindano ya CAF vinaishia kula vichapo katika preliminary round.
Nyie mnapenda kudeka kama watoto. kwanza nyie wabaguzi sana na nawachukia sana kwa udini udini wenu utafikiri nyie ndo mmeanzisha hiyo dini.
Mbona umewaza mbali hivo?Wenye akili tumeshaona hili ni bonge la tego kuelekea katiba mpya ya serikali 3.
Ally Saleh katumwa kuchokoa kero za muungano, kumrahisishia kazi mama samia
Wazanzibar ni w@senge sana kwakwel wao ni wabaguzi kisenge ila vyenyw vinapenda vitu vya bara