Kwa lipi Lowassa apewe nchi?

Kwa lipi Lowassa apewe nchi?

Bora tuwe na Raisi Fisadi aliyetuibia na hela zake tunaziona hapa kuliko tuwe na mafisadi wanaoutaka Uraisi na hela zao ziko Swiss!
 
Naona malumbano yamekuwa makubwa kupita kiasi, tusiwaongelee kabisa watu ambao wametangaza nia. Mwisho wake tutakuja ona wenyewe nani kawa Rais!
 
Tena acheni utani kabisa kwenye mambo ya msingi kwa maslahi mapana ya nchi yetu. Hivi kweli mnaompa moyo na kumpigia kampeni ya kugombea urais, mko serious kweli au mmeamua kumlia hela zake tu hukufika kuwa hawezi kupita hata nusu ya hatua kuanzia za kwenye chama!

Hata kama ndo watu wenye sifa wameisha ndani ya CCM ndo mumchague kabisa Lowassa akahimili vishindo vizito vya UKAWA kweli!

Jamani hivi kweli Lowassa awe rais wa nchi kweli! Hapana lazima ifike wakati tuwe serious! Hii nchi ni yetu sote! Hatuwezi kuwakabidhi mafisadi waongoze nchi! Yaani kampani ya akina Chenge majoka yenye makengeza yanayosaka pesa kwa namna yoyote ile zikiwemo chafu na haramu!

Cha kufanya ni kumshauri tu Lowassa ajiangalie afya yake ajitibie maradhi yake yanayomsibu ili aje ashuhudie mchuano mkali kati ya UKAWA na CCM october akiwa na afya yenye unafuu kuliko kuendelea na harakati ambazo ni dhahiri zitaishia njiani na kumuongezea maradhi yatakayohatarisha uhai wake!

Tafakari chukua hatua teamLowassa a.k.a TeamFisadi!

Siku EL akishatangazwa rais tutamsii awatafutie kakijiji mkaishi huko ili mujione mlivyo wachache,yani haiingi akilini kila kona na kila kada ya watu wanamuhitaji EL nyi msona mshipa wa aibu wachache kazi kushinda mtandaoni na kujiona wengi eti hana sifa!!!
 
Mzee Mamvi akiingia ikulu na mimi namfuata kapteni komba msituni alikotangulia!!

Tafuta msitu mapema na wewe ukajigomeke maana dalili zote ushaziona na mwaka huu mtaenda msituni wengi tu mtuachie nchi yetu,tushaumizwa na j.k inatosha sasa tunamtaka EL alete ukomboz wa kweli,au unataka babuuu mzee wa wake za watuuuuuu
 
Tafuta msitu mapema na wewe ukajigomeke maana dalili zote ushaziona na mwaka huu mtaenda msituni wengi tu mtuachie nchi yetu,tushaumizwa na j.k inatosha sasa tunamtaka EL alete ukomboz wa kweli,au unataka babuuu mzee wa wake za watuuuuuu

Lowassa ndiye rais wetu tunasubiri tarehe ya kuapshwa kwake watanzania ndiye mwenye uwezo wa kutuvusha kwenda nchi ya ahadi
 
Siku EL akishatangazwa rais tutamsii awatafutie kakijiji mkaishi huko ili mujione mlivyo wachache,yani haiingi akilini kila kona na kila kada ya watu wanamuhitaji EL nyi msona mshipa wa aibu wachache kazi kushinda mtandaoni na kujiona wengi eti hana sifa!!!

My presdent is Lowassa
 
Tuna matumaini makubwa sana na wewe Mheshimiwa Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa kwani uwezo wako unajulikana na kila Mtanzania

1907513_966068363427614_4736803703485890492_n.png

Uwezo wa kuibia anao ila sio kuwa Raisi wa Tz
 
My presdent is Lowassa

Lowassa ndiye rais wetu tunasubiri tarehe ya kuapshwa kwake watanzania ndiye mwenye uwezo wa kutuvusha kwenda nchi ya ahadi

hawezi kuwa rais labda awe rais wa manzese

kama mtu anakubalika,anakubalika tu jamani,lowassa ni chaguo la wengi!

Jibu kwanza kwanini asiwe Rais then uje na hoja nzito sio fantasy unazosikia vijiweni na kwenye magazeti ya udaku.alafu ukae ukijua wanaomsapoti lowasa hawachukui hata senti tano yake.
Rais wa majoka yenye makengeza!
 
lowasa ndo rais ajae taka usitake.We hela ngapi zimepigwa je kazipiga zote lowasa?Kama makanisani na misikitin dili zinaiga yeye lowasa kawazidi na roho ya kiimani kuliko hao wa nyumba za ibada au hata JK mwenywe? wivu wa kwenye chupi huo

Atakuwa raisi wa mama ako
 
Bora tuwe na Raisi Fisadi aliyetuibia na hela zake tunaziona hapa kuliko tuwe na mafisadi wanaoutaka Uraisi na hela zao ziko Swiss!

Unaakili timamu kweli namashaka na upeo wako wa kufikiri
 
Kumbe Ndallo ni zero kama laki si pesa!!!Ama kweli"Mazuzu yazuzuka".
 
Kama hii nchi ni ya bibi yenu sawa,lakini kama hii nchi ni ya watz Lowassa ni fisadi,tumeongozwa na dhaifu ambaye ndio swaiba wake,iweje tuongozwe na jizi jingine. Hii nchi sio ya urithi.
Lowassa ndiye rais wetu tunasubiri tarehe ya kuapshwa kwake watanzania ndiye mwenye uwezo wa kutuvusha kwenda nchi ya ahadi
 
Kura yangu itaenda kwa Mh Edward Lowassa iwapo atashughulikia ufisadi.

Hapa namaanisha atawashughulikia mafisadi wote waliotajwa kuanzia kipindi cha Mkapa na Jakaya Kikwete(ikibidi hata marais hawa waliopita).

Hii ndio ahadi pekee ninayoitaka kutoka kwa EL ili aipate kura yangu!

Ufisadi ndio msingi wa matatizo ya watanzania na tunataka kuona kiongozi mwenye uthubutu wa kuwashughulikia mafisadi...!

Cc: TeamLowassa
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom