Billgates wa bongo
Member
- Nov 6, 2012
- 96
- 27
Dodoma ni mji unaokuwa kwa kasi wekeza kwenye vifaa vya ujenzi.
Yakupasa kutulia sana...mimi yalinikuta baada ya kupata 15m.nilishauliwa vibaya sana na ndugu wa karibu ni liemwaamini sana. Yeye anafanya biashara ya kuuza mchele ya jumla na rejareja na kwakweli amefanikiwa sana. Sasa alinishauri niuze nyumba ya urithi sababu ilikuwa na mgogoro ili tufanye biashara. Kwamba tutakuwa tunafata mchele wote huko morogoro na mpanda. Ile tu nimeuza nyumba jamaa akasema sasa fungua duka kwaza la bidhaa za kawaida yani Mafuta,chumvi nk sababu kwa sasa mchele ni adimu. Kumbuka sina uzoefu na biashara hiyo ya duka. Nikaufungua duka la 5m. Kibaya zaidi alinitafutia frem yabei a juu .wakati yeye analipa elfu 40 mimi nalipa 70 na eneo hilohilo.
Baada ya kufungua duka akasema nimwingizie 7M kwenye ac yake aniletee mzigo kwani alikuwa amepata.nikamwingizia 5m akaleta gunia kumi tu yenye thamani ya 1.7m. Kumbe zingine anazungusha... Baadae anirudishia. Aisee duka lKnitesa yani acha tu. Hadi sasa kwakweli mtaji kwisha.nimeambulia kiwanja nichonunua na kutoa mahali baasi
Ushauri mzuri zana huu.Mtaji mkubwa sana huo na vilevile mtaji mdogo sana huo.
Cha msingi usiiweke hela yote kwenye kitu kimoja, igawanye hata mara 3.
Ili biashara yeyote iwe na mafanikio endelevu ni lazima kuangalia usalama wa mtaji kwanza kabla ya kuangalia faida.
Aisee, haishauriwi sana kumwingiza ndugu kwenye biashara. Unaweza kukatishwa tamaaYakupasa kutulia sana...mimi yalinikuta baada ya kupata 15m.nilishauliwa vibaya sana na ndugu wa karibu ni liemwaamini sana. Yeye anafanya biashara ya kuuza mchele ya jumla na rejareja na kwakweli amefanikiwa sana. Sasa alinishauri niuze nyumba ya urithi sababu ilikuwa na mgogoro ili tufanye biashara. Kwamba tutakuwa tunafata mchele wote huko morogoro na mpanda. Ile tu nimeuza nyumba jamaa akasema sasa fungua duka kwaza la bidhaa za kawaida yani Mafuta,chumvi nk sababu kwa sasa mchele ni adimu. Kumbuka sina uzoefu na biashara hiyo ya duka. Nikaufungua duka la 5m. Kibaya zaidi alinitafutia frem yabei a juu .wakati yeye analipa elfu 40 mimi nalipa 70 na eneo hilohilo.
Baada ya kufungua duka akasema nimwingizie 7M kwenye ac yake aniletee mzigo kwani alikuwa amepata.nikamwingizia 5m akaleta gunia kumi tu yenye thamani ya 1.7m. Kumbe zingine anazungusha... Baadae anirudishia. Aisee duka lKnitesa yani acha tu. Hadi sasa kwakweli mtaji kwisha.nimeambulia kiwanja nichonunua na kutoa mahali baasi
Pole Sana mkuuYakupasa kutulia sana...mimi yalinikuta baada ya kupata 15m.nilishauliwa vibaya sana na ndugu wa karibu ni liemwaamini sana. Yeye anafanya biashara ya kuuza mchele ya jumla na rejareja na kwakweli amefanikiwa sana. Sasa alinishauri niuze nyumba ya urithi sababu ilikuwa na mgogoro ili tufanye biashara. Kwamba tutakuwa tunafata mchele wote huko morogoro na mpanda. Ile tu nimeuza nyumba jamaa akasema sasa fungua duka kwaza la bidhaa za kawaida yani Mafuta,chumvi nk sababu kwa sasa mchele ni adimu. Kumbuka sina uzoefu na biashara hiyo ya duka. Nikaufungua duka la 5m. Kibaya zaidi alinitafutia frem yabei a juu .wakati yeye analipa elfu 40 mimi nalipa 70 na eneo hilohilo.
Baada ya kufungua duka akasema nimwingizie 7M kwenye ac yake aniletee mzigo kwani alikuwa amepata.nikamwingizia 5m akaleta gunia kumi tu yenye thamani ya 1.7m. Kumbe zingine anazungusha... Baadae anirudishia. Aisee duka lKnitesa yani acha tu. Hadi sasa kwakweli mtaji kwisha.nimeambulia kiwanja nichonunua na kutoa mahali baasi
Ila huu ushauri wa kufata passion hapana kwakweli, ni kupotezana wakati mwingineKwanza jiulize ni kitu gani ambacho wewe unakipendelea na una passion nacho. hili ndo wazo lako la kwanza la biashara.
Daaa!!hicho kiasi kingekuwa mala mbili yake, ningekupa mchanganuo wa biashara ambayo, kwa wiki ungeingiza si chini ya milioni nne!!watu wengi wana pesa lakini hawajui fulsa!!na wenye fulsa hawana mitaji, ukiwa serious nitafuteKama heading inavyojieleza JUU apo, nina kiasi cha milioni twenty lakin naitaji ushauri kuhusu fursa ya kufanyia, nakaribisha mawazo ya kibiashara zaidi
Sasa mkuu dadafua vizuri, capital inakuaje (Kama Ni implicit au explicit cost), marketing network, challenges etc.Anzisha poultry farm hutojutia
NitarudiSasa mkuu dadafua vizuri, capital inakuaje (Kama Ni implicit au explicit cost), marketing network, challenges etc.
Kama hujui kitu kaa kimya kuna watu wanaingiza zaidi ya hizo, tena kwa biashara halali kabisa!!waulize wanaofanya biashara zao kwenda DRC, watakwambia, tena , bila leseni na vibali huwezi kuvuka mpakani utasemaje ni biashara haramu?Kwa week million 4 mh sio kweli labda biashara haramu na kufungwa kuna muhusu me nawazo sahihi lenye kufanya usipoteze hiyo fedha bari uingize fsida.