Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,324
- 5,934
Habari yafo mmeku?
Kumbe kwafo ni Usseri vaita?
Lakini usijali, hata wasipotangaza Moshi kuwa jiji, rais ajae ambae hatakuwa m baguzi na mkabila atatangaza tu.
Hivi nyie huwa mnakosa maneno ya kuongea!!! Moshi kweli liwe jiji!!!!
Sioni ajabu chadema kuongea haya maajabu š