the horticulturist
JF-Expert Member
- Aug 24, 2012
- 1,959
- 1,894
- Thread starter
- #101
the horticulturist ahsante, ila kuna jamaa yangu yupo tengeru training institute aliniambia variety ni chanzo kikubwa akanishauri nitumie hybrid seeds
Kama nilivyokueleza aina nyekundu(red varieties) zinatatizo hilo kutatua kua na calenda ya umwagiliaji na mbolea pia panda kwa nafasi stahiki kati ya kitunguu na kitunguu(5 to 8sm) na mstar hadi mstar (15sm) na tuta mpaka tuta (30 sm)
Nami ni zao la horti tengeru nimeitimu mwaka huu
Last edited by a moderator: