Wana MMU hodi jamaniiiiii
Nimekuwa nikisoma thread nyingi humu MMU na nimeona wanaume wengi tunalalamika akina dada wakitugeuza ATM mashine, nakumbuka kanuni moja ya kumpata mwanamke nimeikuta hapa JF, "give her money, then give here more money, then give her more money." Anyway, back to the topic. Katika pita pita zangu nilifahamiana na binti fulani, na kadiri siku ziilivyoenda binti akawa anajisogeza kwangu. Tunakaa naye jirani hapa mtaani. Nilipoona anajileta kwa spidi 160 km/h nilijibu mapigo ila nikampa fact kuwa sitaki mambo ye kudanganyana, sema kama una mtu wako nijue. Kweli akaniambia ana mtu wake, na kweli kwenye wall page yake ya facebook, kaweka picha zake nyingi tuu na kumsifia mambo kibao jinsi anavyompenda na maneno mengine mengi ya kumsifia.
Kalivyozidi kunisumbua nikala mzigo nikasepa zangu, and my principle is, mwanamke hawezi kunigeuza ATM mashine kijinga jinga tuu. Kuna principle yake na atakayeiweza kweli atafaidi pesa zangu, japo najua wengi hawataweza. In short, i spent only the money we spent and enjoyed together. After that kila mtu hamsini zake. Then akawa ananisumbua kuniomba omba hela mara nyingi tuu. At every point when she ask money nampa excuse kibao asijue kama nina hela au la, ila nampa promise may be next month, and when next month comes, it will be like that again, waiting for another month. Huyu binti alikuwa anasoma chuo, now kamaliza kasharudi kwao. With a reasonable silence for some time, akaanza kunipigia akiwa huko, anataka niende nifunge safari amezidiwa anataka service, nikamchunia. Gradu hiyooooo, nikamchunia. Nilifanya makusudi kwa sababu kila nikianza kumsalimia lazima kitakachofuata ni kuombwa hela. Basi, recently nikampa greetings, akanizira full, hasira kibao.
Nilimjibu "sina ugomvi na wewe ila nilitaka tu kujua ulipo, maana nimepata deal fulani la pesa kuna NGo fulani imemwaga hela ya research na mimi nimefanikiwa kupata hiyo deal, sasa nilitaka nikupe suprize nikushirikishe na wewe upate mshiko usogeze siku, ukizingatia nyie walimu ajira bado hazijatoka. Anyway kama umezira its over haina shida nitamtafuta mtu mwingine nimshirikishe, but good thing research inafanyika huko kwenu."
Dah, unaweza kujua majibu yake yaliyofuata? Namhurumia sana huyu bwana wake a.k.a. mchumba, sasa hivi mtoto kashawehuka anatamani hata kesho apande gari aje. Pia ameshasahau majigambo na hasira zote alizokuwa nazo juu yangu. Mara aniite honey, baby, sweetheart, etc. Anatuma whatsup, facebook, kwenye simu, mpaka email. What a stupid kind of mapenzi? Wanaume tujifunze kitu hapa.
Nimekuwa nikisoma thread nyingi humu MMU na nimeona wanaume wengi tunalalamika akina dada wakitugeuza ATM mashine, nakumbuka kanuni moja ya kumpata mwanamke nimeikuta hapa JF, "give her money, then give here more money, then give her more money." Anyway, back to the topic. Katika pita pita zangu nilifahamiana na binti fulani, na kadiri siku ziilivyoenda binti akawa anajisogeza kwangu. Tunakaa naye jirani hapa mtaani. Nilipoona anajileta kwa spidi 160 km/h nilijibu mapigo ila nikampa fact kuwa sitaki mambo ye kudanganyana, sema kama una mtu wako nijue. Kweli akaniambia ana mtu wake, na kweli kwenye wall page yake ya facebook, kaweka picha zake nyingi tuu na kumsifia mambo kibao jinsi anavyompenda na maneno mengine mengi ya kumsifia.
Kalivyozidi kunisumbua nikala mzigo nikasepa zangu, and my principle is, mwanamke hawezi kunigeuza ATM mashine kijinga jinga tuu. Kuna principle yake na atakayeiweza kweli atafaidi pesa zangu, japo najua wengi hawataweza. In short, i spent only the money we spent and enjoyed together. After that kila mtu hamsini zake. Then akawa ananisumbua kuniomba omba hela mara nyingi tuu. At every point when she ask money nampa excuse kibao asijue kama nina hela au la, ila nampa promise may be next month, and when next month comes, it will be like that again, waiting for another month. Huyu binti alikuwa anasoma chuo, now kamaliza kasharudi kwao. With a reasonable silence for some time, akaanza kunipigia akiwa huko, anataka niende nifunge safari amezidiwa anataka service, nikamchunia. Gradu hiyooooo, nikamchunia. Nilifanya makusudi kwa sababu kila nikianza kumsalimia lazima kitakachofuata ni kuombwa hela. Basi, recently nikampa greetings, akanizira full, hasira kibao.
Nilimjibu "sina ugomvi na wewe ila nilitaka tu kujua ulipo, maana nimepata deal fulani la pesa kuna NGo fulani imemwaga hela ya research na mimi nimefanikiwa kupata hiyo deal, sasa nilitaka nikupe suprize nikushirikishe na wewe upate mshiko usogeze siku, ukizingatia nyie walimu ajira bado hazijatoka. Anyway kama umezira its over haina shida nitamtafuta mtu mwingine nimshirikishe, but good thing research inafanyika huko kwenu."
Dah, unaweza kujua majibu yake yaliyofuata? Namhurumia sana huyu bwana wake a.k.a. mchumba, sasa hivi mtoto kashawehuka anatamani hata kesho apande gari aje. Pia ameshasahau majigambo na hasira zote alizokuwa nazo juu yangu. Mara aniite honey, baby, sweetheart, etc. Anatuma whatsup, facebook, kwenye simu, mpaka email. What a stupid kind of mapenzi? Wanaume tujifunze kitu hapa.