Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,116
- 8,658
Naona unanitafutia ban we mleta uzi.
Mnarudia rudia sana yale yale!Kimsingi jamaa yenu amekwisha kwama!WANAOMCHAFUA LOWASSA NI WALEWALE, HAWAONGEZEKI NA AJENDA ZAO NI ZILEZILE
MUHIMU SANA
Lowassa ndiyo habari ya mjini
Lowassa ndiye anayezungumzwa
Lowassa ndiyo ajenda ya Taifa
Lowassa amewakip bize wahariri wa vyombo vya habari kwani ndiye anayefanya magazeti yauzike
Kila siku ni Lowassa,,Lowassa, Lowassa
Hivi huyu ni nani hasa
Tumekuwa tukiwakumbusha Watanzania kuhusu huyu mtu anayeitwa Lowassa,mtu muungwana,mtu mwenye hofu ya Mungu,mtiifu kwa chama chake cha Mapinduzi,mkarimu, mtanashati,mtu aliyejaliwa kipaji cha uongozi,mtu aliyejaliwa hekima na busara,haropoki na siku zote amejikita katika kutatua matatizo na changamoto zinazowakabili watu wake,naam ukisikia Lowassa anazungumza basi ujue kuna agenda ya maendeleo mezani
Hata hotuba zake ni authoritative,hotuba zenye mamlaka,akifika mikoani hata hotuba zake huwa ni majawabu na tiba kwa matatizo ya Wananchi
Kamwe hapendi kulia lia,anaamini kulia lia mbele za Wananchi kama afanyavyo Pinda ni laana mbele za Mungu
Kwa bahati mbaya,pamoja na Mungu kumpa vipaji vyote hivyo mh Lowassa kuna Wanasiasa wachovu,waliofilisika ubongo ,ambao kila kukicha mradi wao mkubwa ni kuchafua taswira ya Lowassa katika jamii,na hakika nao wamepata mawakala wao katika shughuli hii ya kishetani
Cha kuchangaza ni kwamba,wanasiasa wanaomchafua ni walewale,mawakala wao ni walewale na ajenda zao ni zilezile
Mawakala wa hawa wanasiasa mufilisi wana changamoto kubwa,nayo ni kutopewa SEMINA ELEKEZI
Mawakala hawa hawana uelewa mpana kuhusiana na kashfa hizo
Leo utasikia,Lowassa alihusika kwenye kashfa ya richmond,baadhi watakwambia alichukua fedha ya richmonda,ukiwauliza ni sh ngapi,hawajui
Kesho wanakuja na agenda ya kimizimu kwamba Mwl Nyerere alimkataa,ukiwauliza wakupe ushahidi wanakusimulia kuhusu Uchaguzi mkuu mwaka 1995 ambapo Mwl alimbeba BEN,ukimwambia mwaka 95 Lowassa alikuwa kijana mno na kwamba Mwl Aliona BEN alikuwa mkomavu zaidi na hivyo alikuwa anatosha kukabidhiwa taasisi ya Urais,wanakimbia
Ukiwaambia Mwl alijua zamu za JL na Lowassa inakuja,wanagota
Wakati fulani watakwambia Huyu mtu ni mgonjwa,hii agenda siji wanaitoa wapi,maana Mwenyezi Mungu ndiye anayejua majaliwa ya Mwanadamu
Wanaokesha kutoa hoja hii potofu,ni walewale ambao mwaka 2005 walizunguka nchi nzima kuwaaminisha Watanzania kwamba Jk ni mgonjwa,na mawakala wao
Hata hivyo,sisi tulio wengi tunaoamini Lowassa anatosha na anafaa kuwa Mrithi wa JK rai yetu ni hii-Nyinyi mnaomchafua Lowassa kila kukicha tengenezeni ground ya kumchafua kwani ajenda zenu zimechakaa,na mmecheewa kwani train imeshafika Dodoma
Chukueni maamuzi mgumu ambao ni-SIMAMENI MUHESABIWE
Ni mtu anayejali sana watanzania. Alitaka kutuletea mvua toka Thailand wakati ule wa ukame mkubwa uliosababisha mgao mkubwa wa umeme!
hivi wewe upo dunia ya ngapi.Katika kipindi cha miaka 2 aliyokaa madarakani bwana EL kajenga shule za kata kibao,chuo cha dodoma na mradi wa maji wa ziwa victoria kupeleka mikoa ambayo haikua na maji ya shinyanga,simiyu na Geita.Sasa unvosema hajafanya kitu mie nakushangaa sana na kuhusu ufisadi ile hela walipiga watu wengi sana ila yeye ndiye aliyekua mbuzi wa kafara.
WANAOMCHAFUA LOWASSA NI WALEWALE, HAWAONGEZEKI NA AJENDA ZAO NI ZILEZILE
huyu mtu anayeitwa Lowassa,mtu muungwana,mtu mwenye hofu ya Mungu,mtiifu kwa chama chake cha Mapinduzi,mkarimu, mtanashati,mtu aliyejaliwa kipaji cha uongozi,mtu aliyejaliwa hekima na busara,haropoki na siku zote amejikita katika kutatua matatizo na changamoto zinazowakabili watu wake,naam ukisikia Lowassa anazungumza basi ujue kuna agenda ya maendeleo mezani
Wananchi kama afanyavyo Pinda ni laana mbele za Mungu
Inatosha kukujua we ni mtu gani.
Maamuzi ya kuanzisha shule za kata zisizokuwa na uwezo wa kutoa elimu?
Wazo la hizi shule lilitoka kwa mzee Cheyo,,,,
Huyo jamaa wala hayuko huko
..
yeye na richmond tu
Maamuzi ya kuanzisha shule za kata zisizokuwa na uwezo wa kutoa elimu?
Maamuzi endelevu ya kwenda kutafuta mvua ya kutengeneza?
Maamuzi ya kwen
WANAOMCHAFUA LOWASSA NI WALEWALE, HAWAONGEZEKI NA AJENDA ZAO NI ZILEZILE
huyu mtu anayeitwa Lowassa,mtu muungwana,mtu mwenye hofu ya Mungu,mtiifu kwa chama chake cha Mapinduzi,mkarimu, mtanashati,mtu aliyejaliwa kipaji cha uongozi,mtu aliyejaliwa hekima na busara,haropoki na siku zote amejikita katika kutatua matatizo na changamoto zinazowakabili watu wake,naam ukisikia Lowassa anazungumza basi ujue kuna agenda ya maendeleo mezani
Wananchi kama afanyavyo Pinda ni laana mbele za Mungu
Inatosha kukujua we ni mtu gani.
kweli uzi ni mfupi kuliko wangu hapo juu. Endelea kuandika nyuzi fupi mkuu ili ujulikane nawe unachangia.
WANAOMCHAFUA LOWASSA NI WALEWALE, HAWAONGEZEKI NA AJENDA ZAO NI ZILEZILE
huyu mtu anayeitwa Lowassa,mtu muungwana,mtu mwenye hofu ya Mungu,mtiifu kwa chama chake cha Mapinduzi,mkarimu, mtanashati,mtu aliyejaliwa kipaji cha uongozi,mtu aliyejaliwa hekima na busara,haropoki na siku zote amejikita katika kutatua matatizo na changamoto zinazowakabili watu wake,naam ukisikia Lowassa anazungumza basi ujue kuna agenda ya maendeleo mezani
Wananchi kama afanyavyo Pinda ni laana mbele za Mungu
Inatosha kukujua we ni mtu gani.
kweli uzi ni mfupi kuliko wangu hapo juu. Endelea kuandika nyuzi fupi mkuu ili ujulikane nawe unachangia.
Ndiye rais wa awamu ya 5.
Mkuu wengine hatuna vyamaRaisi wa ukoo wenu anafaa.
weweee hizi nci zetu hazina demokrasiaUkiona mtu anamsifia mtu mchafu kama Lowasa basi ujue yeye ni mchafu zaidi mpaka ananuka.
Mkuu kwa jinsi ninavyoifahamu nji hiianaandaa timu ya kuingia msituni au ikulu??