Danpol
JF-Expert Member
- Aug 15, 2013
- 5,747
- 9,012
Mmeharibu sana kumruhusu mtu aliyedharauliwa nchi nzima dr bana kukaa meza kuu , mmefanya utafiti wenu udharauliwe vibaya sana !
Wewe ndie unae mdharau , tatizo lenu hamuelew kitu kimoja , hii mitandao inawadanganya sana , mnajiona mpo wengi kumbe mnaenea kiganjan tu
unakumbuka hii
Scotland walipiga kelele sana za kujitenga toka UK
Quebec nao Canada
Dunia ikaamini kweli watu wanajitenga ila mwisho wa siku tukarudi kule kule
"The silence majority won against the vocal minority"
Huku mtaan ni silence majority , endeleen kupiga kelele
lowasa ndio habar ya mjin