Kwa malaya bila kinga

Kwa malaya bila kinga

unaweza pia kwenda fanya ELISA test baada ya siku kama 16 hivi..lakini hospitali kubwa kama muhimbili, kcmc au bugando. Pole sana, ila still probability ni ndogo sana hata kama huyo changu alikuwa na ngoma.
 
Sasa hapo malaya ni yupi wewe, au huyo mdemu, uliokolewa na huo uboro maana uligoma kusimama ukaulazimisha unaona sasa?
 
pole sana kufanya kwa dem bila kondm haimaanishi kuwa una ngoma au umepata,jambo la muhimu ni michubuko kwa dkk 3 ni nyingi sana tofauti na 1,ila inategemea kama ulipaka hata mate yako au mafuta kulainisha kupata siyo rahisi kwa dkk hizo au kama dem mwenyewe ana maji mengi na wewe haujachubuka kupata sio rahisi ni mapenzi tu ya mungu,ia cha muhumu ni kuhesabu uliingiza ndani-nje mara ngapi? 5,6 au 7,kama uliingiza mara 4 tu au 5 ukapiga goli na hauna mchubuko wowote siyo rahisi kupata.siku nyingine kama unakwenda kufanya na dem bila kondom jichunguze toka home michubuko kwenye mashine yako ukiona uko fit nenda ila paka makhozi yako kabla hujaingiza.
 
Kapime afya kwanza, harafu kama ni mkristo nenda katubu makosa yako Mungu ni mwenye rehema atakusamehe
 
Punyeto hoyeeeeeee,,,,punjeto juu,juu,juu zaidi. PUNYETO IS STRESS FREE.
 
kama ingekuwa inawezekana mdau ange krick "Ctrl + z" lakini haiwezekani. DAaa! ni funzo tosha kwa wengine.
 
Mkuu mtu asikutishe, unaweza fanya mapenzi bila kinga ukaathirika au usiathirike, usije kufa kwa mawazo bure!
cha muhimu subiri baada ya muda ukapime. ila kama ndio kawaida yako kuwatafuna hawa viumbe bila zana, pia uko kwenye hatari zaidi. maana ukishazoea bila ZANA huwezi kutumia ile kitu. Jipe moyo mzee, unaweza lala na mtu mwenye ngoma na bado usipate.
wala sio kawaida yangu bro ilikuwa tamaa ya tendo tu ikanifanya niende kununua hao watu ila ushauri wako mzuri unanipa moyo wengine wamedis sana
 
mkuu hujionei huruma! Ila sababu ni malayal wa kuuza wateja wengi waliomptia watakuwa wamevaa ndomu kwa kuogopa ukimwi omba hiwe hivyo mkuu. Usisahau kupima
 
Wana MMU naombeni ushauri wenu hii weekend iliyopita nimepatwa na janga mpenz wangu yuko mbali sasa hamu ya kudo imenikamata kwa muda mrefu sasa nikaona njia rahisi ni kwenda mjini na kununua malaya sasa jambo la ajabu nimekwenda nae mashine ikagoma kusimama na sio kawaida sasa katika hali ya kuibembeleza nilivua condom nakuchezesha kichwa kwenye mlango wa uke sasa ikasimama nikaingiza bila ndom ila baada ya dakika kama 3 au 4 nika mwaga sasa nilipomaliza nilijilaumu sana kufanya na malaya bila kondom sikuendelea nikampa pesa nikaondoka na stress naomben ushauri kama anao je nishaumia mana sina raha nikifikiria lile jambo.

Je toka umwage ulishamaliza masaa 72? kama bado nenda hospitali mueleze daktari akuandikie ukachukue ARV utumie kwa wiki 4, huwa ni mojawapo ya kupunguza risk ya maambukizi na kumaliza maambukizi ya awali. It real work. Kwa maelezo zaidi PM pls.
 
yale yale ya long distance....na demu wako akija itabidi umege tuu kavu maana ukivaa ndom ataanza kuuliza....loh!!
 
Hahaha kiroho safi kaka umeathirikaaa


Samahani. Naomba nikuulize kidogo; hivi wewe ni demu ama? Maana huo ulambaji wako wa koni aisee unanipa mawazo ya hajabu. Embu ni PM basi twende kula aiskirimu pale Posta:A S 39:
 
Mkuu kama umetahiriwa na huyo chipsi funga alikuwa na utelezi kidogo au unyevu wa asili kwa hizo dakika bado hujaumia. Kwanza chances za female-male transmission zipo chini sana kuliko male-female...wewe upo salama so far, endelea na maisha yako ila kwa sasa msichana wako tumia zana mpaka hapo utakapojiskia huru kupima.
 
Bana eeeh! Em acha ujinga nenda kapime after three month.
 
Kwa ufupi,kama hukuchubuka,na hukurudia yawezekana hujaambukizwa hata kama alikuwa ana maradhi. Lakini pia je,ulikumbuka kuoga ulipomaliza shughuli yako hiyo? Unapofanya tendo la ndoa,wewe kama mwanaume jitahidi sana kuoga ili kuondoa wale wadudu sije wakaingia ndani,ni wadogo sana. Na pia kama hujatahiriwa ni hatari pia,kwa sababu mchubuko kwa watu kama hawa ni rahisi. Moja ya kinga ya haraka umalizapo tendo la ndoa,mwaume ni kuosha mboo yako na mkojo wako ukiwa na moto kuua wale wadudu (Hii ni sayansi yangu mwenyewe,lakini ni nzuri). Ila uwe mwangalifu jama,mahisha ni matatamu dk.4 lakini angalia unaangaika tangu juzi. Mungu akusaidie,na akuokoe.Amina
 
Duh! We kweli hujipendi!!!! Baada ya dudu kugoma kusimama basi ungejua malaika wako wanakulinda na kumwambia CD mama naona shughuli zimegoma leo nitarudi siku nyingine chukua hii kama kifutia machozi kisha kusepa zako taratibu lakini ukang'ang'ana mpaka dudu ikasimama!!! Uombe Mungu sana yule CD awe ni -VE, vinginevyo imekula kwako na utajilaumu sana kwa hili, pole zako kwa mkanganyiko wa mawazo.

Wana MMU naombeni ushauri wenu hii weekend iliyopita nimepatwa na janga mpenz wangu yuko mbali sasa hamu ya kudo imenikamata kwa muda mrefu sasa nikaona njia rahisi ni kwenda mjini na kununua malaya sasa jambo la ajabu nimekwenda nae mashine ikagoma kusimama na sio kawaida sasa katika hali ya kuibembeleza nilivua condom nakuchezesha kichwa kwenye mlango wa uke sasa ikasimama nikaingiza bila ndom ila baada ya dakika kama 3 au 4 nika mwaga sasa nilipomaliza nilijilaumu sana kufanya na malaya bila kondom sikuendelea nikampa pesa nikaondoka na stress naomben ushauri kama anao je nishaumia mana sina raha nikifikiria lile jambo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom