kinywanyuku
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 3,563
- 2,628
Habari wakuu nina mtaji wa milioni 3 biashara ipic nzuri kati ya home decor au vipodozi ?nipo kitunda Dar es salaam
Nipo dar mzee nahitaji biashara yenye mzunguko,mbuzi mpka wakue nitakula wapiFunga mbuz mkuu
Tenga m1 nunua mbuz chotara iyo m2 weka akipa toa laki moja kaanga kuku pale banana.....soon unakuwa tajirNipo dar mzee nahitaji biashara yenye mzunguko,mbuzi mpka wakue nitakula wapi
😅😅 Nimecheka hapo eti kaanga kuku pale banana unamaanisha Akajipomgeze au?Achana na biashara za kibrazamen
- Tenga m1 nunua mbuz chotara iyo m2 weka akipa toa laki moja kaanga kuku pale banana.....soon unakuwa tajir
Ahsante mkuu hawa mbuzi chotara nawapatia mkoa gani au hapa hapa darTenga m1 nunua mbuz chotara iyo m2 weka akipa toa laki moja kaanga kuku pale banana.....soon unakuwa tajir
Achana na biashara za kibrazamen
Sawa mkuu hebu fafanua vipodozi kumbe vina losses sanaNdugu achana na mambo ya vipodoz kabsa hiyo biashara huwa inaambatana na losses za kutosha inahitaji mtaji wa maana.
Bora hufungue mgahawa
uweke jiko uuze kuku broiler laki inatosha unakaanga wengi sema umpate mtaalamu wa kukaangaNimecheka hapo eti kaanga kuku pale banana unamaanisha Akajipomgeze au?
Na kuhusu kufuga mbuzi hebu nipe elimu hiyo nifahamu na mimi huenda nikaanza hiyo biashara nimeipenda
- Soko lake yaani wanaoatikana wapi na kwa hyo mil1 unapata wangapi na Soko la kuwauza wakikua?
- Wanaweza kuzaliana vizuri
Asee hii siyo biashara kabisa😀Tafuta malaya mpangishie chumba cha laki mbili mnunulie na simu,akigongwa kwa buku hamsini unazuia buku ishirini.
Nguo za jinsia ipi ila dar maduka ya nguo mengiDuka la vyakula na duka la kuuza nguo
Vipodozi sio kabisa unatakiwa kukimbizana na mda vinawah kubadilika rangi vikikaa dukaniNdugu achana na mambo ya vipodoz kabsa hiyo biashara huwa inaambatana na losses za kutosha inahitaji mtaji wa maana.
Bora hufungue mgahawa
AhsanteFungua butcher za nyama ya ng’ombe na samaki
Za kike na kiumeNguo za jinsia ipi ila dar maduka ya nguo mengi
awafunge wapi?Funga mbuz mkuu