Kwa lipi Lowassa apewe nchi?

Kwa lipi Lowassa apewe nchi?

Hamna kiongozi mzuri ccm atab mmoja
Izo sifa ndo tulizisikia kwa kikwete mwaka 2005 na tumeona kilichotokea soo nadhubutu kusema ccm haina mtu ata mmoja anaweza kuingoza hii nchi kwa sasa
 
kwa maamuzi ya kujiuzulu sawa,pia kwa maamuzi ya kuingia mkataba na kampuni hewa nayo pia ni maamuzi magumu.

Mvivu wa kufikiri ww kama kampuni hewa why serikali yako iilipe fidia kwa kuvunja mkataba

Poor mind ........
Poor life
 
Hauhitaji elimu ya juu kutambua kuwa lowassa ndio mgombea kupitia ccm
 
Ndugu wanaJF,

Kwa mtu yeyote anayeelewa mambo mazuri ambayo yamewahi kutekelezwa na waziri mstaafu mh. ENDWARD NGOYAI LOWASSA.

Naomba kujuzwa ili nami ambaye sijui ubora wake niweze kujifunza na watanzania wote tumuunge mkono, yawezekana ndio atakuwa mkombozi wa taifa letu tukimpa madaraka ya urais kutokana na ubora wake wa utendaji.

Naomba mnielekeze ubora wake, ili nifute hoja yangu ya kuendelea kung'ang'ania ya kwamba Lowassa ni fisadi mkubwa katika nchi hii.

Nataka kujuzwa kwa sababu kuna watu wanadai Lowassa ndio kiongozi wa taifa awamu ya tano, nimekuwa najiuliza maswali ambayo hayana majibu, hata wanaomsapoti kama sexologist n.k sijawahi kuwaona wakitoa point za msingi ni kwanini?

Wanaona Lowassa anafaa kuwa rais wa awamu ya tano katika historia ya Tanganyika.

Nawasilisha.
 
Last edited by a moderator:
Ufisadi,visasi,roho mbaya,makundi nadani ya chama chake,ubaguzi,rushwa na mengine mengi ntakutajia baadaye ngoja niangalie tarifa ya habari kwanza.
 
Wana bodi mjadala wa Lowassa nawaombeni uishe kwani Rais wa maana kesha patikana bado kutangazwa tu,Lowassa sasa basi
 
Si ndiyo walikuwa kwenye deal lao la ricmond huyu na mwenzake wanayemuita Rais dhaifu.
 
JP Magufuli ndo "Mr. Fix it all" wa Tanzania...Mkitaka nchi inyooke mpeni huyo!
 
JP Magufuli ndo "Mr. Fix it all" wa Tanzania...Mkitaka nchi inyooke mpeni huyo!

Huyu naye hakuna kitu maneno na kujaza mitakwimu kichwani isiyokuwa na tija, nchi hii inashida kubwa kwenye rushwa na ufisadi akipatikana wa kukemea mambo haya nchi itanyooka.
 
kwa takwimu za mikoa wilaya ukichanganya na wajumbe wengi wa NEC ukijumlisha na wabunge 150 waCCM walioapa kwenda kumchukulia fomu
Komba- "lowasa ni jembe"
Zungu-"lowasa ni mchapakazi"
lugola-"lowasa ni kiongozi"

Songea ulishangiliwA sana ni ishara kwambaunakubali by Kapten John Komba
 
1423454431919.jpg
 
kwa takwimu za mikoa wilaya ukichanganya na wajumbe wengi wa NEC ukijumlisha na wabunge 150 waCCM walioapa kwenda kumchukulia fomu
Komba- "lowasa ni jembe"
Zungu-"lowasa ni mchapakazi"
lugola-"lowasa ni kiongozi"

Songea ulishangiliwA sana ni ishara kwambaunakubali by Kapten John Komba
Mbona hata diamond alishangiliwa sana kuliko lowassa? Kwanini ccm isimsimamishe diamond Kama ticket ya kugombea urais ni kushangiliwa?
 
Mtakufa kwa presha EL asipokuwa Raid by e vibaraka wake. In short EL can't be our president, amechafuka!!
 
Back
Top Bottom