Kwa mara ya kwanza katika historia, CHADEMA haina mtu sahihi wa kugombea urais uchaguzi ujao 2025

Katika historia ya Chadema, japo sio sharia ila kiutamaduni, mgombea urais wa chama hicho huwa amekuwa mbunge katika bunge lilitangulia kabla ya uchaguzi. Mbowe, Slaa, Lowassa na Lissu. Uchaguzi ujao watakuwa hawana tena uwanja mpana kupata mgombea mwenye sifa hizo. Kuna wabunge 20 ambao wenye uanachama halali ni mbunge mmoja. Aida Khenani. Hapo sasa inabidi turudi kwenye makabrasha kuangalia makada wengine tena. Nao ni kama ifuatavyo.



  • Lissu- Ataulizwa miaka yote hiyo ulikuwa unazunguka Ulaya “hivi kweli hata shida zetu hapa Tanzania unazijua?”
  • Lema – Hana elimu ya kutosha
  • Sugu – Ana street cred lakini hana elimu ya kuongoza nchi
  • Msigwa – Hana haiba ya urais
  • Mbowe – Watanzania hata hawajui anataka nini hasa
  • Mnyika – Kapoteza muelekeo wa kisiasa kabisa
  • Prof Safari- Umri utakuwa umemuacha kidogo
  • Wenje- Yuko nje ya ulingo muda mrefu sana, sidhani hata kama anajua uchaguzi ujao ni mwaka gani
  • Maria Sarungi – Chadema wenyewe hata hawana Imani naye kabisa, wanamuona yuko kimaslahi zaidi
  • Fatma Karume –Huyu aliwahi kusifia wakati Fulani mapenzi ya jinsia moja, Chadema wanaogopa rungu hilo kutumika dhidi yao
  • Heche – Kakaa kigomvigomvi sana, Watanzania ni watu wa Amani, Chadema hawawezihata kumfikiria
  • Nassari – Huyu alikuwa mtu pekee mwenye sifa lakini ndio hivyo tena, yeye ni kijani na njano sasa hivi.
  • Pambalu – Umri hauruhusu, bado motto
  • Slaa – Hataki hata kuisikia kabisa Chadema
  • Mzee Lowassa – Baada ya kumfahamu vizuri Mbowe hawezi hata kupokea simu yake
  • Mdee, Bulaya na wenzao 17- Japokuwa wanatoa michango yao kila mwezi, Chadema wanasema sio wanachama, kwa hiyo hawa nao hawana sifa.
  • Mange Kimambi – Huyu hataki hata kuwasikia kabisa Chadema, inshort hawapendi tena baada ya kutumia vibaya hela za michango.
Chadema wapende wasipende inabidi uchaguzi ujao warudi upande wa Bavicha kutafuta mgombe urais, waangalie kwenye chungu cha kina Mdude, Yericko, Kisandu nk.

Peooooples
Deogratius Kisandu a.k.a Dj DON NALIMISON hajawahi kuwa CHADEMA
 
Katika historia ya Chadema, japo sio sharia ila kiutamaduni, mgombea urais wa chama hicho huwa amekuwa mbunge katika bunge lilitangulia kabla ya uchaguzi. Mbowe, Slaa, Lowassa na Lissu. Uchaguzi ujao watakuwa hawana tena uwanja mpana kupata mgombea mwenye sifa hizo. Kuna wabunge 20 ambao wenye uanachama halali ni mbunge mmoja. Aida Khenani. Hapo sasa inabidi turudi kwenye makabrasha kuangalia makada wengine tena. Nao ni kama ifuatavyo.



  • Lissu- Ataulizwa miaka yote hiyo ulikuwa unazunguka Ulaya “hivi kweli hata shida zetu hapa Tanzania unazijua?”
  • Lema – Hana elimu ya kutosha
  • Sugu – Ana street cred lakini hana elimu ya kuongoza nchi
  • Msigwa – Hana haiba ya urais
  • Mbowe – Watanzania hata hawajui anataka nini hasa
  • Mnyika – Kapoteza muelekeo wa kisiasa kabisa
  • Prof Safari- Umri utakuwa umemuacha kidogo
  • Wenje- Yuko nje ya ulingo muda mrefu sana, sidhani hata kama anajua uchaguzi ujao ni mwaka gani
  • Maria Sarungi – Chadema wenyewe hata hawana Imani naye kabisa, wanamuona yuko kimaslahi zaidi
  • Fatma Karume –Huyu aliwahi kusifia wakati Fulani mapenzi ya jinsia moja, Chadema wanaogopa rungu hilo kutumika dhidi yao
  • Heche – Kakaa kigomvigomvi sana, Watanzania ni watu wa Amani, Chadema hawawezihata kumfikiria
  • Nassari – Huyu alikuwa mtu pekee mwenye sifa lakini ndio hivyo tena, yeye ni kijani na njano sasa hivi.
  • Pambalu – Umri hauruhusu, bado motto
  • Slaa – Hataki hata kuisikia kabisa Chadema
  • Mzee Lowassa – Baada ya kumfahamu vizuri Mbowe hawezi hata kupokea simu yake
  • Mdee, Bulaya na wenzao 17- Japokuwa wanatoa michango yao kila mwezi, Chadema wanasema sio wanachama, kwa hiyo hawa nao hawana sifa.
  • Mange Kimambi – Huyu hataki hata kuwasikia kabisa Chadema, inshort hawapendi tena baada ya kutumia vibaya hela za michango.
Chadema wapende wasipende inabidi uchaguzi ujao warudi upande wa Bavicha kutafuta mgombe urais, waangalie kwenye chungu cha kina Mdude, Yericko, Kisandu nk.

Peooooples
Ikiwa uchaguzi utakuwa huru na haki CHADEMA watashinda hata kama watasimamisha jiwe. CCM imeshapoteza mvuto machoni mwa watanzania. Iliyobaki ni kubebwa na vyombo vya dola tu.
 
Usimchukulie poa Mkwere bwashee, lile ni jasusi haswaa, mtu ambaye alipata ukanali wa jeshi kwenye umri mdogo kabisa na akaachana na hilo jeshi aingie siasani, na huko kwenye siasa akatoboa hadi kuwa Rais, out of 50mil Tanzanians, siyo wa mchezo mchezo

Ukanali wa Tanzania nao unaona ni bonge la post! Hakuna mwenye akili timamu yoyote anayeshindwa kuwa rais wa nchi hii.
 
Katika historia ya Chadema, japo sio sharia ila kiutamaduni, mgombea urais wa chama hicho huwa amekuwa mbunge katika bunge lilitangulia kabla ya uchaguzi. Mbowe, Slaa, Lowassa na Lissu. Uchaguzi ujao watakuwa hawana tena uwanja mpana kupata mgombea mwenye sifa hizo. Kuna wabunge 20 ambao wenye uanachama halali ni mbunge mmoja. Aida Khenani. Hapo sasa inabidi turudi kwenye makabrasha kuangalia makada wengine tena. Nao ni kama ifuatavyo.



  • Lissu- Ataulizwa miaka yote hiyo ulikuwa unazunguka Ulaya “hivi kweli hata shida zetu hapa Tanzania unazijua?”
  • Lema – Hana elimu ya kutosha
  • Sugu – Ana street cred lakini hana elimu ya kuongoza nchi
  • Msigwa – Hana haiba ya urais
  • Mbowe – Watanzania hata hawajui anataka nini hasa
  • Mnyika – Kapoteza muelekeo wa kisiasa kabisa
  • Prof Safari- Umri utakuwa umemuacha kidogo
  • Wenje- Yuko nje ya ulingo muda mrefu sana, sidhani hata kama anajua uchaguzi ujao ni mwaka gani
  • Maria Sarungi – Chadema wenyewe hata hawana Imani naye kabisa, wanamuona yuko kimaslahi zaidi
  • Fatma Karume –Huyu aliwahi kusifia wakati Fulani mapenzi ya jinsia moja, Chadema wanaogopa rungu hilo kutumika dhidi yao
  • Heche – Kakaa kigomvigomvi sana, Watanzania ni watu wa Amani, Chadema hawawezihata kumfikiria
  • Nassari – Huyu alikuwa mtu pekee mwenye sifa lakini ndio hivyo tena, yeye ni kijani na njano sasa hivi.
  • Pambalu – Umri hauruhusu, bado motto
  • Slaa – Hataki hata kuisikia kabisa Chadema
  • Mzee Lowassa – Baada ya kumfahamu vizuri Mbowe hawezi hata kupokea simu yake
  • Mdee, Bulaya na wenzao 17- Japokuwa wanatoa michango yao kila mwezi, Chadema wanasema sio wanachama, kwa hiyo hawa nao hawana sifa.
  • Mange Kimambi – Huyu hataki hata kuwasikia kabisa Chadema, inshort hawapendi tena baada ya kutumia vibaya hela za michango.
Chadema wapende wasipende inabidi uchaguzi ujao warudi upande wa Bavicha kutafuta mgombe urais, waangalie kwenye chungu cha kina Mdude, Yericko, Kisandu nk.

Peooooples
Mnahangaika sana. Katiba mpya ndio dawa.
 
Usimchukulie poa Mkwere bwashee, lile ni jasusi haswaa, mtu ambaye alipata ukanali wa jeshi kwenye umri mdogo kabisa na akaachana na hilo jeshi aingie siasani, na huko kwenye siasa akatoboa hadi kuwa Rais, out of 50mil Tanzanians, siyo wa mchezo mchezo
Samahani ndugu,
Mpende tu kwani ni haki na hiyari yako, lakini hiyo sio historia sahihi ya Mkwere.
Nakushauri kuwa nenda kaitafute iliyo sahihi sehemu zote, ili usiendelee kupotosha.Pole
 
Katika historia ya Chadema, japo sio sharia ila kiutamaduni, mgombea urais wa chama hicho huwa amekuwa mbunge katika bunge lilitangulia kabla ya uchaguzi. Mbowe, Slaa, Lowassa na Lissu. Uchaguzi ujao watakuwa hawana tena uwanja mpana kupata mgombea mwenye sifa hizo. Kuna wabunge 20 ambao wenye uanachama halali ni mbunge mmoja. Aida Khenani. Hapo sasa inabidi turudi kwenye makabrasha kuangalia makada wengine tena. Nao ni kama ifuatavyo.



  • Lissu- Ataulizwa miaka yote hiyo ulikuwa unazunguka Ulaya “hivi kweli hata shida zetu hapa Tanzania unazijua?”
  • Lema – Hana elimu ya kutosha
  • Sugu – Ana street cred lakini hana elimu ya kuongoza nchi
  • Msigwa – Hana haiba ya urais
  • Mbowe – Watanzania hata hawajui anataka nini hasa
  • Mnyika – Kapoteza muelekeo wa kisiasa kabisa
  • Prof Safari- Umri utakuwa umemuacha kidogo
  • Wenje- Yuko nje ya ulingo muda mrefu sana, sidhani hata kama anajua uchaguzi ujao ni mwaka gani
  • Maria Sarungi – Chadema wenyewe hata hawana Imani naye kabisa, wanamuona yuko kimaslahi zaidi
  • Fatma Karume –Huyu aliwahi kusifia wakati Fulani mapenzi ya jinsia moja, Chadema wanaogopa rungu hilo kutumika dhidi yao
  • Heche – Kakaa kigomvigomvi sana, Watanzania ni watu wa Amani, Chadema hawawezihata kumfikiria
  • Nassari – Huyu alikuwa mtu pekee mwenye sifa lakini ndio hivyo tena, yeye ni kijani na njano sasa hivi.
  • Pambalu – Umri hauruhusu, bado motto
  • Slaa – Hataki hata kuisikia kabisa Chadema
  • Mzee Lowassa – Baada ya kumfahamu vizuri Mbowe hawezi hata kupokea simu yake
  • Mdee, Bulaya na wenzao 17- Japokuwa wanatoa michango yao kila mwezi, Chadema wanasema sio wanachama, kwa hiyo hawa nao hawana sifa.
  • Mange Kimambi – Huyu hataki hata kuwasikia kabisa Chadema, inshort hawapendi tena baada ya kutumia vibaya hela za michango.
Chadema wapende wasipende inabidi uchaguzi ujao warudi upande wa Bavicha kutafuta mgombe urais, waangalie kwenye chungu cha kina Mdude, Yericko, Kisandu nk.

Peooooples
Mkuu acha kujisahaulisha, mbona nafasi ya kubadiri gia angani hujaisema?
 
Kwa hiyo huyo anayekimbizana na wamachinga ndiye anafaa au!? Upuuzi.
 
Katika historia ya Chadema, japo sio sharia ila kiutamaduni, mgombea urais wa chama hicho huwa amekuwa mbunge katika bunge lilitangulia kabla ya uchaguzi. Mbowe, Slaa, Lowassa na Lissu. Uchaguzi ujao watakuwa hawana tena uwanja mpana kupata mgombea mwenye sifa hizo. Kuna wabunge 20 ambao wenye uanachama halali ni mbunge mmoja. Aida Khenani. Hapo sasa inabidi turudi kwenye makabrasha kuangalia makada wengine tena. Nao ni kama ifuatavyo.
  • Lissu- Ataulizwa miaka yote hiyo ulikuwa unazunguka Ulaya “hivi kweli hata shida zetu hapa Tanzania unazijua?”
  • Lema – Hana elimu ya kutosha
  • Sugu – Ana street cred lakini hana elimu ya kuongoza nchi
  • Msigwa – Hana haiba ya urais
  • Mbowe – Watanzania hata hawajui anataka nini hasa
  • Mnyika – Kapoteza muelekeo wa kisiasa kabisa
  • Prof Safari- Umri utakuwa umemuacha kidogo
  • Wenje- Yuko nje ya ulingo muda mrefu sana, sidhani hata kama anajua uchaguzi ujao ni mwaka gani
  • Maria Sarungi – Chadema wenyewe hata hawana Imani naye kabisa, wanamuona yuko kimaslahi zaidi
  • Fatma Karume –Huyu aliwahi kusifia wakati Fulani mapenzi ya jinsia moja, Chadema wanaogopa rungu hilo kutumika dhidi yao
  • Heche – Kakaa kigomvigomvi sana, Watanzania ni watu wa Amani, Chadema hawawezihata kumfikiria
  • Nassari – Huyu alikuwa mtu pekee mwenye sifa lakini ndio hivyo tena, yeye ni kijani na njano sasa hivi.
  • Pambalu – Umri hauruhusu, bado motto
  • Slaa – Hataki hata kuisikia kabisa Chadema
  • Mzee Lowassa – Baada ya kumfahamu vizuri Mbowe hawezi hata kupokea simu yake
  • Mdee, Bulaya na wenzao 17- Japokuwa wanatoa michango yao kila mwezi, Chadema wanasema sio wanachama, kwa hiyo hawa nao hawana sifa.
  • Mange Kimambi – Huyu hataki hata kuwasikia kabisa Chadema, inshort hawapendi tena baada ya kutumia vibaya hela za michango.
Chadema wapende wasipende inabidi uchaguzi ujao warudi upande wa Bavicha kutafuta mgombe urais, waangalie kwenye chungu cha kina Mdude, Yericko, Kisandu nk.

Peooooples
2025 mimi nitagombea, halafu nitawanyoosha hao wote uliowataja pamoja na wagombea wa wote CCM na vyama vingine.
 
Katika historia ya Chadema, japo sio sharia ila kiutamaduni, mgombea urais wa chama hicho huwa amekuwa mbunge katika bunge lilitangulia kabla ya uchaguzi. Mbowe, Slaa, Lowassa na Lissu. Uchaguzi ujao watakuwa hawana tena uwanja mpana kupata mgombea mwenye sifa hizo. Kuna wabunge 20 ambao wenye uanachama halali ni mbunge mmoja. Aida Khenani. Hapo sasa inabidi turudi kwenye makabrasha kuangalia makada wengine tena. Nao ni kama ifuatavyo.
  • Lissu- Ataulizwa miaka yote hiyo ulikuwa unazunguka Ulaya “hivi kweli hata shida zetu hapa Tanzania unazijua?”
  • Lema – Hana elimu ya kutosha
  • Sugu – Ana street cred lakini hana elimu ya kuongoza nchi
  • Msigwa – Hana haiba ya urais
  • Mbowe – Watanzania hata hawajui anataka nini hasa
  • Mnyika – Kapoteza muelekeo wa kisiasa kabisa
  • Prof Safari- Umri utakuwa umemuacha kidogo
  • Wenje- Yuko nje ya ulingo muda mrefu sana, sidhani hata kama anajua uchaguzi ujao ni mwaka gani
  • Maria Sarungi – Chadema wenyewe hata hawana Imani naye kabisa, wanamuona yuko kimaslahi zaidi
  • Fatma Karume –Huyu aliwahi kusifia wakati Fulani mapenzi ya jinsia moja, Chadema wanaogopa rungu hilo kutumika dhidi yao
  • Heche – Kakaa kigomvigomvi sana, Watanzania ni watu wa Amani, Chadema hawawezihata kumfikiria
  • Nassari – Huyu alikuwa mtu pekee mwenye sifa lakini ndio hivyo tena, yeye ni kijani na njano sasa hivi.
  • Pambalu – Umri hauruhusu, bado motto
  • Slaa – Hataki hata kuisikia kabisa Chadema
  • Mzee Lowassa – Baada ya kumfahamu vizuri Mbowe hawezi hata kupokea simu yake
  • Mdee, Bulaya na wenzao 17- Japokuwa wanatoa michango yao kila mwezi, Chadema wanasema sio wanachama, kwa hiyo hawa nao hawana sifa.
  • Mange Kimambi – Huyu hataki hata kuwasikia kabisa Chadema, inshort hawapendi tena baada ya kutumia vibaya hela za michango.
Chadema wapende wasipende inabidi uchaguzi ujao warudi upande wa Bavicha kutafuta mgombe urais, waangalie kwenye chungu cha kina Mdude, Yericko, Kisandu nk.

Peooooples


Wameshasema hakuna uchaguzi bila katiba sasa wewe unarukia mgombea wakati hata katiba na tume bado!!!! tuache kuota tuongee vitu ambavyo vinaeleweka. Haya yote yanayoendelea umeyapuuza kama vile hayapo!!!
 
Katika historia ya Chadema, japo sio sharia ila kiutamaduni, mgombea urais wa chama hicho huwa amekuwa mbunge katika bunge lilitangulia kabla ya uchaguzi. Mbowe, Slaa, Lowassa na Lissu. Uchaguzi ujao watakuwa hawana tena uwanja mpana kupata mgombea mwenye sifa hizo. Kuna wabunge 20 ambao wenye uanachama halali ni mbunge mmoja. Aida Khenani. Hapo sasa inabidi turudi kwenye makabrasha kuangalia makada wengine tena. Nao ni kama ifuatavyo.
  • Lissu- Ataulizwa miaka yote hiyo ulikuwa unazunguka Ulaya “hivi kweli hata shida zetu hapa Tanzania unazijua?”
  • Lema – Hana elimu ya kutosha
  • Sugu – Ana street cred lakini hana elimu ya kuongoza nchi
  • Msigwa – Hana haiba ya urais
  • Mbowe – Watanzania hata hawajui anataka nini hasa
  • Mnyika – Kapoteza muelekeo wa kisiasa kabisa
  • Prof Safari- Umri utakuwa umemuacha kidogo
  • Wenje- Yuko nje ya ulingo muda mrefu sana, sidhani hata kama anajua uchaguzi ujao ni mwaka gani
  • Maria Sarungi – Chadema wenyewe hata hawana Imani naye kabisa, wanamuona yuko kimaslahi zaidi
  • Fatma Karume –Huyu aliwahi kusifia wakati Fulani mapenzi ya jinsia moja, Chadema wanaogopa rungu hilo kutumika dhidi yao
  • Heche – Kakaa kigomvigomvi sana, Watanzania ni watu wa Amani, Chadema hawawezihata kumfikiria
  • Nassari – Huyu alikuwa mtu pekee mwenye sifa lakini ndio hivyo tena, yeye ni kijani na njano sasa hivi.
  • Pambalu – Umri hauruhusu, bado motto
  • Slaa – Hataki hata kuisikia kabisa Chadema
  • Mzee Lowassa – Baada ya kumfahamu vizuri Mbowe hawezi hata kupokea simu yake
  • Mdee, Bulaya na wenzao 17- Japokuwa wanatoa michango yao kila mwezi, Chadema wanasema sio wanachama, kwa hiyo hawa nao hawana sifa.
  • Mange Kimambi – Huyu hataki hata kuwasikia kabisa Chadema, inshort hawapendi tena baada ya kutumia vibaya hela za michango.
Chadema wapende wasipende inabidi uchaguzi ujao warudi upande wa Bavicha kutafuta mgombe urais, waangalie kwenye chungu cha kina Mdude, Yericko, Kisandu nk.

Peooooples
Sasa kama ndivyo hivyo, mnaogopa nini kuweka tume huru ya uchaguzi??
 
Back
Top Bottom