MZURI SANA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2023
- 241
- 546
Morning all guys humu ndani.
Nafsi yangu mie inaumia moyo wangu unatoa machozi kama nitapata nafasi ya kulipiza kisasi katika maisha yangu basi sitasita kufanya katika watu wengi washuhudie.
A man niliyemthamini ,njkampa moyo wangu ,nikamuonyesha upendo wa thabitileo hii amenikimbia jamani
Nimekuwa usingizi sipatinachoshukuru kwa Mungu miaka 8 aliyenitonesha kidonda na sasa kimepona.
Mnisamehe sana wana jf ila nimeanza kulipiza kisasi kwa wanaume wote waleninachofanya hata mie sipendi ila hisia zangu zinaniambia nifanye hivyo.
Wala mie sielezj nimefanya nini ila wanaume wanojifanya Malaya wameanza kukipata cha mtema kuni
Like serious Binti mzuri sana mie unifanye unavyotaka wewe.
Nimeshatangaza vita like palestina na israel
Asubuhi njema wapenzi.
Nawapenda sana.
Nafsi yangu mie inaumia moyo wangu unatoa machozi kama nitapata nafasi ya kulipiza kisasi katika maisha yangu basi sitasita kufanya katika watu wengi washuhudie.
A man niliyemthamini ,njkampa moyo wangu ,nikamuonyesha upendo wa thabitileo hii amenikimbia jamani
Nimekuwa usingizi sipatinachoshukuru kwa Mungu miaka 8 aliyenitonesha kidonda na sasa kimepona.
Mnisamehe sana wana jf ila nimeanza kulipiza kisasi kwa wanaume wote waleninachofanya hata mie sipendi ila hisia zangu zinaniambia nifanye hivyo.
Wala mie sielezj nimefanya nini ila wanaume wanojifanya Malaya wameanza kukipata cha mtema kuni
Like serious Binti mzuri sana mie unifanye unavyotaka wewe.
Nimeshatangaza vita like palestina na israel
Asubuhi njema wapenzi.
Nawapenda sana.