Kwa mwezi nifanye mapenzi mara ngapi?

Kwa mwezi nifanye mapenzi mara ngapi?

Bilashaka umepata wa kufanana nae...🙄
IMG-20260714-WA0010.jpg
 
Shikamoni wakubwa.............

.leo tena mnaobeti mpeni England uhakika.

Sasa nimekuja na swali dogo ivi kiafya nichakate mbususu mara ngapi kwa mwezi?

Nimeona nilete huu huzi maana kuna binti kwa sasa tunaenda wiki ya tatu tunakulana ila jana nilianza kuwa na hali ya kukinai, Yaani simtamani tena kumkula.

Hii inasababishwa na nini?
1 Wakoritho 7:5.
msinyimane isipokuwa mmepatana kwa mda... ila muwe na kiasi.
kwa hiyo hakuna cha mara ngapi mkipatana tu mnalianzisha mkuu!
 
Back
Top Bottom