Kwa mwendo huu wanaume tujipe pole tuu

Kwa mwendo huu wanaume tujipe pole tuu

Hajui kupewa pesaa na mwanaume unaempenda au kujaliwaa na mwanaume ni raha isiyo kifaniii
 
hii principle yako naiweza mimi tu, hakuna mwingine atakayeiweza

sijawahi kukudanganya ila umeshindwa kuwa mvumilivu

ndiyo unaweza laini mda unaenda na mimi nazidi kuwa mkubwa alafu watoto wabichi na watamu wanakuja kwa kasi loh me nitakuwa mgeni wa nani kama wewe ukiona wengine?
 
najipanga jamani, mambo mazuri hayataki haraka weee

ndiyo unaweza laini mda unaenda na mimi nazidi kuwa mkubwa alafu watoto wabichi na watamu wanakuja kwa kasi loh me nitakuwa mgeni wa nani kama wewe ukiona wengine?
 
Inategemea unaishi mazingira, eneo ama mji gani, mkuu. Kuna mji mmoja (jina nalihifadhi) wanawake ni wengi kuliko wanaume tena naongelea succesful women. Ratio ni 25 women for every one guy!!!!
Wadada hapo wanachojali ni attention na muonekano wako na si pesa. I've been there and had a share of my own escapades............

mkuu niambie wapi huko nihamie hata kwa mwezi mmoja!!!
 
yani sioni cha kujisifu hapa, yani wewe mpenzio awe na shida ushindwe kumsaidia wewe uielewi kabisa mapenzi na njaa hakuna ingekuwa ni mimi kunipga tarehe zisizokuwa na maana nakupiga chini mapema kwani mapenzi ni kugegedana tu... jiongeze kijana ni zaidi ya hayo

Huna akiri..we bibi,...
 
starehe gharama jombaa ukiona huwezi piga nyet*o sifa ya mwanaume ni kutafuta na sifa ya mwanamke ni kutafutiwa make sure siku mingine huleti ubofoya wako hapa kama hutaki kuhonga ruhusu kuhongwa .
 
Back
Top Bottom