Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 31,980
- 95,502
Yani seriously umdunge mtu mimba kisa tu asikuache? I thought ni wanawake wasiojiamini tu ndo wanategeshea mimba, hadi nyie wanaume? Acheni ubinafsi, mtakuja kutesa watoto bure, kama mtu hakupendi ni hakupendi tu period.Badili mbinu za kutokea,ukipenda awamu hii hakikisha unafanya kila ufanyalo ugegede kwanza,ikiwezekana uweke mpira nyavuni aka umdunge mimba mengine yatajiweka sawa yenyewe,tatizo ulilonalo hujui zama zimebadilika bado unawinda kwa rungu wakati kuna Ak47