Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,801
- 12,247
Kwanza maswali ni mengi bila sababu ya msingi halafu mengi ni ya kijinga na kipuuzi. Ingewezekana kabisa kuwa na dodoso lenye maswali machache na ya msingi. Baadhi ya maswali wangeachiwa watendaji wa mitaa/vijiji wakisaidiwa na wenyeviti wao kwani ni ya kifamilia zaidi na yanahitaji utulivu.
Kwa ufupi hii itakuwa sensa ya hovyo kabisa kufanyika nchini na itachukuwa muda mrefu bila sababu yo yote. Wananchi wengi watayakwepa au kuyapuuza baadhi ya maswali kwa kusema uongo!
PIA, SOMA:
- Maswali 100 ya sensa ya watu na makazi ya mwaka
Kwa ufupi hii itakuwa sensa ya hovyo kabisa kufanyika nchini na itachukuwa muda mrefu bila sababu yo yote. Wananchi wengi watayakwepa au kuyapuuza baadhi ya maswali kwa kusema uongo!
PIA, SOMA:
- Maswali 100 ya sensa ya watu na makazi ya mwaka