Kwa mwendo anaokwenda nao Rais Magufuli, upinzani unakufa kifo kitakatifu.

Unashangilia kufa kwa upinzani? Tambua kuwa kama upinzani utakufa kama udhaniavyo wewe,basi atakayefuata kufa ni wewe na wengine wanaofanana akili na wewe.Upinzani upo ndani ya akili,siyo ofisini,hivyo basi kamwe upinzani hauwezi kufa,bali utavuka mipaka.Kwakweli mleta Uzi umejipambanua jinsi ulivyo na fikra nyepesi zitokanazo na mapokeo.
 
Unashangilia kufa kwa upinzani? Tambua kuwa kama upinzani utakufa kama udhaniavyo wewe,basi atakayefuata kufa ni wewe na wengine wanaofanana akili na wewe.Upinzani upo ndani ya akili,siyo ofisini,hivyo basi kamwe upinzani hauwezi kufa,bali utavuka mipaka.Kwakweli mleta Uzi umejipambanua jinsi ulivyo na fikra nyepesi zitokanazo na mapokeo.
Na wewe je utabaki kama unajua huyu atafuatia kufa basi na wewe unajua lini utakufa. Acha kutoka nje ya mada sio lazima uchangie unaweza kunyamaza tu
 
Na wewe je utabaki kama unajua huyu atafuatia kufa basi na wewe unajua lini utakufa. Acha kutoka nje ya mada sio lazima uchangie unaweza kunyamaza tu
Elewa wewe,amesema upinzani utakufa!Upinzani hauwezi kufa kwasababu upinzani ni fikra siyo majengo,siyo ruzuku,siyo wabunge,bali ni mtazamo wa mtu mmojammoja ktk mambo mbalimbali.Hivyo basi kama na wewe unadhani mawazo kinzani huwa yanakufa kwakutokuwa na chama cha upinzani basi ni pole sana kwa mtazamo wa mapokeo mlioambukizwa.Kwa hali hiyohiyo unaamini kuwa yupo mtu atauwa mawazo yako?Acheni fikra za kushikiliwa,mnatuaibisha watanzania wenzenu kwa michango isiyotumia critical thinking.
 
Wakuu kama mnaangalia namna game inavyochezwa mtagundua mbinu anayotumia mhe. Rais ni ile tunaita mchawi mpe mwanao amlee.

Rais alianza na Prof. Kitila, baada ya muda Zitto (mb) akasema rais ameamua kufanya kazi na watu wote, tukumbuke huyu Prof. Kitila alikua mkosoaji wa serikali kabla ya kupata nafasi ya kuingia kwenye system, sasa kaingia kimyaaa.

Leo rais amemteua Mama Anna Mghwira kua RC Kilimanjaro.

Amini usiamini Zitto atapongeza na kimsingi rais kawafanya wapinzani wakose hoja aisee.

Rais kama atasoma huu uzi naomba amteue mhe. Lissu ili tujue rangi yake halisi maana analawama na vitisho sana.
Mhe. Rais nakuomba umteue Lissu ndo tutajua kama ni akili ya njaa au ni mzalendo.

Naishia hapa kwa leo ila upinzani unakufa bila kelele.
Rais Magufuli ni genius amini msiamini.

Naona wadau wananikejeli mnadhani mimi ni mchumia tumbo, mimi sio CCM wala Chadema hivyo vyama mnavyo nyinyi, mimi nimetoa maoni kama mtanzania tu.
Mnisamehe ila ndo ninachoona mimi
Utakufa mwenyewe na njaa zako.

Wee unaona Kitila na Mghwira walikuwa wapinzani? Watu walishafukuzwa Chadema kwa unafiki wao, leo mmeokota makapi mnasema wapinzani?
Umetoka na ujinga wako huko Facebook unaleta huku kwa wakubwa JF. Kwendraa ukafie mbele huko
 
Unashangilia kufa kwa upinzani? Tambua kuwa kama upinzani utakufa kama udhaniavyo wewe,basi atakayefuata kufa ni wewe na wengine wanaofanana akili na wewe.Upinzani upo ndani ya akili,siyo ofisini,hivyo basi kamwe upinzani hauwezi kufa,bali utavuka mipaka.Kwakweli mleta Uzi umejipambanua jinsi ulivyo na fikra nyepesi zitokanazo na mapokeo.

kwa hiyo ushajishusha kiasi cha kuwa unaamini anachosema mtoa maada!!..lengo ni kuwa upinzani ubadilike thats it!!

huwa nyie wajingawajinga hamkosoagi kabisa viongozi wenu.mnawasifia tu...juzi walimleta lowassa, ukapiga deki barabarani!!.wakati ni fisadi!!

ona sasa!!
 
Wakuu kama mnaangalia namna game inavyochezwa mtagundua mbinu anayotumia mhe. Rais ni ile tunaita mchawi mpe mwanao amlee.

Rais alianza na Prof. Kitila, baada ya muda Zitto (mb) akasema rais ameamua kufanya kazi na watu wote, tukumbuke huyu Prof. Kitila alikua mkosoaji wa serikali kabla ya kupata nafasi ya kuingia kwenye system, sasa kaingia kimyaaa.

Leo rais amemteua Mama Anna Mghwira kua RC Kilimanjaro.

Amini usiamini Zitto atapongeza na kimsingi rais kawafanya wapinzani wakose hoja aisee.

Rais kama atasoma huu uzi naomba amteue mhe. Lissu ili tujue rangi yake halisi maana analawama na vitisho sana.
Mhe. Rais nakuomba umteue Lissu ndo tutajua kama ni akili ya njaa au ni mzalendo.

Naishia hapa kwa leo ila upinzani unakufa bila kelele.
Rais Magufuli ni genius amini msiamini.

Naona wadau wananikejeli mnadhani mimi ni mchumia tumbo, mimi sio CCM wala Chadema hivyo vyama mnavyo nyinyi, mimi nimetoa maoni kama mtanzania tu.
Mnisamehe ila ndo ninachoona mimi
Naona miezi 2 baadaye Rais alisikia ushauri wako na kumteuwa Lissu atangulie mbele ya haki japo alishindwa.
 
Kadiri kijana anapopata nafasi kubwa ya kujieleza ndipo mnapozidi kugundua kama kichwani mwake kuna ubongo ama matope
 
Hivi unaweza kumpiga mtu risasi alafu ukajigamba kwamba unamtabilia lifo wakati ushampiga risasi?
Hivi we ni mgeni nchi hii hata isijue kwamba shughuli za siasa zimesitishwa hapa nchini ?
Hivyo vyama unavyosema vitakufa ni vipi au no hivi vilivyo zuiliwa hata kupumua.

Unajifariji wakati ukweli unaujua.
 
Kaulize bei ya bati ndio utajua hoja zipo au hakuna,mbona mnajitekenya na kucheka wenyewe,ondoeni marufuku ya mikutano ya kisiasa uone hoja,ziko nyingi sana ikiwemo uwanja wa Ndege chato,bombadia,uchumi hewa and the likes
 
Naona miezi 2 baadaye Rais alisikia ushauri wako na kumteuwa Lissu atangulie mbele ya haki japo alishindwa.
Unauhakika na hilo au ndio unapaza sauti tuu kama una mawazo ya kufikiria nakupa hili tu put the whole picture kwa kilicho tokea weka on 3D pic ndio utapata ukweli nani kafanya hilo au mtafute dereva wake atakuambia yote. Tatizo wachache wenye mawazo ya kutafakari wengi ni kama nzi tuu juu ya mavi.
 
kama ni kweli Makufuli ana nia ya kuua upinzani basi ni miongoni mwa watu wanaovunja katiba ya nchi maana katiba yetu inasema wazi kwamba Tanzania ni nchi ya vyama vingi sasa kama kuna mtu yeyote anataka kuua upinzani kwa njia yoyote ile ni wakuogopa sana hasa akiwa katika madaraka ya uraisi
 
Jinsi upinzani unavyokufa kwa maoni haya yakichorewa katuni haitakuwa UCHOCHEZI bali ni ushindi kwa anayeua upinzani.Pia kwa maoni hayahaya yakichorewa katuni katuni kuonesha anayeua upinzani ni UCHOCHEZI.
 
Lazima tutofautishe hivi vitu.. Upinzani, Wapinzani na Vyama vya Upinzani..
Unaweza kuuwa Wapinzani, unaweza kuuwa Vyama vya Upinzani lakini huwezi kuuwa Upinzani..
Upinzani uko kwenye Mtazamo hivyo kuuwa si rahisi..
Hivi kuna haja ya kupambana na Vyama vya Upinzani na Wapinzani kwa nguvu kiasi hiki? Hivi utendaji wako si silaha tosha ya kuwakosesha hoja Wapinzani? Kwa nini itumike nguvu kubwa na Rasilmali nyingi za nchi kulazimisha kukubalika?
 
Utakufa mwenyewe na njaa zako.

Wee unaona Kitila na Mghwira walikuwa wapinzani? Watu walishafukuzwa Chadema kwa unafiki wao, leo mmeokota makapi mnasema wapinzani?
Umetoka na ujinga wako huko Facebook unaleta huku kwa wakubwa JF. Kwendraa ukafie mbele huko
Nawewe GT?
Povu la nini?
Mngekua hamna njaa mngekubali kununuliwa?
Wanasiasa uchwara nyinyi
Sitakuja kujiunga na chama chochote cha siasa kwa sababu wote wanafiki tu
 
Vyama vya upinzani ni muhimu sana kwa ajili ya kui-shape serikali lakini Sasa vinaondoka kwa kutumia Kodi zetu na tricks za watawala, hakika watanzania tutateseka sana endapo tutakosa vyama pinzani, bila vyama pinzani hakutakua na mtu wa kutusemea bungeni, hakika kudhoofika kwa vyama pinzani ni kiama kwa watanzania.
Watanzania daini katiba mpya na tume huru vinginevyo mtapata tabu sana
 
Back
Top Bottom