Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,178
Kikubwa umejifunza, sio kwamba tumekudis
Sio wewe wa kwanza kufanya makosa kama haya, na sio lazima umeathirika.
Kikubwa mlinde mpenzi wako, pima kabla hujakutana naye bila kondomu, huko ndio kuwajibika kwa mwanamme aliyekomaa kifikra.
Afu kuna dawa huwa wanapewa hospital, sijui zinaitwaje ila inatakiwa unywe nadhani ndani ya masaa 24.
Naamini hutakaa urudie kosa kama hili, na umekuwa a more stronger man kuliko ulivyokuwa mwanzo. Sidhani kama utarudia kosa kama hili kirahisi, hope for the best na ntakusaidia kuomba kwa ajili yako.
Pole!
Sio wewe wa kwanza kufanya makosa kama haya, na sio lazima umeathirika.
Kikubwa mlinde mpenzi wako, pima kabla hujakutana naye bila kondomu, huko ndio kuwajibika kwa mwanamme aliyekomaa kifikra.
Afu kuna dawa huwa wanapewa hospital, sijui zinaitwaje ila inatakiwa unywe nadhani ndani ya masaa 24.
Naamini hutakaa urudie kosa kama hili, na umekuwa a more stronger man kuliko ulivyokuwa mwanzo. Sidhani kama utarudia kosa kama hili kirahisi, hope for the best na ntakusaidia kuomba kwa ajili yako.
Pole!
wala sio kawaida yangu bro ilikuwa tamaa ya tendo tu ikanifanya niende kununua hao watu ila ushauri wako mzuri unanipa moyo wengine wamedis sana