Kwa lipi Lowassa apewe nchi?

Kwa lipi Lowassa apewe nchi?

Eti alionewa,aache propaganda za kishamba hizo. Kumbe hata akiwa rais atakuwa anaonewa hata akituhumiwa.
Itakuwa ni jambo la kipambavu kumpa mtu urais ambaye anaona kabisa kaonewa, na licha ya kuonewa aliona na alijua kuna mikataba ya kifisadi inakuja na akasaini kisa tu kaambiwa na prof kikwete. Je inamaana Mzee Mamvi kwake rais mmoja ni wa maana sana kuliko watanzania milioni 40? Kama alkubal kuingizwa mkenge na prof basi na aendelee kufa kizungu na tai make huo ni ujinga wake asitafute huruma kwetu eti kasingiziwa inamaana yeye ni mtoto mdogo?
 
Mamvi alikataaaa kata kata baada ya kuona kuna utapeli fulani, mkuu wake akamwambia nimepata ushauri wa KITAALAM NA USALAMA, idhinisha kwa amri yangu, chochote kikitokea himself Head of state atakuwa responsibleeeeeeeeeee!!!!!!

So Lowassa alijiuzulu kwa KUIBEBA CHAMA chake NA SERIKALI INAYOONGOZWA na CCM....

JUA HILO...MBONA MGUMU HIVYOOOO...

Baadae mkuu akawa haonyeshi ushirikiano kwa Mamvi...!!!


Kumjua mwenye richmond sio inshu, hoja mezani yeye kama pm alishndwa vp kukataa au kuzuia kusaini mikataba wa kifisadi wa richmond? Kama alishnkizwa na Profesa inamana kwake rais ni muhimu kuliko watz milioni 40? Jibuni hiyo hoja misukule wote wa bwana mamvi.
 
Aliyekamatwa a ngozi ndiye mwizi,kama lilikuwa sio kosa lake,je kwa nini alikubali kujiuzulu? Yeye amekuwa Yesu kwamba anakufa kwa ajili ya wengine? Kivyovyote vile,kama alikubali kujiuzulu kumlinda mwizi basi hukumu ya kuitwa fisadi anastahili. By the way,wewe umesema yeye aliwajibika tu,je mwenye mzigo huyo ni nani? Mtaje

Misemo kama, "Aliyekamatwa na ngozi ndiye mwizi" haitumiki kirahisi rahisi tu kama baadhi wafikiriavyo; bali, hekima inapaswa kuongoza kabla hujafikia hitimisho kwa kutumia misemo ya namna hiyo. Na, yeyote anayetaka kutumia misemo ya namna hiyo kama ilivyo, anadhihirisha uchanga wa akili na/au hekima yake. Unasema kwamba kwanini alikubali kujiuzuru kama hakuhusika; kwa argument yako hii, wewe ulitaka akomae mpaka mwisho: sikiliza ndugu, mimi sijui umri wako, lakini pia sijui exposure uliyonayo ila ukweli ni kuwa kuna mambo yanatekelezeka katika Ideal Situation, lakini ukiyaleta kwenye Real Situation mambo hayo hayo inabidi utumie hekima kubwa sana, ambayo kwenye Ideal Situation hukuitumia, ili upate hitimisho sahihi. Ninachokuomba, usitumie tukio hilo moja tu kumuhukumu Mh. Lowassa; kwani, hutaujua ukweli kwa tukio hilo moja tu: kumbuka matukio yaliyofuata baada ya hapo, kisha yatafakari. Kwa mfano, bunge liliafikiana nini kumuhusu Dr. Hosea wa PCCB, ambaye uchunguzi wake uliisafisha RICHMOND kabla ya tume ya Mh. Mwakyembe kuundwa? Na, je, katika maafikiano hayo, ni lipi lilitendeka? Dr. Hosea yu wapi sasa? Pia, suala la RICHMOND lilimalizwaje bungeni? HEBU TUACHE TABIA YA KUBEBA MAMBO BILA KUYAPIMA KWA AKILI TULIZOJALIWA NA MUUMBA WETU.
 
ni hivi , kushirikiana kuiba na boss hakukuondolei kesi , sasa awe aliiba mwenyewe au alipata maagizo kutoka juu huyo ni mwizi tu .

Do you know CHAIN OF COMMAND IN GOVERNMENT...!!!?

Not pocble PM aende against PRESIDENTIAL ORDER...!! Jua hilo...!!!
 
Halafu anakuja na propaganda za kwamba kaonewa,hata wezi wa simu mtaani huwa wanasema wanaonewa. Wapi mwizi alikiri kosa kuwa yeye ni mwizi? Hakuna! Anadai eti alionewa,yeye ni mtoto mdogo? Wakati jitu zima na mamvi kibao kichwani. Saini aliweka mwenyewe leo hii anasema alionewa,kilichomfanya asaini mkataba wa Richmond kitu gani kama sio kiherehere
ni hivi , kushirikiana kuiba na boss hakukuondolei kesi , sasa awe aliiba mwenyewe au alipata maagizo kutoka juu huyo ni mwizi tu .
 
Amefanya mengi ambayo yamefukiwa na kashfa ya kuzushiwa ya Richmond.....na bdo watanzania wameonesha kumkubali
 
Atafutwe Nyerere mwingine tumeteseka sana tangu afariki mabadiliko ya hali zetu ccm imeshindwa tunamtafuta Nyerere kupitia Ukawa.Ccm watuibie mba tena miaka 5 nchi haitakarika.
 
Shida yenu humu ndani kwa LOWASSA NI RICHMOND...LINGINE!!? Coz Richmond hahusiki 100%

Huo ndio ukweli...!!? 4 get about ur political status, mteendeni haki kwa hili..hajahusika..!!!! CCM yote inajuana watu wote wanajua...!!!
 
Kwa lipi la maana alilolifanya Lowassa hadi apewe nchi?

Kuna sababu nyingi za kusema Lowassa hafai kuwa rais wa nchi hii licha ya kuwa mgonjwa wa macho na mgongo pia ni mmoja wa watu 11 waliotajwa kuwa ni mafisadi.

Amefanya nini la maana hadi tumpe nchi? Unamkumbuka kwa lipi zaidi ya kujiuzulu?

Pesa zake sio tiketi kuwepo ulazima wa kuingia ikulu. Kama anatafuta umaarufu,umaarufu sio kwa mazuri tu hata ufisadi na kujiuzulu napo aljulikana ndani na nje ya nchi.

Sababu zipi za kunishawishi kumpigia kura Lowassa awe rais wa awamu ya tano?

Waulize watanzania mamilioni wanaomtaka. Inaonekana wewe mgeni nchi hii.
 
Mimi nashindwa hata kuwaelewa,yeye alisema ameonewa na kama umeonewa maana yake kosa sio lako,kwa nini amekaa kimya bila kujibu tuhma hizo? Silence means yes
Misemo kama, "Aliyekamatwa na ngozi ndiye mwizi" haitumiki kirahisi rahisi tu kama baadhi wafikiriavyo; bali, hekima inapaswa kuongoza kabla hujafikia hitimisho kwa kutumia misemo ya namna hiyo. Na, yeyote anayetaka kutumia misemo ya namna hiyo kama ilivyo, anadhihirisha uchanga wa akili na/au hekima yake. Unasema kwamba kwanini alikubali kujiuzuru kama hakuhusika; kwa argument yako hii, wewe ulitaka akomae mpaka mwisho: sikiliza ndugu, mimi sijui umri wako, lakini pia sijui exposure uliyonayo ila ukweli ni kuwa kuna mambo yanatekelezeka katika Ideal Sit
 
Amefanya mengi ambayo yamefukiwa na kashfa ya kuzushiwa ya Richmond.....na bdo watanzania wameonesha kumkubali

Mkuu, binafsi siamini kuwa Lowasa anafaa kuwa raisi wa Tanzania ajae. Hii ni kutokana na historia yake kiutendaji akiwa mwanachama wa ccm.

Nieleze kwenye kashfa ya Richmond alizushiwa vipi, na kama alizushiwa kwa nini ilibidi ajiuzulu?

Sina imani na Lowasa, zaidi ya hapo sina imani na ccm kuleta mabadiliko hasa tukizingatia wamekuwa katika madaraka kwa miaka yote hii, mpaka leo hivi ambapo Watanzania wako hoi.

Ubovu wa wa maisha ya Watanzania vikiwepo umaskini, afya duni, elimu duni na ukosefu wa amani kwa ujumla, vimetokea wakati ccm inatawala.

Naomba unishawishi kuwa Lowasa, huyu huyu ambaye ni kada wa ccm mpaka leo, ataleata mabadiliko gani ndani ya chama hicho hicho ambacho kimeangamiza maisha ya Watanzania wengi.

Ni jambo gani muhimu, alilolifanya akiwa ndani ya ccm, linalotuonyesha kwamba alijaribu kubadilisha mwenendo wa chama chake kuelekea katika maisha bora kwa Watanzania?


 
Alishajibu muda sana...!!! Kupitia NEC YA CCM...kila mtu anajua RICHMOND ni ya nani....!!!

Kama hujui waulize wenzako au muulize Riz1 akupe jibu...!!
Daah, aisiiii: yaani nilikuwa tayari nime-log out, lakini post yako hii imenirudisha kwa speed kubwa sana. Asante sana ndugu, hongera sana ndugu kwa kuitumia akili yako vyema kupima mambo kwa kina. Sasa ngoja ni-log out kwa amani. Bado matukio ni mengi sana ambayo yeyote anayetafakari kwa kina atajua tu kuwa RICHMOND ni ya nani. Nachukia ufisadi sana tu, lakini mimi sijawahi kujithibitishia wala kuthibitishiwa ufisadi wa Mh. Lowassa; so, kwangu utendaji wa kazi wa Mh. Lowassa ni wa maana sana kwa Tanzania ya sasa ambayo taasisi za umma zinaendeshwa kivivu sana na watu ambao hawana hata chembe ya kujituma.
 
[h=2]Lowassa kama kiongozi anasifa za ziada zifuatazo:-
1. Empathy[/h]Empathy is the ability to understand and share the feelings of another. This is incredibly important in any workplace environment and helps you to manage conflict and relationships. However, it's become even more important as businesses compete to better understand the needs of their customers. People don't want to be analyzed and marketed to--they want brands to understand what they want and need. Empathetic leaders function better within the company, but can also use this trait to power the business, as well.
[h=2]2. Optimism[/h]You might think of optimism as the quality of one being hopeful, but it also indicates confidence in successful outcomes. Of course, blind optimism isn't a good thing, but optimistic leaders can inspire and motivate teams.
[h=2]3. Forgiveness[/h]No one enjoys the boss who lords every mistake they've ever made over their head. There is real power in allowing employees to take calculated risks, but they have to know it's not going to be held against them later. Doing so kills creativity and motivation--it causes people to think twice before bringing a new idea to the table, or experimenting with a new process or product. Learn how to forgive mistakes to nurture creativity and inspiration and your team will pay you back ten-fold.
[h=2]4. Altruism[/h]Altruism means you care about the welfare of others. In business, this means you want the people around you to do better, feel better, and perform better. You are not an island. You don't need to take all of the credit for yourself. You understand that building up the people around you makes you all look better. This is an incredible leadership quality, but not one you might traditionally associate with power or strength.
[h=2]5. Eloquence[/h]The ability to speak and write persuasively has gained importance in the age of digital communications. People expect leaders to communicate and they want to be "wowed." An eloquent speech can close a deal. An eloquent memo to staff can quell fears, dampen dissent, or inspire people to reach new heights. Practice your writing and speaking to become a more effective, persuasive leader.
[h=2]6. Discernment[/h]Discernment is the ability to judge well, whether in relation to people, situations, or business decisions. If you are discerning, you take the time to understand a problem and walk your way around various solutions to find just the right one. You don't jump head first into every opportunity, but think critically and find the best option.
[h=2]7. Modesty[/h]No one likes to hear how awesome someone else is all the time--especially when it comes from that person. Let your work speak for itself; don't fall into the trap of being the one who blows your horn the loudest. Confidence is a great trait, but must be tempered with modesty.
These qualities can be powerful tools for entrepreneurs and aspiring leaders who are willing to put the time and effort into developing them.
 
Back
Top Bottom