Kwa lipi Lowassa apewe nchi?

Kwa lipi Lowassa apewe nchi?

Mbona hata diamond alishangiliwa sana kuliko lowassa? Kwanini ccm isimsimamishe diamond Kama ticket ya kugombea urais ni kushangiliwa?



Ndiyo Parameter, wape dose washabiki Wa hivyo kama hao ambao hats kama MTU ananuka nyesi wanamsifia ananukia
 
Kuwa Rais ni kitu kimoja lakini je ataweza kurudisha matumaini ya Tanzania letu ambalo kwa kiwango kikubwa limegubikwa na wasema hovyo. Lowasa ni sehemu ya mfumo uliopo, napata mashaka juu ya jipya ambalo anaweza kufanya leo ambalo alishindwa kuyafanya kwa muda wote wa uwepo kwake kwenye nyadhifa mbalimbali katika nchi ya Tanzania
 
HIVI LOWASSA NI MASAI KWELI? AU NI LAYONI KESHA CHAFULIWA NAMNA HII BADO ANA NDOTO ZA URAIS? HUYU NI MASAI GANI, Basi muliokaribu nae mwelezeni Rais mwenye weledi, msafi asiye na tuhuma zozote , Rais ataeunganisha taifa hili ambalo akina Lowassa wamelichanachana KESHA PATIKANA. NYIE MNAOMPIGIA DEBE LOWASSA WENU MNAJISUMBUA BURE.
 
kwa takwimu za mikoa wilaya ukichanganya na wajumbe wengi wa NEC ukijumlisha na wabunge 150 waCCM walioapa kwenda kumchukulia fomu
Komba- "lowasa ni jembe"
Zungu-"lowasa ni mchapakazi"
lugola-"lowasa ni kiongozi"

Songea ulishangiliwA sana ni ishara kwambaunakubali by Kapten John Komba
Labda Rais wa mafisadi mtu aliyemchafu kuliko wote kwa wizi na ufisadi leo awe rais kwa mpango gani kwa kipi.
 
unaushahidi mkuu aliwapa pesa uwanja mzm pale songea uliona alivoshangiliwa read btn the lines sio kuropoka tu

Kuna kakundi kadogo sana ka watu 30 walipewa 5000 kila mmoja wakakaa pale uwanjani ili wamshangilie, unafikiri watu hatuyajui haya???
 
Kuna wabunge wengi hasa wa ccm wamepewa mgao mwingi sana na kundi la lowasa! Kwa hiyo kinachowafanya wabunge wamshobokee lowasa ni rushwa waliyokula na si vinginevyo.
 
Mie pia nasema Lowassa ni Nyundoooo.....2015 ni EL tu...full stop...we closed the book..!!!
 
Eti Lowasa
Kuna watanzania nina imani kubwa watakuwa wana ugonjwa wa kusahau
 
Nikimuona mtu anamsifia fisadi Lowasa anatamani nimwagie hata maji ya moto unampigiaje debe mtu mwizi kama lowasa?
 
Back
Top Bottom