dabluz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2013
- 2,456
- 1,669
Mi nadhani uliowataji wala hawatoroki.Wapinzani gani mnaowagawa watanzania kwa kueneza chuki, ukabila ukanda na udini.Mmekuwa mkidanganya watu kuwa eti Moshi na arusha zinabaguliwa eti hakuna viongozi wa juu, huku mkisahau kuwa mbegu ile ingekuja kuwaangamiza. Tuliwaonya kwa kuishambulia kanda ya ziwa na wasukuma mlijua mnajiimalisha. Sasa angalia kanda ya ziwa Ndiyo inaongoza kuikimbia chademaktk kipindi cha wiki mbili. Tulisema tulisema na tutasema kwamba mmechagua wenyewe sehemu kisu kinatakiwa kuchinja.Watanzania hawataki kusikia ubaguzi hawajafika huko. Mnasema miradi mikubwa intends kanda ya ziwa. Nenda Arusha ukaone shughuli inayoendelea ya kuwaletea wananchi mradi mikubwa ya maji kupitia benki ya dunia. Angalia barabara iliyokamilika ya kutoka Tengeru hadi Sakina na bado mkandarasi huyo huyo kapewa mkataba mpya chapu chapu .Barabara inaanzia Maji chai kupitia Njiro hadi .........HAlafu watu wanashinda kwenye keyboard kuponda. Lake zone mmewatesa sana kwa miporojo yenu, Protas Masha Kitilya TOROKENI MJE.Mtachoshwa na wachonganishi wasio itakia mema nchi
Hao wanarudi nyumbani.