Kwa mara nyingine tena nimeumizwa

Pendaelli

JF-Expert Member
Feb 13, 2014
10,931
31,140
Heshima kwenu wadau,

Jambo hilo lilitokea juzi jioni, bahati ilio nzuri siku hio tulikua na mkesha sikuweza kuhisi maumivu nilio nayo sasa ni miezi 4 iliopita niliukutana na binti mmoja kanisani, sikuacha kumwomba Mungu anipe kwaajili ya huyo binti, maombi hayakua ya muda mfupi pamoja na sadaka na mfungo, ndipo nilipo mtokea pale pale kanisani haikua rahisi kumfikishia ujumbe na pia hakuupokea kwa urahisi.

Ila baada miezi 2 alikubali kuwa nami natulipanga na kukubaliana tuishi kitakatifu mpaka siku ya ndoa na tulipanga Mungu akitupa uzima mwezi wa 2 tungeenda kwao, akawashirikisha wazazi wake naminikawa shirikisha ndugu zangu tukaendeleaje kuombeana na kutiana moyo maana ye alkua na hg kwa mtu sa alikua akinyanyasikamara nyingi.

Sasa bwana mwanzoni mwa desemba alibadilika kwenye mawaailiono mengi ya kutia shaka yalitokea hadi karibu na sikukuu aliniambia ukweli, yakuwa alikua na mtu wake kabla yangu mwana chuo ila dhehebu tofauti kwa hivyo saivi anatathimi nani kati yangu na huyo atakae mfaa ila akaniambi nisiwe na shaka nafasi yangu ni kubwa ila mpaka mwezi wa 4 nijiandae sikufa moyo ila nilimpenda sana nakuzidi kuomba kwa Mungu juu ya hili, ila ye hana muda nami japo kukutanaga nje ya kanisani kwake haiwezekani,nikimpigia hapokei mara hapatikani nikajipa moyo tuu.

Kwa sisi wakatoliki katika ibada zetu kuna kukomunika na ni kwa asie hatia ndani ya moyo wake,sasa binti huyo sikuwahi kumuona akiacha kukomunika ila jumapili ya juzi ukiacha ya jana nilishutuka kidogo kwani hatujaongea wiki 3.

Nikatia mkazo kumtafuta ingawa ilikua ngumu kupokea simu yangu lakini Jumamosi aliniambia tuishie tu pale hawezi kumuacha yule, na samahani nyingi niliumia ila mkesha ulinisaidiia na jambo kama hili lilinitokea tena 2013, roho inaniuma jamini yaani kila nikiona mtu alie vaa sketi miguu inakosa nguvu sijui nitaponaje hili niombeeni naomba jamani.

Mungu awe nanyi.
 
Una bahati mbaya na mapenzi ila mshukuru Mungu kwa hiko kidogo alichokupa kuna wenzako hawana bahati kabisa.
 
Mbona watu tulisha achwa sana....
Tulisha waacha sana pia.
Now......
Usikubali kujiweka upande wa kuona kama ume tendwa. Sana jaribu kujijenga kwa mawazo chanya na chukulia kwamba ni jambo la kawaida tu.
Jiepushe kuwaza negative sana, kwasababu utajikuta unajipea maumivu ambayo ungeweza kuyaepuka, hapa namaanisha utajikuta unakua mchawi wa wewe mwenyewe wakati unamtafuta anae kuroga.
Bila shaka ilipaswa uanze kujiandaa kiakili pale madada alipo kuambia ukweli kwamba anae mwingine. Na hapo ulipaswa uanze kujitafutia nafasi ya kuweka moyo wako iwapo ungefika wakati wa kumwagwa, sababu dalili zote zilionekana tangu mapema.
 
Pole sana Mkuu... Upo msemo mmoja usemao LIKUEPUKALO LINA HERI NDANI YAKE, unajua kuna Jambo moja tunajisahau, Leo Mungu hazungumzi na watu ana kwa ana, nachofanya ni kuonyesha ishara, kwa hiyo binafsi kitendo tu Kuwa na mawasialiano yanayosua sua ningeshajua hapa ni Mungu ananionyesha ishara Kuwa huyu sio mkewangu, wala nisingesubiri mpaka aniambie Kua Tupo wawili katika mizani yake.

Mpotezee, inauma sana Ila jikaze, Huo ndio uanaume, wala usiwachukie wanawake, kuna wengine wanajielewa sana, kuna wengine macho juu juu.. Kikubwa ni kumshukuru Mungu kwa yote tu. Huenda kuna Jambo anakufundisha Ili aje akupe mwanamke wa maisha yako. Kwajinsi niwajuavyo wadada kuna siku atarudi tu kukuomba msamaha. Usiangalie nyuma, Daima Mbele Kama Yanga, Nyuma Mwiko. Mpotezee tu, Tafuta pesa Mkuu,
 
Mbona watu tulisha achwa sana....
Tulisha waacha sana pia.
Now......
Usikubali kujiweka upande wa kuona kama ume tendwa. Sana jaribu kujijenga kwa mawazo chanya na chukulia kwamba ni jambo la kawaida tu.
Jiepushe kuwaza negative sana, kwasababu utajikuta unajipea maumivu ambayo ungeweza kuyaepuka, hapa namaanisha utajikuta unakua mchawi wa wewe mwenyewe wakati unamtafuta anae kuroga.
Bila shaka ilipaswa uanze kujiandaa kiakili pale madada alipo kuambia ukweli kwamba anae mwingine. Na hapo ulipaswa uanze kujitafutia nafasi ya kuweka moyo wako iwapo ungefika wakati wa kumwagwa, sababu dalili zote zilionekana tangu mapema.
mbona sijawahi kumfanyia mtu yoyote kitu kama hiki? mbona sikuwahi kudhamiria ubaya wowote na nalipwa yasionistahili. kama mwanadamu nimeumia sana kwa kweli
 
"inaniuma jamini yaani kila nikiona mtu alie vaa sketi miguu inakosa nguvu"

dah! tafuta suluhu la hili kwanza.[/size]
Dawa pekee ya kudeal na hii issue ili isimsumbue kisaikolojia na yeye mleta mada inabidi aanze kuvaa sketi ili kuikabili hofu yake na kutengeneza nguvu za miguu.
 
Pole sana.... yani husband materials hawapatagi wake kirahisi rahisi na ukimpata lazma ni gumegume, hao maplayer sasa ndo wamehold wife materials karibu wote na kuoa hawaoi ila ndo wanang'ang'aniwa hatare
This world is not fair kwakweli, pole once again usichoke kuomba utapata wako
 
mbona sijawahi kumfanyia mtu yoyote kitu kama hiki? mbona sikuwahi kudhamiria ubaya wowote na nalipwa yasionistahili. kama mwanadamu nimeumia sana kwa kweli

Na hapo ndipo unapaswa kujifunza kwamba haya mambo hayapo kama tunavyo yatazama kirahisi aiseeee.....
Mambo ya mahusiano yanahitaji hekima na busara hasa inapo tokea umeachwa.
Tena usiwe na moyo wa kusema kwamba wewe una tendwa wakati wewe hauwatendi, hii itakubomoa kiakili na kukujengea moyo wa kutamani kulipiza visasi na kujidumbukiza dhambuni aiseee.....
 
Heshima kwenu wadau,

Jambo hilo lilitokea juzi jioni, bahati ilio nzuri siku hio tulikua na mkesha sikuweza kuhisi maumivu nilio nayo sasa ni miezi 4 iliopita niliukutana na binti mmoja kanisani, sikuacha kumwomba Mungu anipe kwaajili ya huyo binti, maombi hayakua ya muda mfupi pamoja na sadaka na mfungo, ndipo nilipo mtokea pale pale kanisani haikua rahisi kumfikishia ujumbe na pia hakuupokea kwa urahisi
.

Nafikiri hapo ndipo 'ulipokosea'...unapofanya maombi ya kupata mwenza ina maana unamuweka Mungu 'in-charge', sasa husimpangie mwanamke wa kukupa! Omba akupe mke, yeye ndio anajua nani atakufaa. Pole sana ndugu, usikate tamaa, but when you put God incharge, let him be incharge 100%!
 
Heshima kwenu wadau,

Jambo hilo lilitokea juzi jioni, bahati ilio nzuri siku hio tulikua na mkesha sikuweza kuhisi maumivu nilio nayo sasa ni miezi 4 iliopita niliukutana na binti mmoja kanisani, sikuacha kumwomba Mungu anipe kwaajili ya huyo binti, maombi hayakua ya muda mfupi pamoja na sadaka na mfungo, ndipo nilipo mtokea pale pale kanisani haikua rahisi kumfikishia ujumbe na pia hakuupokea kwa urahisi.

Ila baada miezi 2 alikubali kuwa nami natulipanga na kukubaliana tuishi kitakatifu mpaka siku ya ndoa na tulipanga Mungu akitupa uzima mwezi wa 2 tungeenda kwao, akawashirikisha wazazi wake naminikawa shirikisha ndugu zangu tukaendeleaje kuombeana na kutiana moyo maana ye alkua na hg kwa mtu sa alikua akinyanyasikamara nyingi.

Sasa bwana mwanzoni mwa desemba alibadilika kwenye mawaailiono mengi ya kutia shaka yalitokea hadi karibu na sikukuu aliniambia ukweli, yakuwa alikua na mtu wake kabla yangu mwana chuo ila dhehebu tofauti kwa hivyo saivi anatathimi nani kati yangu na huyo atakae mfaa ila akaniambi nisiwe na shaka nafasi yangu ni kubwa ila mpaka mwezi wa 4 nijiandae sikufa moyo ila nilimpenda sana nakuzidi kuomba kwa Mungu juu ya hili, ila ye hana muda nami japo kukutanaga nje ya kanisani kwake haiwezekani,nikimpigia hapokei mara hapatikani nikajipa moyo tuu.

Kwa sisi wakatoliki katika ibada zetu kuna kukomunika na ni kwa asie hatia ndani ya moyo wake,sasa binti huyo sikuwahi kumuona akiacha kukomunika ila jumapili ya juzi ukiacha ya jana nilishutuka kidogo kwani hatujaongea wiki 3.

Nikatia mkazo kumtafuta ingawa ilikua ngumu kupokea simu yangu lakini Jumamosi aliniambia tuishie tu pale hawezi kumuacha yule, na samahani nyingi niliumia ila mkesha ulinisaidiia na jambo kama hili lilinitokea tena 2013, roho inaniuma jamini yaani kila nikiona mtu alie vaa sketi miguu inakosa nguvu sijui nitaponaje hili niombeeni naomba jamani.

Mungu awe nanyi.
1. Shida yako unataka wanawake ambao sio class yako, pia inawezekana huna chochote cha kumvutia mwanamke ( simaanishi sura), tafuta sababu kwanini wanakutenda hivyo kila wakati kisha rekebisha. Wenzio wakati wetu ulipofika wa kuoa, wasichana wa church wao ndo walikuwa wanajileta wenyewe, kwa sababu ya vigezo tulivyo kuwa navyo.

2. Kutokana na maelezo yako unasema uliomba kwa Mungu akupe mwenzi, inaonyesha kuwa wewe unapapara sana, unafanya uchaguzi kwa kufuata tamaa zako na wala hukusubiri kutoka kwa Bwana, inaonyesha kuwa ni wasichana wengi unaowangalia kuwatokea ukifikiri kuwa ni Bwana kakuongoza na wao washakushtukia ndo maana wanakuchora.
 
Back
Top Bottom