Kumbe ww mdogo sana kwa siasa za hapa Tz....
Hakuna anae ogopwa na CCM NZIMA NA WAPINZANI KAMA Lowassa....
JK...hakuna anae mhofia kama Lowassa...na anamhofia kweli kweli, kwani kamweka kampa support hadi kawa Rais...kila mtu anajua hilo...
Na hakuna MTU ANAYE WEZA KUTOA AMRI KAMA Lowassa ndani na nje ya CCM...
Na KAMA HUAMINI....subiria achukue IKULU 2015...uone akaina Nape, Sitta, Membe, sijui mali za Ridhione etc kama utawasikia tena....na wezi wote wa hela za SERIKALI WATAKIONA....!!! Na hajawahi kuufyata hata siku moja...ww kweli kichanga cha siasa...!!
Lowassa alitakiwa achukue hii nchi kitambo sana.....BORA anayeiba halafu anazuia wengine wasiibe kuliko anayeruhusu hata vilaza kuendelea kutuibia. I will be the campain manager wa eneo ninalotoka hata kama ctalipwa.
HUONI HATA AIBU UNATOA POVU KWENYE DOMO KWA AJILI YA KIBAKA LOWASSA..yaani unajisemea kama upo kilabu cha MATAPUTAPU kwamba mwizi LOWASA akichukua nchi atawashughulikia vibaka wenzake nadhani ukiwemo na wewe. je unaongea haya upo MSALANI au kilabuni?
Yes, So what?
Alimbaka MAMA YAKO..!!? No one, u or whoever else can STOP THE KING LOWASSA TO WHITE HOUSE...
ww ni kima tu, you have no effect, IF U DON'T BELIEVE MY WORDS....subiria 2015...utajuta..!!!
No one atamzuia, wala si ww kapurwa, mtoto wa mtaani, ur poverty of mind and material things, unaona donge kwa mali za wenzako..utabakia maskini wa kila kitu...na utakufa maskini...!!! U will live and pass like u never existed...!!! Poorest u...!!!
AU
Samahani, nikumbushe ndugu: hivi ni kwa lipi hasa Mh. Jakaya Mrisho Kikwete alipewa nchi mwaka 2005???!!!! Kwangu mimi, yeyote anayejidai eti haoni utendaji wa Mh. Lowassa huyo ni mnafiki tu. Hivi, ni lini paliwahi kuthibitishwa ufisadi wa Mh. Lowassa???!!! Baadhi yetu tusioendeshwa na tabia za wanasiasa kuchafuana, na tunaotafakari kwa kina juu ya matukio ya kisiasa, tulitambua toka siku nyingi sana kuwa zigo la RICHMOND siyo la Mh. Lowassa; Mh. Lowassa alionewa tu, na yupo hasa mkubwa mwingine aliyenufaika na suala zima la RICHMOND lakini siyo Mh. Lowassa hata kidogo: yeyote anayetafakari kwa kina, atakubaliana nami. NACHUKIA UFISADI- SANA TU, LAKINI RICHMOND SIYO ZIGO LA MH. LOWASSA, ASICHAFULIWE KWALO. NA, MUNGU ATAENDELEWA KUMWINUA JUU SANA MH. LOWASSA DHIDI YA MAADUI WAKE.
Kwa lipi la maana alilolifanya Lowassa hadi apewe nchi?
Kuna sababu nyingi za kusema Lowassa hafai kuwa rais wa nchi hii licha ya kuwa mgonjwa wa macho na mgongo pia ni mmoja wa watu 11 waliotajwa kuwa ni mafisadi.
Amefanya nini la maana hadi tumpe nchi? Unamkumbuka kwa lipi zaidi ya kujiuzulu?
Pesa zake sio tiketi kuwepo ulazima wa kuingia ikulu. Kama anatafuta umaarufu,umaarufu sio kwa mazuri tu hata ufisadi na kujiuzulu napo aljulikana ndani na nje ya nchi.
Sababu zipi za kunishawishi kumpigia kura Lowassa awe Rais wa awamu ya tano?
Kwa sababu ana ela nyingi za ufisadi, afya tata (by membe) na huwa anazigawa kanisan na mckitin
Kwa lipi la maana alilolifanya Lowassa hadi apewe nchi?
Kuna sababu nyingi za kusema Lowassa hafai kuwa rais wa nchi hii licha ya kuwa mgonjwa wa macho na mgongo pia ni mmoja wa watu 11 waliotajwa kuwa ni mafisadi.
Amefanya nini la maana hadi tumpe nchi? Unamkumbuka kwa lipi zaidi ya kujiuzulu?
Pesa zake sio tiketi kuwepo ulazima wa kuingia ikulu. Kama anatafuta umaarufu,umaarufu sio kwa mazuri tu hata ufisadi na kujiuzulu napo aljulikana ndani na nje ya nchi.
Sababu zipi za kunishawishi kumpigia kura Lowassa awe Rais wa awamu ya tano?
Tumechoka kujibu maswali yanayoulizwa na hawa MAZUZU
Wewe ndie unae mdharau , tatizo lenu hamuelew kitu kimoja , hii mitandao inawadanganya sana , mnajiona mpo wengi kumbe mnaenea kiganjan tu
unakumbuka hii
Scotland walipiga kelele sana za kujitenga toka UK
Quebec nao Canada
Dunia ikaamini kweli watu wanajitenga ila mwisho wa siku tukarudi kule kule
"The silence majority won against the vocal minority"
Huku mtaan ni silence majority , endeleen kupiga kelele
lowasa ndio habar ya mjin