jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,990
- 22,523
- Thread starter
- #161
We siunajua kukemia mbona humkemei huyo muasisi wa udini...mtei nae umemsahau muasisi wenu wa chama kweli naanza kuami wewe unachuki na jk..ukizungumzia mambo ya ufisadi awamu zote yalikuepo toka kwa Nyerere alichokua anafanya yeye ni kuwaamisha mashirika waendelee kula pole we kwakujifanya kipofu na kiziwi
Nyerere siyo mwasisi wa udini!mzee wa watu kwanza alihakikisha kuna watawala wa tofauti kila mara.(yani mkristo then musilam nk(Na alifanya hivyo kwasababu pengine kuna watu waliokuwa na mawazo kama hayo ya kina JK ya kutaka uongozi si kwasababu ya merits)
Mimi sikumbuki siasa za mwalimu bali nazisoma.Lakini nakuhakikishia kwamba tuliishi kwa udugu kama watanzania.Sasa kama kuna issues,mwalimu alishakufa kitambo.Jk kwa bifu lake alipompiga chini kwenye uteuzi(ambapo kama na yeye angetumia akili alijuwa baada ya Mwinyi kwa utaratibu wa ccm,ni mkristu),aliona kwamba ni udini
,na sasa ndo anataka kulipiza kisasi?
Kama ni mtu alipenda usawa na hakuwa mnafiki,basi angejuwa ni zamu ya mwenzake.Imefika sasa kachaguliwa kwa tiketi ya ccm.Na sasa udini umepamba moto!kweli mwalimu aliona mbali licha ya mapungufu yake.