Kwa mara ya kwanza katika historia, CHADEMA haina mtu sahihi wa kugombea urais uchaguzi ujao 2025

Kaka embu katoe kibanda chako mtaa wa lindi na nyamwezi siku zinayoyoma ujue?
 
kazi aliyoweza Kikwete na Magufuli nani atashindwa? Mtu yoyote mwenye akili timamu anaweza kuwa rais wa Tanzania.
Zaidi ya miaka 20 mnakula ruzuku kila mwaka lakini hamjaweza kujenga hata jengo moja la makao makuu ya chama mtaweza kuongoza nchi kweli?
 
kama CCM imerithi majengo na inaongoza nchi, chama gani kitashindwa?
i ya miaka 20 mnakula ruzuku kila mwaka lakini hamjaweza kujenga hata jengo moja la makao makuu ya chama mtaweza kuongoza nchi kweli?
 
Hivi Chadema wanauongozi kweli ? Sembuse mgombea mwenye sifa ?. Kuishabikia Chadema lazima uwe na matatizo unayo takiwa uwende Mirembe.
 
Katika historia ya Chadema, japo sio sharia ila kiutamaduni, mgombea urais wa chama hicho huwa amekuwa mbunge katika bunge lilitangulia kabla ya uchaguzi. Mbowe, Slaa, Lowassa na Lissu. Uchaguzi ujao watakuwa hawana tena uwanja mpana kupata mgombea mwenye sifa hizo. Kuna wabunge 20 ambao wenye uanachama halali ni mbunge mmoja. Aida Khenani. Hapo sasa inabidi turudi kwenye makabrasha kuangalia makada wengine tena. Nao ni kama ifuatavyo.
  • Lissu- Ataulizwa miaka yote hiyo ulikuwa unazunguka Ulaya “hivi kweli hata shida zetu hapa Tanzania unazijua?”
  • Lema – Hana elimu ya kutosha
  • Sugu – Ana street cred lakini hana elimu ya kuongoza nchi
  • Msigwa – Hana haiba ya urais
  • Mbowe – Watanzania hata hawajui anataka nini hasa
  • Mnyika – Kapoteza muelekeo wa kisiasa kabisa
  • Prof Safari- Umri utakuwa umemuacha kidogo
  • Wenje- Yuko nje ya ulingo muda mrefu sana, sidhani hata kama anajua uchaguzi ujao ni mwaka gani
  • Maria Sarungi – Chadema wenyewe hata hawana Imani naye kabisa, wanamuona yuko kimaslahi zaidi
  • Fatma Karume –Huyu aliwahi kusifia wakati Fulani mapenzi ya jinsia moja, Chadema wanaogopa rungu hilo kutumika dhidi yao
  • Heche – Kakaa kigomvigomvi sana, Watanzania ni watu wa Amani, Chadema hawawezihata kumfikiria
  • Nassari – Huyu alikuwa mtu pekee mwenye sifa lakini ndio hivyo tena, yeye ni kijani na njano sasa hivi.
  • Pambalu – Umri hauruhusu, bado motto
  • Slaa – Hataki hata kuisikia kabisa Chadema
  • Mzee Lowassa – Baada ya kumfahamu vizuri Mbowe hawezi hata kupokea simu yake
  • Mdee, Bulaya na wenzao 17- Japokuwa wanatoa michango yao kila mwezi, Chadema wanasema sio wanachama, kwa hiyo hawa nao hawana sifa.
  • Mange Kimambi – Huyu hataki hata kuwasikia kabisa Chadema, inshort hawapendi tena baada ya kutumia vibaya hela za michango.
Chadema wapende wasipende inabidi uchaguzi ujao warudi upande wa Bavicha kutafuta mgombe urais, waangalie kwenye chungu cha kina Mdude, Yericko, Kisandu nk.

Peooooples
Ahadi ccm mlizotuahidi tangu ungonzi wa JK mtazitimiza lini?
 
Katika historia ya Chadema, japo sio sharia ila kiutamaduni, mgombea urais wa chama hicho huwa amekuwa mbunge katika bunge lilitangulia kabla ya uchaguzi. Mbowe, Slaa, Lowassa na Lissu. Uchaguzi ujao watakuwa hawana tena uwanja mpana kupata mgombea mwenye sifa hizo. Kuna wabunge 20 ambao wenye uanachama halali ni mbunge mmoja. Aida Khenani. Hapo sasa inabidi turudi kwenye makabrasha kuangalia makada wengine tena. Nao ni kama ifuatavyo.
  • Lissu- Ataulizwa miaka yote hiyo ulikuwa unazunguka Ulaya “hivi kweli hata shida zetu hapa Tanzania unazijua?”
  • Lema – Hana elimu ya kutosha
  • Sugu – Ana street cred lakini hana elimu ya kuongoza nchi
  • Msigwa – Hana haiba ya urais
  • Mbowe – Watanzania hata hawajui anataka nini hasa
  • Mnyika – Kapoteza muelekeo wa kisiasa kabisa
  • Prof Safari- Umri utakuwa umemuacha kidogo
  • Wenje- Yuko nje ya ulingo muda mrefu sana, sidhani hata kama anajua uchaguzi ujao ni mwaka gani
  • Maria Sarungi – Chadema wenyewe hata hawana Imani naye kabisa, wanamuona yuko kimaslahi zaidi
  • Fatma Karume –Huyu aliwahi kusifia wakati Fulani mapenzi ya jinsia moja, Chadema wanaogopa rungu hilo kutumika dhidi yao
  • Heche – Kakaa kigomvigomvi sana, Watanzania ni watu wa Amani, Chadema hawawezihata kumfikiria
  • Nassari – Huyu alikuwa mtu pekee mwenye sifa lakini ndio hivyo tena, yeye ni kijani na njano sasa hivi.
  • Pambalu – Umri hauruhusu, bado motto
  • Slaa – Hataki hata kuisikia kabisa Chadema
  • Mzee Lowassa – Baada ya kumfahamu vizuri Mbowe hawezi hata kupokea simu yake
  • Mdee, Bulaya na wenzao 17- Japokuwa wanatoa michango yao kila mwezi, Chadema wanasema sio wanachama, kwa hiyo hawa nao hawana sifa.
  • Mange Kimambi – Huyu hataki hata kuwasikia kabisa Chadema, inshort hawapendi tena baada ya kutumia vibaya hela za michango.
Chadema wapende wasipende inabidi uchaguzi ujao warudi upande wa Bavicha kutafuta mgombe urais, waangalie kwenye chungu cha kina Mdude, Yericko, Kisandu nk.

Peooooples
Naomba kujua vigezo vya mgombea sahihi wanafasi ya urais.hebu tuwekee hapa tuvijue.
 
Zaidi ya miaka 20 mnakula ruzuku kila mwaka lakini hamjaweza kujenga hata jengo moja la makao makuu ya chama mtaweza kuongoza nchi kweli?
Hawa hawataweza hata kukarabati mabarabara ya JPM watatuturudisha Misri.
Wanachoweza ni kubwabwaja JF.
 
Hivi Chadema wanauongozi kweli ? Sembuse mgombea mwenye sifa ?. Kuishabikia Chadema lazima uwe na matatizo unayo takiwa uwende Mirembe.
Sukuma gang wanachuki kubwa sana na Chadema. Mungu wao alisumbuliwa sana na Chadema na Lissu jinsi alivyomchachafya kiongozi wa malaika ktk kampeni za uchaguzi hamtakuja kusahau
 
Katika historia ya Chadema, japo sio sharia ila kiutamaduni, mgombea urais wa chama hicho huwa amekuwa mbunge katika bunge lilitangulia kabla ya uchaguzi. Mbowe, Slaa, Lowassa na Lissu. Uchaguzi ujao watakuwa hawana tena uwanja mpana kupata mgombea mwenye sifa hizo. Kuna wabunge 20 ambao wenye uanachama halali ni mbunge mmoja. Aida Khenani. Hapo sasa inabidi turudi kwenye makabrasha kuangalia makada wengine tena. Nao ni kama ifuatavyo.
  • Lissu- Ataulizwa miaka yote hiyo ulikuwa unazunguka Ulaya “hivi kweli hata shida zetu hapa Tanzania unazijua?”
  • Lema – Hana elimu ya kutosha
  • Sugu – Ana street cred lakini hana elimu ya kuongoza nchi
  • Msigwa – Hana haiba ya urais
  • Mbowe – Watanzania hata hawajui anataka nini hasa
  • Mnyika – Kapoteza muelekeo wa kisiasa kabisa
  • Prof Safari- Umri utakuwa umemuacha kidogo
  • Wenje- Yuko nje ya ulingo muda mrefu sana, sidhani hata kama anajua uchaguzi ujao ni mwaka gani
  • Maria Sarungi – Chadema wenyewe hata hawana Imani naye kabisa, wanamuona yuko kimaslahi zaidi
  • Fatma Karume –Huyu aliwahi kusifia wakati Fulani mapenzi ya jinsia moja, Chadema wanaogopa rungu hilo kutumika dhidi yao
  • Heche – Kakaa kigomvigomvi sana, Watanzania ni watu wa Amani, Chadema hawawezihata kumfikiria
  • Nassari – Huyu alikuwa mtu pekee mwenye sifa lakini ndio hivyo tena, yeye ni kijani na njano sasa hivi.
  • Pambalu – Umri hauruhusu, bado motto
  • Slaa – Hataki hata kuisikia kabisa Chadema
  • Mzee Lowassa – Baada ya kumfahamu vizuri Mbowe hawezi hata kupokea simu yake
  • Mdee, Bulaya na wenzao 17- Japokuwa wanatoa michango yao kila mwezi, Chadema wanasema sio wanachama, kwa hiyo hawa nao hawana sifa.
  • Mange Kimambi – Huyu hataki hata kuwasikia kabisa Chadema, inshort hawapendi tena baada ya kutumia vibaya hela za michango.
Chadema wapende wasipende inabidi uchaguzi ujao warudi upande wa Bavicha kutafuta mgombe urais, waangalie kwenye chungu cha kina Mdude, Yericko, Kisandu nk.

Peooooples

Mmeshauriwa kuanzisha chama mtashinda. CCM mnawachafulia tu kujibu maswali kuhusu kina Lijenje waliko wasikojua:

CCM jitengeni na kundi la Wasiojulikana

Mbona uzoefu hata wa kukwiba, kubambika kesi na hukumu achilia mbali ule wenyewe mnao sana?

Parallel power ni batili.
 
Lissu hayuko sawa kichwani ndiyo maana wazungu walishamdharau. Mzungu ukiwa unaongea akawa anakwambia 'you are right' ujue unaongea pumba tupu na hiyo ilishamkuta Lissu mara nyingi.
Una wivu wa kike kwa yai anayotema lissu
 
Katika historia ya Chadema, japo sio sharia ila kiutamaduni, mgombea urais wa chama hicho huwa amekuwa mbunge katika bunge lilitangulia kabla ya uchaguzi. Mbowe, Slaa, Lowassa na Lissu. Uchaguzi ujao watakuwa hawana tena uwanja mpana kupata mgombea mwenye sifa hizo. Kuna wabunge 20 ambao wenye uanachama halali ni mbunge mmoja. Aida Khenani. Hapo sasa inabidi turudi kwenye makabrasha kuangalia makada wengine tena. Nao ni kama ifuatavyo.
  • Lissu- Ataulizwa miaka yote hiyo ulikuwa unazunguka Ulaya “hivi kweli hata shida zetu hapa Tanzania unazijua?”
  • Lema – Hana elimu ya kutosha
  • Sugu – Ana street cred lakini hana elimu ya kuongoza nchi
  • Msigwa – Hana haiba ya urais
  • Mbowe – Watanzania hata hawajui anataka nini hasa
  • Mnyika – Kapoteza muelekeo wa kisiasa kabisa
  • Prof Safari- Umri utakuwa umemuacha kidogo
  • Wenje- Yuko nje ya ulingo muda mrefu sana, sidhani hata kama anajua uchaguzi ujao ni mwaka gani
  • Maria Sarungi – Chadema wenyewe hata hawana Imani naye kabisa, wanamuona yuko kimaslahi zaidi
  • Fatma Karume –Huyu aliwahi kusifia wakati Fulani mapenzi ya jinsia moja, Chadema wanaogopa rungu hilo kutumika dhidi yao
  • Heche – Kakaa kigomvigomvi sana, Watanzania ni watu wa Amani, Chadema hawawezihata kumfikiria
  • Nassari – Huyu alikuwa mtu pekee mwenye sifa lakini ndio hivyo tena, yeye ni kijani na njano sasa hivi.
  • Pambalu – Umri hauruhusu, bado motto
  • Slaa – Hataki hata kuisikia kabisa Chadema
  • Mzee Lowassa – Baada ya kumfahamu vizuri Mbowe hawezi hata kupokea simu yake
  • Mdee, Bulaya na wenzao 17- Japokuwa wanatoa michango yao kila mwezi, Chadema wanasema sio wanachama, kwa hiyo hawa nao hawana sifa.
  • Mange Kimambi – Huyu hataki hata kuwasikia kabisa Chadema, inshort hawapendi tena baada ya kutumia vibaya hela za michango.
Chadema wapende wasipende inabidi uchaguzi ujao warudi upande wa Bavicha kutafuta mgombe urais, waangalie kwenye chungu cha kina Mdude, Yericko, Kisandu nk.

Peooooples
WAMUWEKE MDUDE NYAGALI
 
Back
Top Bottom