Kwa macho ya kawaida utaona ni haki inagombaniwa, ila kwa taarifa za uhakika kinachopikwa ni Tanzania kuwa Congo ya pili

Kwa macho ya kawaida utaona ni haki inagombaniwa, ila kwa taarifa za uhakika kinachopikwa ni Tanzania kuwa Congo ya pili

stakehigh

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2019
Posts
18,884
Reaction score
14,630
CCM imekuwa chama imara sana katika kupigania nchi hii, toka 1961 msimamo wake haujawahi kupinda kutetea maslahi ya wananchi wake, kwa nje utaona ni vita ya kugombania haki ila kuna watu waliisubiri sana hii siku waonyeshe rangi zao halisi, Kinachoendelea ni vita kubwa ya kiuchumi, kinachoisaidia Tz ni kutofungana upande wowote wa kidiplomasia, anapiga kote kote, hapa tunakumbuka maneno aliwahi kusema Tundu Lissu "Ni kichaa peke yake ndo atakuwa na mahusiano ya karibu na Marekani lakini utakuwa kichaa zaidi kuwa adui wake"

Akimaanisha Uhusiano wako na Marekani pande zote lazima upoteze, hivyo kutofungana upande wowote ni faida kubwa otherwise tungeangukia pabaya sana, Wananchi wengi wanatumika bila wao kujua wakidhani wanagombania haki lakini ni VITA YA KIUCHUMI

Najua wana mtu wao wa mda mrefu wanataka aongoze lakini CCM imekuwa imara miaka yote.
 
Hizo propaganda za kijinga mkawadanganye UVCCM na wazee.

kwa namna viongozi wenu walivyo vilaza na wasio wazalendo hata kidogo, Wazungu wangeyataka hayo madini wangekwisha yachukua tangu zamani.

Bandari imeuzwa kapewa mwarabu, huko mbugani ni mwendo wa kuhamisha wanyama kupeleka uarabuni, bado hatujaongelea ufisadi unaofanyika kwenye makaa ya mawe, bado hatujaongelea kuhusu kuhamishwa kwa ndugu zetu wamasai. Acheni kuwafanya Watanzania wapumbavu.
 
CCM imekua chama imara sana katika kupigania nchi hii, toka 1961 msimamo wake haujawahi kupinda kutete maslahi ya wananchi wake, kwa nje utaona ni vita ya kugombania haki ila kuna watu waliisubiri sana hii siku waonyeshe rangi zao halisi, Kinachoendelea ni vita kubwa ya kiuchumi, kinachoisaidia Tz ni kutofungana upande wowote wa kidiplomasia, anapiga kote kote, hapa tunakumbuka maneno aliwahi kusema Tundu lissu "Ni kichaa peke yake ndo atakua na mahusiano ya karibu na marekani lakini utakua kichaa zaidi kua adui wake"

Akimaanisha Uhusiano wako na marekani pande zote lazima upoteze, hivo kutofungana upande wowote ni faida kubwa other wise tungeangukia pabaya sana, Wananchi wengi wanatumika bila wao kujua wakidhan wanagombania haki lakini ni VITA YA KIUCHUMI

Najua wana mtu wao wa mda mrefu wanataka aongoze lakini CCM imekua imara miaka yote
Ccm inayoteka na kkua wapinzani,ccm inayoiba na kupora mifumo ya uchaguzi.

Bila mbeleko ya policcm ticcm hakuna ccm
 
Kama kweli kuna vita ya uchumi basi adui yetu wa kwanza ni sisi wenyewe.

Muarabu alijua mapema kuwa dunia imeingia kwenye vita ya kiuchumi.

Ila kwakua hali yake ya kijiografia haimuwezeshi kuwa na silaha muhimu ya kuweza kutamba kwenye uwanja wa vita akaona aangalie ni wapi kuna mjinga kazubaa na atumie mwanya huo kuzipata.

Huwezi kupambana vita ya kiuchumi na wakati huo huo njia za kuimarisha uchumi umezikabidhi kwa waarabu (bandari zote, mbuga za wanyama)

Unategemea vipi kushinda hiyo vita ilihali silaha zako zile deadly umemgawia mgeni ambaye anazitumia hizo silaha kujinufaisha yeye na familia yake?
 
Kama kweli kuna vita ya uchumi basi adui yetu wa kwanza ni sisi wenyewe.

Muarabu alijua mapema kuwa dunia imeingia kwenye vita ya kiuchumi.

Ila kwakua hali yake ya kijiografia haimuwezeshi kuwa na silaha muhimu ya kuweza kutamba kwenye uwanja wa vita akaona aangalie ni wapi kuna mjinga kazubaa na atumie mwanya huo kuzipata.

Huwezi kupambana vita ya kiuchumi na wakati huo huo njia za kuimarisha uchumi umezikabidhi kwa waarabu (bandari zote, mbuga za wanyama)

Unategemea vipi kushinda hiyo vita ilihali silaha zako zile deadly umemgawia mgeni ambaye anazitumia hizo silaha kujinufaisha yeye na familia yake?
Option ziko 2: tuongeze kodi ifike angalau 40% tununue vifaa vipya vya bandari ama tumpe mwekezaji aje na hela zake sisi tukusanye kodi, chagua apo
 
Kama kweli kuna vita ya uchumi basi adui yetu wa kwanza ni sisi wenyewe.

Muarabu alijua mapema kuwa dunia imeingia kwenye vita ya kiuchumi.

Ila kwakua hali yake ya kijiografia haimuwezeshi kuwa na silaha muhimu ya kuweza kutamba kwenye uwanja wa vita akaona aangalie ni wapi kuna mjinga kazubaa na atumie mwanya huo kuzipata.

Huwezi kupambana vita ya kiuchumi na wakati huo huo njia za kuimarisha uchumi umezikabidhi kwa waarabu (bandari zote, mbuga za wanyama)

Unategemea vipi kushinda hiyo vita ilihali silaha zako zile deadly umemgawia mgeni ambaye anazitumia hizo silaha kujinufaisha yeye na familia yake?
Adui siyo sisi ni majambazi ma ccm yote na mapolisi yao yote.
 
CCM imekua chama imara sana katika kupigania nchi hii, toka 1961 msimamo wake haujawahi kupinda kutete maslahi ya wananchi wake, kwa nje utaona ni vita ya kugombania haki ila kuna watu waliisubiri sana hii siku waonyeshe rangi zao halisi, Kinachoendelea ni vita kubwa ya kiuchumi, kinachoisaidia Tz ni kutofungana upande wowote wa kidiplomasia, anapiga kote kote, hapa tunakumbuka maneno aliwahi kusema Tundu lissu "Ni kichaa peke yake ndo atakua na mahusiano ya karibu na marekani lakini utakua kichaa zaidi kua adui wake"

Akimaanisha Uhusiano wako na marekani pande zote lazima upoteze, hivo kutofungana upande wowote ni faida kubwa other wise tungeangukia pabaya sana, Wananchi wengi wanatumika bila wao kujua wakidhan wanagombania haki lakini ni VITA YA KIUCHUMI

Najua wana mtu wao wa mda mrefu wanataka aongoze lakini CCM imekua imara miaka yote
Bosi wewe huelewi. Tungekuwa na mfano tume huru ya uchaguzi nani angetuingilia???
 
CCM imekua chama imara sana katika kupigania nchi hii, toka 1961 msimamo wake haujawahi kupinda kutete maslahi ya wananchi wake, kwa nje utaona ni vita ya kugombania haki ila kuna watu waliisubiri sana hii siku waonyeshe rangi zao halisi, Kinachoendelea ni vita kubwa ya kiuchumi, kinachoisaidia Tz ni kutofungana upande wowote wa kidiplomasia, anapiga kote kote, hapa tunakumbuka maneno aliwahi kusema Tundu lissu "Ni kichaa peke yake ndo atakua na mahusiano ya karibu na marekani lakini utakua kichaa zaidi kua adui wake"

Akimaanisha Uhusiano wako na marekani pande zote lazima upoteze, hivo kutofungana upande wowote ni faida kubwa other wise tungeangukia pabaya sana, Wananchi wengi wanatumika bila wao kujua wakidhan wanagombania haki lakini ni VITA YA KIUCHUMI

Najua wana mtu wao wa mda mrefu wanataka aongoze lakini CCM imekua imara miaka yote
Hamuoni mlizingua kwenye mchakato wa uchaguzi? Na Lissu bado mnaye mmemfunga. Nyie ndio tatizo
 
CCM imekua chama imara sana katika kupigania nchi hii, toka 1961 msimamo wake haujawahi kupinda kutete maslahi ya wananchi wake, kwa nje utaona ni vita ya kugombania haki ila kuna watu waliisubiri sana hii siku waonyeshe rangi zao halisi, Kinachoendelea ni vita kubwa ya kiuchumi, kinachoisaidia Tz ni kutofungana upande wowote wa kidiplomasia, anapiga kote kote, hapa tunakumbuka maneno aliwahi kusema Tundu lissu "Ni kichaa peke yake ndo atakua na mahusiano ya karibu na marekani lakini utakua kichaa zaidi kua adui wake"

Akimaanisha Uhusiano wako na marekani pande zote lazima upoteze, hivo kutofungana upande wowote ni faida kubwa other wise tungeangukia pabaya sana, Wananchi wengi wanatumika bila wao kujua wakidhan wanagombania haki lakini ni VITA YA KIUCHUMI

Najua wana mtu wao wa mda mrefu wanataka aongoze lakini CCM imekua imara miaka yote

CCM ilikuwa chama Imara ile miaka ya ukomunist, sio leo! Ni chama cha walaji, mafisadi na chama cha kidikteta! Sasa hivi kinabebwa na Polisi, Jeshi, Usalama wa Taifa, na Katiba kandamizi iliyopitwa na wakati! Katiba ambayo inampa Rais kuwa "mungu" ! Ati Tanzania ni kisiwa cha amani? Ilikuwa amani ya woga na kujikomba kwa wenye madaraka!
 
Back
Top Bottom