Wametumwa na JK,huyu mtu ni mdini sijapata ona.Hili jjkwaa,tulikuwa na umoja yani issue ya ufisadi ikija humu,hata wale watetezi hawakuwa wanaleta udini.Lakini kuna watu waliingia kwa kasi ya ajabu,nina uhakika walitumwa na ni mafisadi.Ndo wakaanzisha ya kuwatetea mafisadi eti wanaonewa kwakuwa ni waislam.Sitaki kuwataja kwasbabu hata majina yao yananichefua.Nilifika pahala nikajiuliza kama ni watanzania.Shida wanajificha nyuma ya mwavuli wa "annonymity",na kweli ukitaka kujuwa JF ni reflection ya wananchi,sasa udini uko mtaani.Wamejipanga,na JK ni kinara.Na walifanikiwa kwa kiasi kikubwa.Kwenye thread hii,sidhani tunahitaji michango yao.Nchi itajengwa na wenye moyo.Nina marafiki na ndugu waislam lakini si type hii ya mifisadi hii humu ndani.Ningekuwa na uwezo wa kuwaona ningewalima shaba!Kwasababu hao hawataki maelewano,na haina haja ya kujadiliana na type hii ya watu.Hawana akili na kujadiliana nao ni upotevu wa muda.Mnajijuwa nilowataja.