Tanzania ni muungano wa nchi mbili yaani Tanganyika na Zanzibar. Hilo halina ubishi kabisa. Pia ni kweli Zanzibar tunacho chama cha soka yaani ZFA.
ZFA ni mwanachama wa CECAFA NA CAF lakini wamekataliwa kuwa wanachama wa FIFA KWA SABABU SIO NCHI HURU.
Kwa kuwa FIFA wameamua hivyo kutokana na sheria zao, Mzanzibar moja kwa moja akiwa na vigezo anaruhusiwa kugombea na akishinda anaongoza TFF.
Kama Viongozi wa Bara hawamtaki Ally Saleh au Mzanzibari yoyote TFF hakuna shida. Ishakuwa Zanzibar wana bendera yao,wana wimbonwa Taifa n.k Basi hamna shida.
Serikali kuu ya muungano ipeleke taarifa FIFA kuwa zanzibar ni taifa ndani ya muungano. Mfano united kingdom wanatambulika na fifa na nchi 4. Nazo ni england, scotland, wales, northern ireland.
Nasi TFF baada ya kupata baraka za serikali kuu watuombee, tukipata hakuna mzanzibari kama ally saleh atakaribia ofisi za tff. Tena nawahakikishia zanzibar tunao vijana youngstars wazuri sana lakini hawachaguliwi kwenye timu za taifa za muungano.
Nawachallenge, ushafahamu sio, fifa ikiwakubalia zfa zanzibar itakuwa mbali sana kisoka. Kwa sasa mwacheni ally saleh akitimiza masharti agombee. Mara ngapi zanzibar imewatwanga bara katika challenge cup? Jibu mnalo TFF.
ZFA ni mwanachama wa CECAFA NA CAF lakini wamekataliwa kuwa wanachama wa FIFA KWA SABABU SIO NCHI HURU.
Kwa kuwa FIFA wameamua hivyo kutokana na sheria zao, Mzanzibar moja kwa moja akiwa na vigezo anaruhusiwa kugombea na akishinda anaongoza TFF.
Kama Viongozi wa Bara hawamtaki Ally Saleh au Mzanzibari yoyote TFF hakuna shida. Ishakuwa Zanzibar wana bendera yao,wana wimbonwa Taifa n.k Basi hamna shida.
Serikali kuu ya muungano ipeleke taarifa FIFA kuwa zanzibar ni taifa ndani ya muungano. Mfano united kingdom wanatambulika na fifa na nchi 4. Nazo ni england, scotland, wales, northern ireland.
Nasi TFF baada ya kupata baraka za serikali kuu watuombee, tukipata hakuna mzanzibari kama ally saleh atakaribia ofisi za tff. Tena nawahakikishia zanzibar tunao vijana youngstars wazuri sana lakini hawachaguliwi kwenye timu za taifa za muungano.
Nawachallenge, ushafahamu sio, fifa ikiwakubalia zfa zanzibar itakuwa mbali sana kisoka. Kwa sasa mwacheni ally saleh akitimiza masharti agombee. Mara ngapi zanzibar imewatwanga bara katika challenge cup? Jibu mnalo TFF.